Kampeni ya Ubunge Arusha Mjini - Batilda Burian Vs Lema

Kampeni ya Ubunge Arusha Mjini - Batilda Burian Vs Lema

KATI YA BATILDA NA LEMA YUPI ATIBUKA KIDEDEA?


  • Total voters
    52
SUBIRA NA NGONGO MSIJIDANGANYE. MIMI NIKO ARUSHA MJINI NA HUWA NIKO SANA PEMBEZONI MWA MJI ‘ KWA UFUPI BATILDA ANA HALI MBAYA SAAANA. NA HAWEZI KUSHINDA LABDA UTOKEE WIZI WA HALI YA JUU SANA AU MUNGU MWENYEWE AAMUE ASHUKE.

NASEMA HIVI KWA SABABU NINA EVIDENCE


  1. NIMEHUDHURIA MMOJAWAPO WA MIKUTANO YAKE YA UFUNGUZI WA KAMPENI PALE SHULE YA MSINGI KIMANDOLU BAADA YA DK SLAA KUPITA. MKUTANO ULE HAUKUWA NA WATU ZAIDI YA 100 NA WENGI WALIKUWA WATAKA WASIKILIZE MZIKI WA MWANAMUZIKI WA BONGO FLEVA. MZIKI ULIPOISHA BATILDA AKAPANDA JUKWAANI NA WATU WAKAONDOKA AKABAKIA NA WENYE NGUO ZA KIJANI WASIOZIDI 50.
  2. JUZI JUMAMOSI TAREHE 16/10/2010 SAA 10. JIONI ENEO LA TINDIGANI KIJENGE JUU ALIKUJA NA DK. BILALI NA NILIKUWEPO. SUBIRI NA NGONGO MNGEKUJA MACHOZI YANGEWATOKA KWANI IDADI YA WATU ILIKUWA NUSU YA ILE YA MIKUTANO YA UBUNGE YA G. LEMA. UNFORTUNATELY NA WALIOKUWEPO WALILETWA NA HIACE ZISIZOPUNGUA 8

KUHUSU USAFI WA WAGOMBEA NI KWAMBA “ ALIYE SAFI KULIKO WOTE MIONGONI MWA SUBIRA, NGONGO, KILEO, BATILDA NA LEMA NA AWE WA KWANZA KUMRUSHIA MWENZAKE JIWE. AU WEWE UNAFIKIRI NI NANI?

Tusiwe na denials za wazi tuwe genuine katika argument zetu kwani ni jambo la wazi kabisa DK Batilda kuna kata hatapata hata kura 1000. Mikutano ya Batilda inajazwa na vikundi vya akina mama wanaojazwa kwenye Hiace na kuzunguka naye huku wakiwatukana wafuasi wa CHADEMA matusi kwa kuonyesha alama ya vidole. Mimi ni mmojawapo niliyetukanwa wakati nimejikalia tu nakunywa soda pale Kijenge kati. Batilda anapigiwa debe na wanywaji wa Dadii waliojawa na matusi tena wamama watu wazima wasio na mwelekeo.

Mara nyingi huwa naamini tabia ya wafuasi wa mtu inatoa taswira ya kiongozi wao. Kama walivyo hawa akina mama ambao hawana chembe ya soni wala staha.

Tathmini yangu inampa Batilda asilimia 15% ya kura za Arusha mjini lakini ya 85% au zaidi ni ushindi wa G.lema wa CHADEMA.

Subira na Ngongo kubalini matokea game limeisha hili msije pata pressure bure
 


Mi niliandamana nae kwenye kiwanda kimoja ambacho aliaklikwa na uongozi kwamatatizo yao, lllakini wafanyakazi walitoka kama nyuki kuja kumshangilia na kumuahidi kura zao, hata wacthman akatulaumu kwa nini hatukuwaarifu ili waje hata walioko majumbani.

.

Twende taratibu ndugu yangu, wala usilete papara.

Mdau mwenzako hapo amezungumzia kiwanda cha sunflag, ambapo alishuhudia kilichojiri. Sasa wewe unapourupuka na kumshutumu wakati hutuambii uliambatana na huyo mgombea kiwanda gani, sasa huoni wewe ndi mzushi na muongo?
Punguza jazba na utueleze kiwanda gani mama alipokelewa na wafanyakazi kama nyuki.
 
Twende taratibu ndugu yangu, wala usilete papara.

Mdau mwenzako hapo amezungumzia kiwanda cha sunflag, ambapo alishuhudia kilichojiri. Sasa wewe unapourupuka na kumshutumu wakati hutuambii uliambatana na huyo mgombea kiwanda gani, sasa huoni wewe ndi mzushi na muongo?
Punguza jazba na utueleze kiwanda gani mama alipokelewa na wafanyakazi kama nyuki.

Nyuki hupokea au hushambulia?....kuna kitu kinafichwafichwa hapa
 
Mara nyingi huwa naamini tabia ya wafuasi wa mtu inatoa taswira ya kiongozi wao. Kama walivyo hawa akina mama ambao hawana chembe ya soni wala staha.

ndugu Gerald nakubaliana na tathmini yako, wapiga kura wa AR hawana haja ya kubashiri Batilda atakuwa ni mtu wa aina gani, kama ulivyopata taswira kutoka kwa hao kina mama, nami napata taswira hiyohiyo toka kwa SUBIRA, ukisoma post yake hakuna alichoongea zaidi ya kufyatua mitusi, nadhani nae ni mmoja wa hao kina mama wanaozunguka na Batilda! " SHOW ME YOUR FRIENDS, AND I WILL TELL WHO YOU ARE"!
 
Na mimi niko hapa Arusha,aslimia 85 atazipata kwako subira na familia yako,sisi wakazi wa hapa hatumpi hata robo,Kwani nani asiejua mazingira ya nchi hii yalivyo machafu?!! viwanda kila pahala,maji machafu,ujenzi holela,yoote hayo anahusika nayo Batilda kama waziri wa Mazzingira,muulize nae kafanya nini kama waziri! mwaka huu mnalo
 
katika wazushi walio kubuhu wewe ni mwalimu waohaijawahi kutokea kitu kama hicho kwa dr.
Kwa hiyo kama haijawahi tokea ndo haiwezi kutokea?
Batilda Burian hata siku moja hasa viwandani. Kwa mtu wa kawaida asiyesoma anajua vizuri kuwa huwezi ingia viwandani kama haujaandaliwa na viongozi wao iweje wafanyakazi wajifanye busy, wakati alialikwa ?
kuna sheria inayombana mfanyakazi awapo kazini ahudhurie mikutano ya kisiasa kazini?
tumia akili na uache uongo kama wa godless lema
Sasa uongo wa Lema na Burhani kususiwa kuna uhusiano gani?

Mi niliandamana nae kwenye kiwanda kimoja ambacho aliaklikwa na uongozi kwamatatizo yao, lllakini wafanyakazi walitoka kama nyuki kuja kumshangilia na kumuahidi kura zao,
Arusha kuna viwanda vingapi? Au mlienda kwenye mashine ya kusaga na kukoboa?
hata wacthman akatulaumu kwa nini hatukuwaarifu ili waje hata walioko majumbani.
Hii ni contradiction mkuu, inamaana mlienda kiwandani bila taarifa? A lier has no memory, jiandae mkuu manake unasahau sana uloyaandika kwakuwa hayako kwenye ukweli.

Kwakukufahamisha tu Dr.Batilda atapata zaidi ya asilimia 85 ya kura zote za arusha,
Utapiga wewe na yeye peke yenu?
na huyo mwizi, tapeli asiye na kisomo chochote asie na sera
Jenga hoja mkuu usiongee kama wanywa komoni na mataptap hapa ni hoja tu. kama ni mwizi si umpeleke mahakamani?
ila kutukana kwenye majukwaa tu na tena anatukana hata watu wasiogombea ubalozi wa nyumba kumi.
Afadhali wewe hujatukana
Atuonyeshe cv yake kama anayo..
Kwa kuwa hujaiona manake haipo?
Chadema mmejinyonga wenyewe arusha hamna kitu mmefulia kwa sabuni ya punda, hamkuweza hata kufikiria huyu tapeli kumleta mji maarufu na nyeti kama huu
Hapa nadhani umeamua kutuimbia taarabu, si mbaya haya ni maneno tu hata kwenye khanga yapo
ALishawahi kupatikana na kesi ya ujambazi akiwa na watotowa mzee kileo hata mmoja wao alipigwa risasi akafa watu wote tulishuhudia hapo motuary
Hii haijaeleweka, hapo kwenye chumba cha maiti ndo walipopigiwa risasi? Je mkusanyiko wa watu hapo mortuary ndo ushahidi kuwa Lema alihusika? kama kesi ilikuwepo kwanini hukwenda kutoa ushahidi kuwa umeshuhudia?
leo hii atamshinda nani
mbona anayeshindana naye unamfahamu? This question is absurd
unataka na sasa apewe rushwa aachie ubunge mmchelewa.
Kumbe ni mbunge tayari, nimegundua ukweli unao moyoni only that your lips have betrayed your heart
 
anapumulia mdomoni huyo batilida

ana nyodo sana yule mama.tokea siku ile bungrni asababishe zitto asimamishwe kwa mda huyu mama sina nae hamu
 


Bwana Lema alifanikiwa kukimbilia Mwanza na alirejea kimyakimya mwaka 2002 kwa gia ya ulokole akajiunga na shirika moja la dini linalijulikana kama KIMAHAMA.

.

Comment ya namna hii kutoka kwako Arife sio habari kabisa hapa JF. sasa kama una taarifa zote za ujambazi wa bw. Lema unasubiri nini kushirikiana na jeshi la polisi ili wamshughulikie? jamaa angu una chuki mbaya wewe........ bila shaka wewe ni mkuu wa kitengo cha propaganda ccm arusha ama la mlikuwa mnashirikiana kufanya ujambazi, hii si bure arife. Angalia usije kufa bure na mipresha lema atakapoapishwa kuwa mbunge wa arusha mjini.
 
Heshima kwako Subira,

Mkuu mleta hoja anadai alikuwemo kwenye msafara wa Mama Dr Batilda sidhani kama anatudanganya naamini kasema alichokishuhudia mwenyewe labda kama anataka kufurahisha jamvi.Ni kweli Dr Batilda ana wakati mgumu sana kuliko alivyotarajia yamkini hakujianda na mikimiki ya uchaguzi yaelekea alilenga zaidi kumwangusha Felex Mrema akijua mbele ya safari nija itakuwa nyeupe.

Mkuu Subira Kasoro nyingi za mgombea wa CHADEMA nilishazileta hapa jamvini sina haja ya kuzirudia rudia ila nitaieleza kwa usahihi zaidi na kashfa ya mauaji ya raia watuhumiwa wa ujambazi mwaka 1998.

Mwaka 1998 yalitokea mauaji ya raia watuhuniwa wa ujambazi mikononi mwa jeshi la polisi.kashfa hii ilisababishwa kuundwa tume sikumbuki iliongozwa na nani muda umeshapita sana ila nakumbuka aliyekuwa RPC mkoa wa Arusha wakati huo kamanda Paul Ntobi alihamishwa.Miongoni mwa watu waliouwa ni Babu Kileo mtoto wa mwenyekiti wa CCM wilaya ya Arusha ambaye pia ni mjomba wa Bwana Godbless Lema,Mwingine ni Amir Masumai mtoto wa mzee Masumai alimaharufu Mzee Ngereka [kuna mtaa karibu na stend kuu unaitwa mtaa wa Masumai wazee mujini].pia alikuwepo bwana mwingine akiitwa Joseph Kibosho mkuu wa mipango yote ya ujambazi wote kwa pamoja walikamatwa na baadaye waliuwawa mikononi mwa polisi.

Mipango yote ya ujambazi ilipangwa nyumbani kwa Mzee Jubilate Kileo wakati huo hakuwa na wadhifa wa mwenyekiti wa CCM.Bwana G Lema,marehemu Babu Kileo,marehemu Joseph walimfuata marehemu Amiri Masumai ambaye alikuwa akimiliki daladala nzuri [kipanki] yenye muziki mkubwa na kumshawishi ashiriki kwenye dili lao kwasababu gari yake ilikuwa katika hali nzuri hasa mbio.Bwana G Lema alitumia gari nyingine mambo yalipokuwa mabaya alifanikiwa kutoroka na kuwaachi marafiki zake wakiangamia mikononi mwa jeshi la polisi.

Bwana Lema alifanikiwa kukimbilia Mwanza na alirejea kimyakimya mwaka 2002 kwa gia ya ulokole akajiunga na shirika moja la dini linalijulikana kama KIMAHAMA.

Bwana Lema alipomtishia maisha msimamizi wa uchaguzi wa Arusha mjini kwa sisi tunaomjua vyema tulijua alikuwa anasema kitu kutoka chini ya uvungu wa roho yake.

Napenda nikufahamishe rafiki yangu Ngongok kuwa LYIMO WA TLP hauziki Arusha, unajisumbua bure, na wala hakuna anayemwongelea, atawaozea mchana na jua kali!
Lakini kuhusu Batilda, anasikitisha sana!..
Alipita eneo fulani la Mbuzi-Choma juzi panaitwa FFU-Kwa Mrombo, ilibidi wanaCCM wang'oe bendera zote za vyama pinzani ili kumridhisha, maana hawamtambui kabisa uwepo wake hapa Arusha, wanachoelewa ni LEMA tu!!

Kinachovuta watu kwenye mikutano ya Batilda ni gari la MUZIKI LA "TRIPPLE A" fm radio, pamoja na lile la wasanii(sijui wameyanunua wapi magari haya hao UVCCM, na sielewi pesa wamezitoa wapi).
Batilda sasa hivi anapungia mkono kila chenye UHAI kiendacho juu ya nchi!...Ni masikitiko kwake.
Kama ana akiba yoyote ya fedha ambazo ameplan kuzitumia kurubuni watu ni bora akaziweka azitumie baada ya 31/10, MAANA atakuwa kijiweni, for sure!
 
Nahisi gongo sijui ngongo atakuwa aliwahi "kuporwa" mke na Lema.
 
Comment ya namna hii kutoka kwako Arife sio habari kabisa hapa JF. sasa kama una taarifa zote za ujambazi wa bw. Lema unasubiri nini kushirikiana na jeshi la polisi ili wamshughulikie? jamaa angu una chuki mbaya wewe........ bila shaka wewe ni mkuu wa kitengo cha propaganda ccm arusha ama la mlikuwa mnashirikiana kufanya ujambazi, hii si bure arife. Angalia usije kufa bure na mipresha lema atakapoapishwa kuwa mbunge wa arusha mjini.

Mwita naomba unitafsirie hii kitu yako please ''Mung'oni Ghimatendelya Nyamolente-Kelong'ongo na keela ghetar-reywe''
 
Napenda kukuuliza Bwana Ngongo, umelipwa bei gani kumchafua Lema?
Ninachokuona kama vile unapungukiwa nacho ni kukaa kimya juu ya uozo wa Mgombea wako wa TLP...Mimi binafsi sioni sbabu za kuanza kutumia ujanja wa kizamani wa kupakana matope..why the hell?
Arusha imemchagua LEMA, basi tuukubali ukweli hata kama humtaki!
Najua its too bad for you, lakini huna option Ngongo!
Nilikwambia nasubiri tarehe 1/11/2010, nitakutafuta nikupe hata glass 2 za NAMAQUA pale kijiweni kwenu Bondeni!
 
Na mimi niko hapa Arusha,aslimia 85 atazipata kwako subira na familia yako,sisi wakazi wa hapa hatumpi hata robo,Kwani nani asiejua mazingira ya nchi hii yalivyo machafu?!! viwanda kila pahala,maji machafu,ujenzi holela,yoote hayo anahusika nayo Batilda kama waziri wa Mazzingira,muulize nae kafanya nini kama waziri! mwaka huu mnalo

Well said and stated
 
Mwita naomba unitafsirie hii kitu yako please ''Mung'oni Ghimatendelya Nyamolente-Kelong'ongo na keela ghetar-reywe''

Mkuu sijui kama nitaweza kukuelewesha ukanielewa, lakini ngoja nijaribu.
Kwanza kabisa niseme hayo ni maneno ya kikurya. ''Mung'oni Ghimatendelya Nyamolente-Kelong'ongo na keela ghetar-reywe'' maana yake ni kijana shupavu mwenye nguvu, uwezo na bidii ya kutafuta mafanikio bila kuchoka na hatimaye hufanikiwa. (Kwetu kijana mwenye sifa hizo ni yule aliyepitia jando ikiwa ni pamoja na lazima kuhimili vishindo vya kisu cha mhunzi wa kienyeji). Kwa ufafanuzi zaidi ina maanisha kwamba kijana kwa kuwa ana nguvu na uwezo, anaweza kujipatia mafanikio kutoka mbali sana na nyumbani kwao au hata katika mazingira magumu sana pasipotarajiwa-ndio maana ya kibwagizo "Nyamolente-Kelong'ongo na keela ghetar-reywe''.
Nadhani utakuwa umenipata.
 
Heshima kwako Subira,

Mkuu mleta hoja anadai alikuwemo kwenye msafara wa Mama Dr Batilda sidhani kama anatudanganya naamini kasema alichokishuhudia mwenyewe labda kama anataka kufurahisha jamvi.Ni kweli Dr Batilda ana wakati mgumu sana kuliko alivyotarajia yamkini hakujianda na mikimiki ya uchaguzi yaelekea alilenga zaidi kumwangusha Felex Mrema akijua mbele ya safari nija itakuwa nyeupe.

Mkuu Subira Kasoro nyingi za mgombea wa CHADEMA nilishazileta hapa jamvini sina haja ya kuzirudia rudia ila nitaieleza kwa usahihi zaidi na kashfa ya mauaji ya raia watuhumiwa wa ujambazi mwaka 1998.

Mwaka 1998 yalitokea mauaji ya raia watuhuniwa wa ujambazi mikononi mwa jeshi la polisi.kashfa hii ilisababishwa kuundwa tume sikumbuki iliongozwa na nani muda umeshapita sana ila nakumbuka aliyekuwa RPC mkoa wa Arusha wakati huo kamanda Paul Ntobi alihamishwa.Miongoni mwa watu waliouwa ni Babu Kileo mtoto wa mwenyekiti wa CCM wilaya ya Arusha ambaye pia ni mjomba wa Bwana Godbless Lema,Mwingine ni Amir Masumai mtoto wa mzee Masumai alimaharufu Mzee Ngereka [kuna mtaa karibu na stend kuu unaitwa mtaa wa Masumai wazee mujini].pia alikuwepo bwana mwingine akiitwa Joseph Kibosho mkuu wa mipango yote ya ujambazi wote kwa pamoja walikamatwa na baadaye waliuwawa mikononi mwa polisi.

Mipango yote ya ujambazi ilipangwa nyumbani kwa Mzee Jubilate Kileo wakati huo hakuwa na wadhifa wa mwenyekiti wa CCM.Bwana G Lema,marehemu Babu Kileo,marehemu Joseph walimfuata marehemu Amiri Masumai ambaye alikuwa akimiliki daladala nzuri [kipanki] yenye muziki mkubwa na kumshawishi ashiriki kwenye dili lao kwasababu gari yake ilikuwa katika hali nzuri hasa mbio.Bwana G Lema alitumia gari nyingine mambo yalipokuwa mabaya alifanikiwa kutoroka na kuwaachi marafiki zake wakiangamia mikononi mwa jeshi la polisi.

Bwana Lema alifanikiwa kukimbilia Mwanza na alirejea kimyakimya mwaka 2002 kwa gia ya ulokole akajiunga na shirika moja la dini linalijulikana kama KIMAHAMA.

Bwana Lema alipomtishia maisha msimamizi wa uchaguzi wa Arusha mjini kwa sisi tunaomjua vyema tulijua alikuwa anasema kitu kutoka chini ya uvungu wa roho yake.

Bwana NGONGO maelezo yako yanonyesha kuwa na wewe ni moja wa wazushi. Maelezo yako yanaonyesha kuwa wewe (kama kweli yalitokea uilyasema) ulikuwa mmoja ya wauaji unayesitahili kukamatwa ili sheria ishike mkondo wake maana unafahamu mipango yoote ya mauaji.
 
Mkuu sijui kama nitaweza kukuelewesha ukanielewa, lakini ngoja nijaribu.
Kwanza kabisa niseme hayo ni maneno ya kikurya. ''Mung'oni Ghimatendelya Nyamolente-Kelong'ongo na keela ghetar-reywe'' maana yake ni kijana shupavu mwenye nguvu, uwezo na bidii ya kutafuta mafanikio bila kuchoka na hatimaye hufanikiwa. (Kwetu kijana mwenye sifa hizo ni yule aliyepitia jando ikiwa ni pamoja na lazima kuhimili vishindo vya kisu cha mhunzi wa kienyeji). Kwa ufafanuzi zaidi ina maanisha kwamba kijana kwa kuwa ana nguvu na uwezo, anaweza kujipatia mafanikio kutoka mbali sana na nyumbani kwao au hata katika mazingira magumu sana pasipotarajiwa-ndio maana ya kibwagizo "Nyamolente-Kelong'ongo na keela ghetar-reywe''.
Nadhani utakuwa umenipata.

Am sure Dr being a semi-nilotic must have gone through this...I dont know kama Kweres have something similar?no wonder wanachekacheka kule poti watu hawachekicheki hovyo hata kama wamelewa
 
Am sure Dr being a semi-nilotic must have gone through this...I dont know kama Kweres have something similar?no wonder wanachekacheka kule poti watu hawachekicheki hovyo hata kama wamelewa

Hata mimi katika pita pita yangu mikoa ya pwani sijawahi kusikia hiyo maneno kama inafanyika. Kila siku naona sherehe na mikesha ya kufunda mademu.
 
Back
Top Bottom