Kampeni ya Ubunge Arusha Mjini - Batilda Burian Vs Lema

Kampeni ya Ubunge Arusha Mjini - Batilda Burian Vs Lema

KATI YA BATILDA NA LEMA YUPI ATIBUKA KIDEDEA?


  • Total voters
    52
Kuna taarifa kwamba mgombea ubunge kwa tiketi ya CCM jimbo la Arusha mjini amepigwa na wananci wenye hasira baada ya kuonekana akifanya vitendo vinavyoashiria rushwa maqeneo ya Fire Arusaha, ambako kimsingi ndiko alikozaliwa. Taarifa hii imepatikana kwa kupigiwa simu na mdau aliyepo Arusha na ambaye pia ni kada wa CCM.
Tunaomba akina Ngongo na Paka Jimmy watutaarifu zaid kuhusu tukio zima, maana nasikia hata gari yake imeharinbiwa na tayari taarifa ziko polisi......

Poleni wote mlioathiriwa na tukio zima
 
kuna taarifa kwamba mgombea ubunge kwa tiketi ya ccm jimbo la arusha mjini amepigwa na wananci wenye hasira baada ya kuonekana akifanya vitendo vinavyoashiria rushwa maqeneo ya fire arusaha, ambako kimsingi ndiko alikozaliwa. Taarifa hii imepatikana kwa kupigiwa simu na mdau aliyepo arusha na ambaye pia ni kada wa ccm.
Tunaomba akina ngongo na paka jimmy watutaarifu zaid kuhusu tukio zima, maana nasikia hata gari yake imeharinbiwa na tayari taarifa ziko polisi......

Poleni wote mlioathiriwa na tukio zima

Hii mbaya jamani tuwapige na kura zetu tarehe 31.10.2010!
 
Kama ni kweli hiyo ndiyo dawa yao. Ukiwapeleka polisi wataachiwa wale. Sasa unaniletea fedha ya kununua utashi wangu na hekima niliyo nayo unifanye zuzu nitakufanyaje? Mimi nakudunda tu na 31.10.2010 nakunyima kura pia. Unakuwa na fimbo ya kwanza ya kumwonyesha mume wako na familia wakuuguze majeraha ya pili kuwaonyesha watanzania kwamba tumechoka na CCM na mambo yao yote
 
Inasemekana ni Kata ya olasiti, hili tukio lilitokea jana kati ya saa moja na saa tatu usiku. Gari lilivunjwa vioo na liko polisi. Kuna taarifa pia kwamba Chadema Mkoa watakuwa na press conference leo mchana kuzungumzia tukio hilo. tusubiri taarifa yao
 
hahahahahaa ujue hawa wazee washazoea kuhonga na ahadi zao hewa ambazo hazitekelezeki ndio mana inawabidi waanze kuhonga ndipo wapate kura.Wananchi tusikubali 31/10 fanya chaguo sahihi.
 
Polisi walipoacha kuwachukulia hatua stahiki vibaka, wananchi wakaanza kuchukua hatua mkononi. Leo polisi wanajutia uzembe wao.
Leo Takukuru na dola inafumbia macho nyendo na matukio ya wazi ya rushwa na washiriki wake. hivyo taaartib wananchi wanachoshwa na kuanza kuchukua sheria mkononi.
Nchi hii bana we acha tu!
 
Jamani isije ikawa kama ile ya Wa16 jana alituweka roho juu kuhusu kontena la kura.... tupatieni na pic za kuonyesha gari limeharibiwa vibaya
 
Hakuna haja ya kumpiga jamani, wangefuata taratibu tu za kisheria hata kama hatafuatiliwa. Kumchapa lawama zitakwenda kwetu wapinzanimkwamba tumemfanyia fujo na kuwachafua wapenda mabadiliko na maendeleo. Mchapeni kwa kumnyima kura tu!
 
Hii mbaya jamani tuwapige na kura zetu tarehe 31.10.2010!

Wezi wakikamatwa hupigwa kisha wanapelekwa polisi why not huyu? hadi hapo hana sifa za kugombea uongozi hivyo hata hiyo 31.10.2010 kuwa kwenye orodha itakuwa kwa hisani
 
Yeye mwenyewe aliingia mitini kwa mlango wa nyuma kwa hiyo hakupata kichapo
 
Huyu mama ni mtoa rushwa mzuri kweli mimi akinipitia nachukua na kura pia simpi, vijana wa arusha kuleni hela zake lakini hukumu yake 31. Oct. Yaani nasikia ana mbinu nyingi sana za kutoa rushwa hata akienda car wash anagawa elfu kumi kumi kwa kila anayemkuta pale halafu akiondoka anawaambia vijana msinisahau siku ya kupiga kura!!! pumbafu elf 10 ni hela kweli ya kununua uhuru wa mtu!!! I hate her.
 
Kama ni kweli basi JK aanze tu kufungasha virago........................Wananchi wamechoshwa kabisa na hii hali ya umasikini...............

Unapoona wananchi wamechukua sheria mkononi basi ujue imani na vyombo vya dola umefikia ukingoni. Huyu Mama amekuwa akitajwa sana kuhusiana na kuwanunua wapigakura, kuwa na mtambo wa kuchapisha shahada za wapigakura na mengineyo mengi lakini vyombo vya dola vimekuwa vikimlinda na wananchi sasa yamewafika........................

Ukisoma PROVERBS 16: 9 "YOU MAY HAVE YOUR PLANS BUT GOD DIRECTS YOUR ACTIONS."

Kama Mwenyezi Mungu hataki awe mbunge wa jimbo la Arusha atahangaika lakini kamwe hatafanikiwa na huo ndio ukweli wa maandiko matakatifu..........................


 
Kuna taarifa kwamba mgombea ubunge kwa tiketi ya CCM jimbo la Arusha mjini amepigwa na wananci wenye hasira baada ya kuonekana akifanya vitendo vinavyoashiria rushwa maqeneo ya Fire Arusaha, ambako kimsingi ndiko alikozaliwa. Taarifa hii imepatikana kwa kupigiwa simu na mdau aliyepo Arusha na ambaye pia ni kada wa CCM.
Tunaomba akina Ngongo na Paka Jimmy watutaarifu zaid kuhusu tukio zima, maana nasikia hata gari yake imeharinbiwa na tayari taarifa ziko polisi......

Poleni wote mlioathiriwa na tukio zima

Heshima kwako Nyumbu,

Mkuu hizi taarifa nilizisikia jana saa moja usiku nilikuwa maeneo ya Soweto napata kinywaji mleta habari alisema aliyepigwa ni kada wa CCM [mwanamke] kwakuwa aliyejeruiwa hakuwa Mama Dr Batilda sikufuatilia sana.Nasikia viongozi wa CCM na CHADEMA walikuwa kituo cha polisi jana usiku kushughulikia dhamana za wapenzi wao waliohusika moja kwa moja na sakata lenyewe.

Naambiwa kada wa CCM alivunjwa meno kadhaa kapelekwa Mt Meru kwa matibabu zaidi na utaratibu wa kupachika meno bandia unaandaliwa baada ya kupona majeraha.
 
Inasemekana ni Kata ya olasiti, hili tukio lilitokea jana kati ya saa moja na saa tatu usiku. Gari lilivunjwa vioo na liko polisi. Kuna taarifa pia kwamba Chadema Mkoa watakuwa na press conference leo mchana kuzungumzia tukio hilo. tusubiri taarifa yao
regardless ya huyu mama nia yake, siungi mkono kupiga wanawake tena na mawe hasa wakiwa wajawazito... na pia sielewi kimbelembele cha chadema mkoa kutoa tamko maana hapo itathibitisha kwamba ni wao wamefanya

lets not get into the new level ya jungle, we can do better bila kupiga wajawazito

BTW, kitendo kinachoashiria rushwa ni kipi?
 
Kama ni kweli basi JK aanze tu kufungasha virago........................Wananchi wamechoshwa kabisa na hii hali ya umasikini...............

Unapoona wananchi wamechukua sheria mkononi basi ujue imani na vyombo vya dola umefikia ukingoni. Huyu Mama amekuwa akitajwa sana kuhusiana na kuwanunua wapigakura, kuwa na mtambo wa kuchapisha shahada za wapigakura na mengineyo mengi lakini vyombo vya dola vimekuwa vikimlinda na wananchi sasa yamewafika........................

Ukisoma PROVERBS 16: 9 "YOU MAY HAVE YOUR PLANS BUT GOD DIRECTS YOUR ACTIONS."

Kama Mwenyezi Mungu hataki awe mbunge wa jimbo la Arusha atahangaika lakini kamwe hatafanikiwa na huo ndio ukweli wa maandiko matakatifu..........................


extremism is the best blinding agent in the world and vice versa
 
regardless ya huyu mama nia yake, siungi mkono kupiga wanawake tena na mawe hasa wakiwa wajawazito... na pia sielewi kimbelembele cha chadema mkoa kutoa tamko maana hapo itathibitisha kwamba ni wao wamefanya

lets not get into the new level ya jungle, we can do better bila kupiga wajawazito

BTW, kitendo kinachoashiria rushwa ni kipi?

Inasemekana Polisi wanataka kupindisha ukweli wa tukio lenyewe (Kubadilisha statement). Tusubiri
 
regardless ya huyu mama nia yake, siungi mkono kupiga wanawake tena na mawe hasa wakiwa wajawazito... na pia sielewi kimbelembele cha chadema mkoa kutoa tamko maana hapo itathibitisha kwamba ni wao wamefanya

lets not get into the new level ya jungle, we can do better bila kupiga wajawazito

BTW, kitendo kinachoashiria rushwa ni kipi?

Heshima kwako Acid,

Mkuu mwendo wa kampeni Arusha ukiachiwa uendelee hakika Tarime nyingine itazaliwa Tanzania kwasababu ya upuuzi wa watu wachache sana.
 
Back
Top Bottom