Uko sahihi..Watanzania wanashangaza sana.
Vodacom inamilikiwa na Ccm kama mwanahisa, kwa hali yoyote, Vodacom haiwezi kukubali mmiliki wake ahenyeshwe wakati wanaweza kutoa taarifa kwa chama kuhusu mambo mbalimbali yanayofanyika kupitia mtandao wa vodacom yanayokidhuru chama.
Binafsi nawapongeza vodacom kwa ushirikiano mkubwa wanaoutoa kwa chama tawala.
Wale wenye nongwa, kuna mitandao mingine wala hamjalazimishwa kubaki vodacom, nendeni mjiunge na mitandao ya mabeberu
Vodacom ni Mali ya CCM alisikika musiba akiongea.Kwa kitendo chenu cha kudukua mawasiliano ya akna Membe mmejitia KITANZI wenyewe . Watu maelfu wanaendelea kuwaacha, hamfai na mko hovyo.Mimi nimeshaweka chip yenu pembeni.
ASANTE MKUU!Watanzania wanashangaza sana.
Vodacom inamilikiwa na Ccm kama mwanahisa, kwa hali yoyote, Vodacom haiwezi kukubali mmiliki wake ahenyeshwe wakati wanaweza kutoa taarifa kwa chama kuhusu mambo mbalimbali yanayofanyika kupitia mtandao wa vodacom yanayokidhuru chama.
Binafsi nawapongeza vodacom kwa ushirikiano mkubwa wanaoutoa kwa chama tawala.
Wale wenye nongwa, kuna mitandao mingine wala hamjalazimishwa kubaki vodacom, nendeni mjiunge na mitandao ya mabeberu
By dr. Remmy: kifoooo, kifooo kifoooo kifoooo kifo Hakina huruma, ....tulikuwa na vodacom, ilifanya vizuri sana , ukaja weee vodaccm kifo ndio kimekuchukua, voda kwa heriii, kumbe mnatudukua
Vodacom akivujisha email address ambazo zipo connected na Jamii Forum. Utazidi kuipenda Vodacom nijulishe, ngoja niingie apa Msimbazi kupiga story.Unasema kitu ambacho unajua kabisa huwezi fanya. Unatumia voda sababu ya huduma zao, siyo kwa sababu ya mmilili. Nyumbu
We naye ni mjinga mwingine. Kwani celtel siilikuwa imeshauzwa kwa ZAIN na ZAIN akaiuza kwa Barti Airtel? Nchi ilivyofatilia haki zake haijapata?Wajinga tu ndiyo mna chukua maneno. Vodacom imeshauzwa kwa Vodaphone na sio kampuni ya Tanzania. Kuna share chache sana ziliuzwa pale DS exchange lakini wachache walinunua lengo la Magu ilikuwa ukiuza stock kwa uma inabidi uripoti kwa uma mapato hivyo lengo ni kodi sio share. Rostam alikuwa na share Vodacom lakini aliziuza kwa Vodaphone kabla ya 2015 na kumfanya awe $Billionea
Itajeni tuijue maana hawa wanaweza kuanza kutaja mpaka michepuko na wakaua ndoa zetuSensitive buyers always neglet anonymity price increase
Watanzania wanashangaza sana.
Vodacom inamilikiwa na Ccm kama mwanahisa, kwa hali yoyote, Vodacom haiwezi kukubali mmiliki wake ahenyeshwe wakati wanaweza kutoa taarifa kwa chama kuhusu mambo mbalimbali yanayofanyika kupitia mtandao wa vodacom yanayokidhuru chama.
Binafsi nawapongeza vodacom kwa ushirikiano mkubwa wanaoutoa kwa chama tawala.
Wale wenye nongwa, kuna mitandao mingine wala hamjalazimishwa kubaki vodacom, nendeni mjiunge na mitandao ya mabeberu
Kuna baa inaitwa Chakwale pande fulani kumbe jina ni la hukoMungu Ibariki Tanzania
Mungu Ibariki Chakwale
Mungu Ibariki Gairo
BORA kuhama kabisa maana mm mpaka sasa line yangu niliingiza kwenye mkataba na kampuni yangu mwezi wa pili sasa simu siwezi kupiga ila napigiwa tu. Ukipiga inaandika ACM LIMIT EXCEEDED then inakata .Tutahama wote!!
Huduma zao zenyewe sahv mbovu wamepandisha vifurushi hadi sisi apeche apolo tunashindwa kununuaUnasema kitu ambacho unajua kabisa huwezi fanya. Unatumia voda sababu ya huduma zao, siyo kwa sababu ya mmilili. Nyumbu
Hiyo kampeni itawarudisha kwenye mstari imeanza kiutani utani leo na tayari naona mabadilikoNahisi pia gharama zao na kupandisha bei zao ndo kumechochea pia..maana hata huku JF nyuzi za kuwasema hawa jamaa negatively zipo nyingi sana
Let's see how will it bring effects..