Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 4,267
- 10,275
Rwanda na Burundi miaka ya 90 zilikuwa kwenye wakati mgumu husasani mauaji ya kimbari.ila mpaka leo imekuwa kama centre ambayo kila kukicha kambi zimeshindwa kufungwa na mpaka sasa sababu ya wakimbizi nchi hizi mbili hakuna.
Ukiangalia nchi Rwanda na Burundi amani na utulivu hupo na watu wanafanya biashara kila kukicha.
Ingekuwa labda wakongo kule goma sawa mwenye ktujuza kwa nini zimeshindwa kufungwa.
Ukiangalia nchi Rwanda na Burundi amani na utulivu hupo na watu wanafanya biashara kila kukicha.
Ingekuwa labda wakongo kule goma sawa mwenye ktujuza kwa nini zimeshindwa kufungwa.