Teh mbona tayari lipo....
Ataitwa Baby JF.....
Teh kutuenzi wanajamii Forums
hehheh unampa za uso ndo maana anakubania mwalikoMwenyekiti unavuka mipaka...hadi jina la mtoto uchague ww?hii kamati ya harusi au kamati ya uzazu?...
hehheh unampa za uso ndo maana anakubania mwaliko
Dogo umeanza.....unasahau wadhfa wangu eeh
utakula ban ooh
Haya nimekusamehe...chagua kamati
Duh haka nahisi kanawafaa wanakamati aisee
ah ah ha a h hapana wanakamati kama excellent atakubali nitawapatia hako kausafiri hapo chini nitaomba tu mvumilie kama hamtakapenda.
ila mkiwa wasumbufu nitawapa hii ya chini
umeona eeh?! anajipendelea sana... mimi nataka kutangaza hali ya kutokuwa na iman juu ya Mwenyekiti, kwanza sijui ametumia vigezo gani kumchangua mtunza fedha!! hajaweka hadharani, japo kwa nepesi nyepesi nilizo nazo wote wnantoka mji mmoja.... sasa jumlisha na za kwakobajaza?...nakwambia mwenyekiti nina mashaka na ww!
kapi? ka juu au ka chini? hilo la juu ni kwakuwa nahisi wanakamati mtakuwa wengi sana!!Lol haka kanawafaa wanyaji vinywaji vigumu....siwataji
Lol haka kanawafaa wanyaji vinywaji vigumu....siwataji
msinisahau kwenye kamati tafadhalini
umeona eeh?! anajipendelea sana... mimi nataka kutangaza hali ya kutokuwa na iman juu ya Mwenyekiti, kwanza sijui ametumia vigezo gani kumchangua mtunza fedha!! hajaweka hadharani, japo kwa nepesi nyepesi nilizo nazo wote wnantoka mji mmoja.... sasa jumlisha na za kwako
!!