heh Kongosho anatumia nini? na TB naye yumo humo?hahahahahhaaa...tutaishia njiani wote...ukumbini si atafika dereva tu...ulevi wenyewe ule wa Kongosho na wenzie...
hivi ile kamati ya kuandaa watoto wa maua nani amepewa? na kufundisha watoto kucheza show sijui nani amepewa hizo kamati nadhani unaweza changamkia mwenyewe mapema....... nitakufikiria na ka usafiri
heh Kongosho anatumia nini? na TB naye yumo humo?
SS,
mm nachangia kumuheshimu braza angu Jg,na shem Husny tunapatana sana,ila mwenyekiti na mtunza fedha wa kamati wako kimapenzi zaidi!
konyagi mwitu ndo pombe zao hao!
Teh bora umejua ni Majungu Senior member
Tuko kimapenzi kweli na kazi utaiona tu....
Hivi hujachukua kamati bado???
Da, unaonaje tukianza mchakato wa kamati ya mapinduzi ya kamati ya harusi?
Au kama vipi tuwe kama clouds, tuinunue shughuli yote halafu tukusanye michango yooote kwetu
Bagah...
na wewe naona hauko mbali sana....unajunguajungua tu
Tuko kimapenzi kweli na kazi utaiona tu....
Hivi hujachukua kamati bado???
ok, hebu ngoja nijaribu yaani hapa ikitokea Bishanga, Nitonye na Bujibuji wakawa upande wangu mbona natoka kimasomaso!!wazo la kwanza la msingi SS!..tafta mwanaharakati mwingine tuwe watatu!
aha kumbe kila mwana harakati umamwita anajungua tu, sasa ngoja nitafute kamati mbadala/kamati kivuki na niendeshe mchakato wa kukupindua kwa kutumia PM
nimechukua...kamati ya mapinduzi...niko na SS
ok, hebu ngoja nijaribu yaani hapa ikitokea Bishanga, Nitonye na Bujibuji wakawa upande wangu mbona natoka kimasomaso!!