Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,539
- 11,442
Nikiwa kama Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya harusi hii kubwa, napenda kutoa taarifa kwa wanajamii wote mtoe mapendekezo ya Wenyeviti wa kamati mbalimbali na wajumbe wa kamati hizo ili maandalizi ya harusi yaanze mara moja...
Kutokana na utaalamu alionao Amyner katika mambo ya fedha nimemteua awe Mtunza Hazina wa Kamati hii nzito.
Kamati nyingine naomba muwapendekeze watu kulingana na uzoefu wao!
Karibuni sana
Wenu
Erickb52
Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi
Harusi ya Judgement na Husninyo
Kutokana na utaalamu alionao Amyner katika mambo ya fedha nimemteua awe Mtunza Hazina wa Kamati hii nzito.
Kamati nyingine naomba muwapendekeze watu kulingana na uzoefu wao!
Karibuni sana
Wenu
Erickb52
Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi
Harusi ya Judgement na Husninyo