Mbwa kala Mbwa! 😜 😜 😜CCM inayoongozwa na Samia imeitaka Serikali ya Samia kusikiliza kero la tozo linalolalamikiwa na wanachi ili iweze kulitatua.
Kwenu studio.
Mwenyekiti anajipa maelekezo mwenyewe kwanini asifanye maamuzi juu kwa juu!?
Sambamba na hilo mabadiliko yaende sambamba na kung'oka kwa waziri wa fedha
Drama kubwa.CCM inayoongozwa na Samia imeitaka Serikali ya Samia kusikiliza kero la tozo linalolalamikiwa na wanachi ili iweze kulitatua.
Kwenu studio.
Ncheke mie 😄😄Ni sawa na kujitekenya mwenyewe na kucheka.
Dr wa Uchumi aliyepo Wizara ya Fedha atoswe, asulubiwe!!CCM inayoongozwa na Samia imeitaka Serikali ya Samia kusikiliza kero la tozo linalolalamikiwa na wanachi ili iweze kulitatua.
Kwenu studio.
Si ndo hawa wanawatuma wakina Stive Nyerere wakatetee tozoCCM inayoongozwa na Samia imeitaka Serikali ya Samia kusikiliza kero la tozo linalolalamikiwa na wanachi ili iweze kulitatua.
Kwenu studio.
Mmmmmmhhhh!!!!!Endeleeni na TOZOCCM inayoongozwa na Samia imeitaka Serikali ya Samia kusikiliza kero la tozo linalolalamikiwa na wanachi ili iweze kulitatua.
Kwenu studio.
Hizo tozo zimekuwa shubiri pamoja na ukweli kwamba mama anahusika kuzibariki lakini tunajua pia waziri Mwitozo anahusika sana pale wizara ya fedha kuwawekea watanzania wenzake tozo kama vile hajui ugumu uliopo tukiwa na tozo nyingi kiasi hiki.CCM inayoongozwa na Samia imeitaka Serikali ya Samia kusikiliza kero la tozo linalolalamikiwa na wanachi ili iweze kulitatua.
Kwenu studio.
Serikali ya Rais Samia Suluhu ni sikivu sana kama alivyowasiliza wananchi kuusu bei ya mafutaCCM inayoongozwa na Samia imeitaka Serikali ya Samia kusikiliza kero la tozo linalolalamikiwa na wanachi ili iweze kulitatua.
Kwenu studio.
Tozo kwa maendelo ya jamii me sitamani itolewe ibaki tuHizo tozo zimekuwa shubiri pamoja na ukweli kwamba mama anahusika kuzibariki lakini tunajua pia waziri Mwitozo anahusika sana pale wizara ya fedha kuwawekea watanzania wenzake tozo kama vile hajui ugumu uliopo tukiwa na tozo nyingi kiasi hiki.
Ila Steve katuvuruga haswa. Utafikiri yeye ni KE, kajuaje kwamba ME ndo wanalalamika zaidi. Inaonesha pengine ana vinasaba vya KE zaidi.