johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,780
- 141,667
Serikali na Mabenki mezani kujadili Makali ya Tozo
---
"Rais Samia Suluhu Hassani kwenye Bajeti ya mwaka wa fedha 2022/2023 ametenga Sh954 bilioni sawa na asilimia 224 ya bajeti yetu jambo ambalo halijawai kutokea katika historia ya nchi yetu, fedha hizo katika bajeti zimeelekezwa katika kutoa ruzuru ya mbolea kwa ajili ya kuongeza tija na kushusha bei ya pembejeo kwa wakulima pamoja na ujenzi wa miundo mbinu na umwagiliaji," Katibu wa Itikadi na Uenezi (CCM) Shaka Hamdu Shaka.
"Kamati Kuu CCM imelekeza Serikali kutazama hali halisi na kuchukua hatua stahiki kuhusu maoni na ushauri wa wananchi kuhusu tozo, maelezo hayo ya kamati Kuu yamezingatia ibara ya 20 kifungu kidogo B ya ilani ya uchaguzi ya mwaka 2025,"Shaka Hamdu Shaka.
---
"Rais Samia Suluhu Hassani kwenye Bajeti ya mwaka wa fedha 2022/2023 ametenga Sh954 bilioni sawa na asilimia 224 ya bajeti yetu jambo ambalo halijawai kutokea katika historia ya nchi yetu, fedha hizo katika bajeti zimeelekezwa katika kutoa ruzuru ya mbolea kwa ajili ya kuongeza tija na kushusha bei ya pembejeo kwa wakulima pamoja na ujenzi wa miundo mbinu na umwagiliaji," Katibu wa Itikadi na Uenezi (CCM) Shaka Hamdu Shaka.
"Kamati Kuu CCM imelekeza Serikali kutazama hali halisi na kuchukua hatua stahiki kuhusu maoni na ushauri wa wananchi kuhusu tozo, maelezo hayo ya kamati Kuu yamezingatia ibara ya 20 kifungu kidogo B ya ilani ya uchaguzi ya mwaka 2025,"Shaka Hamdu Shaka.