johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,780
141,667
Serikali na Mabenki mezani kujadili Makali ya Tozo
---
"Rais Samia Suluhu Hassani kwenye Bajeti ya mwaka wa fedha 2022/2023 ametenga Sh954 bilioni sawa na asilimia 224 ya bajeti yetu jambo ambalo halijawai kutokea katika historia ya nchi yetu, fedha hizo katika bajeti zimeelekezwa katika kutoa ruzuru ya mbolea kwa ajili ya kuongeza tija na kushusha bei ya pembejeo kwa wakulima pamoja na ujenzi wa miundo mbinu na umwagiliaji," Katibu wa Itikadi na Uenezi (CCM) Shaka Hamdu Shaka.

"Kamati Kuu CCM imelekeza Serikali kutazama hali halisi na kuchukua hatua stahiki kuhusu maoni na ushauri wa wananchi kuhusu tozo, maelezo hayo ya kamati Kuu yamezingatia ibara ya 20 kifungu kidogo B ya ilani ya uchaguzi ya mwaka 2025,"Shaka Hamdu Shaka.

 
Serikali na Mabenki mezani kujadili Makali ya Tozo

Source: Mwananchi
Kutakuwa na juisi hapo mezani? Either way wanajadili nini? Ili wapunguze? Yule jamaa mwenye dhamana wakati anapakia hizo tozo alitegemea nini? Aliye tia saini sheria hakusoma alichokuwa anatia saini?
 
Serikali na Mabenki mezani kujadili Makali ya Tozo

Source: Mwananchi
Waendelee na tozo waziue tena bank kama alivyo fanya mwenda zaje.
Ona hasara aliyo waliyo pata vodacom kwa kuondokewa na wateja 1.3m kutokana na tozo za miamala.
Kwa kuondokewa na hao wateja serikali ime kosa kodi kiasi gani toka voda?
 
Waendelee na tozo waziue tena bank kama alivyo fanya mwenda zaje.
Ona hasara aliyo waliyo pata vodacom kwa kuondokewa na wateja 1.3m kutokana na tozo za miamala.
Kwa kuondokewa na hao wateja serikali ime kosa kodi kiasi gani toka voda?
Kupanga ni Kuchagua
 
Huo mjadala hawakuuufanya kabla ya kupitisha sheria ya kukusanya tozo?
 
Ndiyo Serikali za kiafrika hizo.

Linatengenezwa tatizo, chawa wanalipamba huku walio wengi wanapumlia mashine halafu unajitia kusikia kilio cha wengi, unalitatua.

Chawa wanaibuka tena kuipongeza serikali kwa usikivu.

Ndiyo maisha yetu hayo.
 


Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi Taifa (CCM) imeielekeza Serikali kutazama hali halisi na kuchukua hatua stahiki kuhusu maoni na ushauri wa Wananchi kuhusu # Tozo za Miamala ya Kielektroniki.

Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM, Shaka Hamdu Shaka amesema Kamati Kuu ya Taifa imeona kuna umuhimu wa kutafakari kuhusu Tozo iliyoanza kutekelezwa hivi karibuni.

Amesema “Maelezo hayo yamezingatia Ibara ya 20 Kifungu kidogo B ya Ilani ya Uchaguzi 2025, kuongeza upatikanaji wa huduma za kifedha kwa gharama nafuu kwa kupanua wigo wa matumizi ya TEHAMA, kuchochea uwekezaji wa ndani na kukidhi mahitaji halisi ya Wananchi hususani waishio vijijini.”
 


Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi Taifa (CCM) imeielekeza Serikali kutazama hali halisi na kuchukua hatua stahiki kuhusu maoni na ushauri wa Wananchi kuhusu # Tozo za Miamala ya Kielektroniki.

Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM, Shaka Hamdu Shaka amesema Kamati Kuu ya Taifa imeona kuna umuhimu wa kutafakari kuhusu Tozo iliyoanza kutekelezwa hivi karibuni.

Amesema “Maelezo hayo yamezingatia Ibara ya 20 Kifungu kidogo B ya Ilani ya Uchaguzi 2025, kuongeza upatikanaji wa huduma za kifedha kwa gharama nafuu kwa kupanua wigo wa matumizi ya TEHAMA, kuchochea uwekezaji wa ndani na kukidhi mahitaji halisi ya Wananchi hususani waishio vijijini.”

Asante kwa taarifa
P
 


Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi Taifa (CCM) imeielekeza Serikali kutazama hali halisi na kuchukua hatua stahiki kuhusu maoni na ushauri wa Wananchi kuhusu # Tozo za Miamala ya Kielektroniki.

Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM, Shaka Hamdu Shaka amesema Kamati Kuu ya Taifa imeona kuna umuhimu wa kutafakari kuhusu Tozo iliyoanza kutekelezwa hivi karibuni.

Amesema “Maelezo hayo yamezingatia Ibara ya 20 Kifungu kidogo B ya Ilani ya Uchaguzi 2025, kuongeza upatikanaji wa huduma za kifedha kwa gharama nafuu kwa kupanua wigo wa matumizi ya TEHAMA, kuchochea uwekezaji wa ndani na kukidhi mahitaji halisi ya Wananchi hususani waishio vijijini.”

CCM wanatuona Watanzania kama hatuna akili vile! Yaani Mwenyekiti wa hicho chama ndiye aliyebariki hizo tozo, halafu leo wanakuja na maigizo yao ili kutafuta attention.
 


Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi Taifa (CCM) imeielekeza Serikali kutazama hali halisi na kuchukua hatua stahiki kuhusu maoni na ushauri wa Wananchi kuhusu # Tozo za Miamala ya Kielektroniki.

Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM, Shaka Hamdu Shaka amesema Kamati Kuu ya Taifa imeona kuna umuhimu wa kutafakari kuhusu Tozo iliyoanza kutekelezwa hivi karibuni.

Amesema “Maelezo hayo yamezingatia Ibara ya 20 Kifungu kidogo B ya Ilani ya Uchaguzi 2025, kuongeza upatikanaji wa huduma za kifedha kwa gharama nafuu kwa kupanua wigo wa matumizi ya TEHAMA, kuchochea uwekezaji wa ndani na kukidhi mahitaji halisi ya Wananchi hususani waishio vijijini.”

Mwenyekiti anajipa maelekezo mwenyewe kwanini asifanye maamuzi juu kwa juu!?
Sambamba na hilo mabadiliko yaende sambamba na kung'oka kwa waziri wa fedha
 


Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi Taifa (CCM) imeielekeza Serikali kutazama hali halisi na kuchukua hatua stahiki kuhusu maoni na ushauri wa Wananchi kuhusu # Tozo za Miamala ya Kielektroniki.

Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM, Shaka Hamdu Shaka amesema Kamati Kuu ya Taifa imeona kuna umuhimu wa kutafakari kuhusu Tozo iliyoanza kutekelezwa hivi karibuni.

Amesema “Maelezo hayo yamezingatia Ibara ya 20 Kifungu kidogo B ya Ilani ya Uchaguzi 2025, kuongeza upatikanaji wa huduma za kifedha kwa gharama nafuu kwa kupanua wigo wa matumizi ya TEHAMA, kuchochea uwekezaji wa ndani na kukidhi mahitaji halisi ya Wananchi hususani waishio vijijini.”

Mnatengeneza tatizo halafu mnakuja hapa ngonjera zenu kuwa kamati kuubimeelekeza sijui nn!. Kamati kuu I aongozwa na nani na tozo ilibarikiwa na Nan? Ninyi mnatuona watanzania wote ni zuzu!?. Wewe Shaka wewe Shaka wewe Shaka ndo sababu ukaitwa shaka!. Ondoa ushaka hapa!.
 
Back
Top Bottom