Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,565
- 7,988
Kwani Lema ni mbunge wa taifa au wa Jimbo la Arusha mjini.
naomba mwongozo.
Nenda kajielimishe hata kwa kupitia njia ya MEMKWA majukumu ama wajibu wa mbunge. Uzuri mmoja wabunge wenu wa magamba wanaishia kwenye level ya jimbo hawana uelewa na uwezo wa kitaifa, contrary na wabunge wa chadema ambao wako level ya kitaifa.