Habari yako mkuu, jana uliomba katiba ya CHADEMA nikakupatia vipi umeipitia, je umeona makosa ya CC ya Chadema?...
hapo juu kwenye rangi nyekundu hebu nikumbushe ziko wilaya gani na nani diwani, mbunge wa sehemu husika, kwnye rangi ya blue siijui hii barabara...
unashangaa kwanini CC ya CHADEMA imekuja hapa Arusha madiwani watano siyo mchezo kama ingekuwa CCM kamwe wasinge wafukuza sasa basi watu wa Arusha wengi hawajui kilicho tokea na Lema peke yake pengine wengine wasinge mwelewa kwani walio fukuzwa wana mtuhumu na hata leo Asubuhi nimepita sehemu wanaangea na baadhi ya wana Arusha kuwa tazizo ni Lema hivyo Kamati kuu ni busara nani kuonyesha kuwa heshimu wapiga kura wao wa Arusha kuja kuwajulisha kilicho tokea mpaka kufikia kuwatimu madiwa hao... ni maoni yangu tu