mopaomokonzi
JF-Expert Member
- Aug 2, 2011
- 308
- 28
Madiwani wale hawana hatia wakubwa wataumbuka sana kwa hili. I wise man changes his mind but a full will never.kwenye hili haikutakiwa kuonesha ubabe wa kutafasiri kanuni bali ilitakiwa kuonesha hekima. Madiwani sio watendaji bali ni watu wakuchaguliwa. Ukishika mpini lazima ujue namna ya kuyatumia makali