Kamati kuu CHADEMA kufunika Arusha Alhamisi

Kamati kuu CHADEMA kufunika Arusha Alhamisi

mi nilimpita lema maeneo ya baraba ya nairobi akihutubia na raia wlikuwa kibao sikuweza kusimama
 
Yaani kama uchaguzi ungefanyika leo - ccm wasingepata hata hiyo kata ya magogoni. ha ha ha

Alama za nyakati zinaonyesha dalili zote kwamba things are falling apart under ccm -- yaani ni sawa na mtoto aliyekosa lishe bora lazima adumae -= wameshafika ukomo wa mawazo (constructive ideas hamna) -- wananchi tumeligundua hilo -- hao madiwani 5 nilipendekeza waonane na katibu mwenezi wa ccm kabla ya kurudi arusha ili wajaribu kuzikomboa kata zao kama wana ubavu huo.

Kweli chadema ni chama madhubuti na watu wameshakikubali na hata baba wa taifa aligusia hilo wakati wa uhai wake wakati alipoulizwa chama gani kinaweza kuja kuwa chama makini - ningekuwa mimi mwanasiasa na niko ndani ya ccm ningeanza kuangalia mustakabali wangu binafsi kwanza -- maana chama kimeshakuwa cha upinzani tayari.

Cha msingi CHADEMA waanze kuangalia wafanyakazi wasafi ndani ya serikali hii ya sasa na katika taasisi zake ambao watachukuliwa wakati wa kuunda serikali ijayo - mimi naiita itakuwa SERIKALI YA WANANCHI.

Yaani naona kwa mbalii kuna mwanga - na unazidi kusogea kuelekea ukombozi kwa kweli 2015.
 
Kama wamefikiri kuwa wamefanya maamuzi magumu yanini CC yote iende Arusha? Je wanakwenda kufanya nini?au ndio kujikosha kwa wana Arusha watu ambao wamechoshwa na malumbano ya takriban mwaka mzima pasi na maendeleo. wanataka ile barabara ya kwenda skuli kwangu Ilboru (BINO Rd) kutokea sanawari na ile inayotokea mianzini mpaka Ekenywa na ile ya Inaboishu na barabara za majengo, mbauda kaloleni zitiwe lami.

Nachelea kujiuliza Hii CC ya Chadema itawaeleza nini wananchi wenye kiu ya maendeleo? Haya angu macho.

Shule yangu Ilboru inasifika sana
Popote ninapokwenda inasifika sana,
Kwa usafi na majengo inasifika sana.
Shule yangu naku peenda.

Walimu wafanyakazi wasifika sana.

Du Nimemkumbuka BINO mwl Mushi

Miaka 50 tangu nchi ipate uhuru hamjaweza kuzitia lami halafu leo ndo unaanza kulialia hapa?

We subiri tu, baada ya muda mfupi utapita kwenye lami. Huu ni mwezi wa nane, wewe unasema mgogoro una takriban mwaka mzima wakati ni miezi michache si zaidi ya minane, nashindwa kushangaa huko ilboru ulifikaje ikiwa hesabu ndogo hivi huifahamu!!
 
Suala la msingi japo mnarukaruka. Je CC itajinasibu kwa lipi huko Arusha? Kwa malumbano wasitaka yaishe au kuwafukuza madiwani wake?

Je wananchi wa Arusha wanataka story za kufukuza madiwani au wanataka maendeleo ya jimbo lao lisilokuwa na barabara hata moja ya lami ya manispaa.
 
matusi ya nini Bro.
Jibu hoja sio kubwabwaja. wananchi wa Arusha wanataka maendeleo sio malumbano. Hivi mikutano yenu mtajinasibu kwa lipi?
Pole sana mkuu, kama unataka kujua tutajinasibu nini njoo kwenye mkutano kesho...au kama uko nje ya A-Town pitia JF utapata...
 
Je unakumbuka ahadi za mbunge wenu wakati anaomba ridhaa za wananchi. Pitia kanda ile ya TVT kipindi cha mchakato majimboni. Alipanga mambo ake katika siku 100, miezi mitatu na mwaka mmoja na kuendelea. Sasa nafikiri sasa ni wakti muafaka kujustify ahadi zake ndani ya miezi tisaa.<br />
<br />
Je Amewafanyia nini wakaazi wa Arusha town ndani ya uongozi wake. Je ahadi zake ametimiza. Hizo ndio itakuwa silaha zao kuu kuwanadi wagombea udiwani wao kama itaamuliwa uchaguzi urejewe.
<br />
<br />

Usimweke Lema kwenye level ya madiwani, Lema anafanya ,mambo mengi na ya level ya kitaifa zaidi. Hata hicho alichokifanya mpaka sasa hakuna mbunge hata mmoja wa magamba amefikia record yake ya hii miezi tisa.
Tupe Mmagamba ambaye amefanya kitu ambacho kila mtanzania aka appreciate kama alivyoibomoa wizara ya mambo ya ndani.

Kasome hotuba ya Lema uone jamaa anavyofanya kazi kwa kujituma!

Tukiwa na akaina Lema kumi nchi hii kila mtu atabadilika na Kila mwananchi atapata haki yake!

Nchi hii hatunashida ya kufanya vitu vya maendeleo maana resource zote tunazo, issue ni uongozi bora ndo umekosekana. Tukiliweka sawa hila la uongozi bora maendeleo ni kitu cha muda mfupi tu.

Kama wewe Barubaru ukioa tu unanenepa kwa muda wa mwezi mmoja kisa mkeo anakupikia vizurui tofauti na ulivyouwa unakula baa vivyo hivyo wanaArusha mambo ya maendeleo yatakuja kwa ulaini tu kama Tukiondoa vipingamizi vyote vya magamba kama ufisadi na rusha pamoja na uminyaji wa haki za watu.



Hakuna utamu wa maendeleo tukiwa kwenye hali hii ya sasa maana the country is in coma kwa ufisadi na rushwa. Maendeleo unayoyataaka tukiwa katika hali ya sasa ni kuwafaidisha mafisadi na wala ruswa nchi hii.

Tuna hitaji haki zetu kwanza na tunahitaji a completely change of direction. We need a vector country and not a scalar country like is now!


Tafakari pale ulipo sio salama sana kufumba na kufumbua utabaki uchi!

Go go go go go Lema!
 
Je unakumbuka ahadi za mbunge wenu wakati anaomba ridhaa za wananchi. Pitia kanda ile ya TVT kipindi cha mchakato majimboni. Alipanga mambo ake katika siku 100, miezi mitatu na mwaka mmoja na kuendelea. Sasa nafikiri sasa ni wakti muafaka kujustify ahadi zake ndani ya miezi tisaa.

Je Amewafanyia nini wakaazi wa Arusha town ndani ya uongozi wake. Je ahadi zake ametimiza. Hizo ndio itakuwa silaha zao kuu kuwanadi wagombea udiwani wao kama itaamuliwa uchaguzi urejewe.

Usitumie kile kiungo cha masaburi kufikiri, TVT ndo kitu gani?

Kama vijimambo vidogo kama hivi huwezi kuvifahamu, makubwa utayajuaje?

Hata hivyo ahadi za Lema zinatekelezwa kwa kipindi cha miaka mitano, na tangu amechaguliwa hata mwaka mmoja haujatimia, sasa wewe kiherehere kinatoka wapi? magamba mmeshindwa kuiletea nchi maendeleo pamoja na kuwa madarakani miaka 50.
 
Miaka 50 tangu nchi ipate uhuru hamjaweza kuzitia lami halafu leo ndo unaanza kulialia hapa?

We subiri tu, baada ya muda mfupi utapita kwenye lami. Huu ni mwezi wa nane, wewe unasema mgogoro una takriban mwaka mzima wakati ni miezi michache si zaidi ya minane, nashindwa kushangaa huko ilboru ulifikaje ikiwa hesabu ndogo hivi huifahamu!!

Kwa hisabau nimemkumbuka Mwl Kilingo hapo.
 
Labda kwa haraka haraka unaweza kuniambia Chadema wamewafanyia nini wakaazi wa Arusha mjini kwa takriban mwaka mmoja toka waingie madarakani.

Wewe Barubaru, kwa mara ya pili sasa nakuuliza kwa nini unauliza CHADEMA wamefanya nini kwa moja mmoja na sio CCM waliokaa miaka 50? What is your problem?
 
<br />
<br />

Usimweke Lema kwenye level ya madiwani, Lema anafanya ,mambo mengi na ya level ya kitaifa zaidi. Hata hicho alichokifanya mpaka sasa hakuna mbunge hata mmoja wa magamba amefikia record yake ya hii miezi tisa.
Tupe Mmagamba ambaye amefanya kitu ambacho kila mtanzania aka appreciate kama alivyoibomoa wizara ya mambo ya ndani.

Kasome hotuba ya Lema uone jamaa anavyofanya kazi kwa kujituma!

Tukiwa na akaina Lema kumi nchi hii kila mtu atabadilika na Kila mwananchi atapata haki yake!

Nchi hii hatunashida ya kufanya vitu vya maendeleo maana resource zote tunazo, issue ni uongozi bora ndo umekosekana. Tukiliweka sawa hila la uongozi bora maendeleo ni kitu cha muda mfupi tu.

Kama wewe Barubaru ukioa tu unanenepa kwa muda wa mwezi mmoja kisa mkeo anakupikia vizurui tofauti na ulivyouwa unakula baa vivyo hivyo wanaArusha mambo ya maendeleo yatakuja kwa ulaini tu kama Tukiondoa vipingamizi vyote vya magamba kama ufisadi na rusha pamoja na uminyaji wa haki za watu.



Hakuna utamu wa maendeleo tukiwa kwenye hali hii ya sasa maana the country is in coma kwa ufisadi na rushwa. Maendeleo unayoyataaka tukiwa katika hali ya sasa ni kuwafaidisha mafisadi na wala ruswa nchi hii.

Tuna hitaji haki zetu kwanza na tunahitaji a completely change of direction. We need a vector country and not a scalar country like is now!


Tafakari pale ulipo sio salama sana kufumba na kufumbua utabaki uchi!

Go go go go go Lema!
Kwani Lema ni mbunge wa taifa au wa Jimbo la Arusha mjini.

naomba mwongozo.
 
Nimekupata vema kabisa na bila shaka hiyo kesho PATAELEWEKAaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Unajua Barubaru....ungekua mtanzania unaishi Arusha, au walau Tanzania, wala usingeuliza hayo maswali yako. Nchi haipo katika home mode kusema utakiona kila kitu straight kama unavyodhani. There is a very rough and tough road to drive kufikia walau mahali ambapo 1+1 inasoma 2.

Mfano rahisi tu,angalia sarakasi za wabunge wa CCM,mawaziri, waziri mkuu na maspika kule bungeni halafu useme kama unategemea maendeleo yeyote kwa mtindo ule.

Kwa sasa, nchi ipo kwenye emergency state isiyo rasmi na chama au mbunge au diwani makini, kwangu mimi sitampima kwa kigezo cha eti amefanya nini jimboni kwake bali anashiriki vipi katika MAPAMBANO ya kuirejesha Tanzania katika mstari.
By the way Ni siku ya saba sasa taifa "halina" nishati ya mafuta katikati ya upungufu mkubwa na wa hatari wa nishati ya umeme na raisi hajatoa kauli yake. You see? 1+ 1 is not equal to 2, for now, for Tanzania!

Goodluck in your beloved motherland Qatar! The home of Bin Hamman na FIFA 2022 winter world cup!

Je unakumbuka ahadi za mbunge wenu wakati anaomba ridhaa za wananchi. Pitia kanda ile ya TVT kipindi cha mchakato majimboni.

Alipanga mambo ake katika siku 100, miezi mitatu na mwaka mmoja na kuendelea. Sasa nafikiri sasa ni wakti muafaka kujustify ahadi zake ndani ya miezi tisaa.

Je Amewafanyia nini wakaazi wa Arusha town ndani ya uongozi wake. Je ahadi zake ametimiza. Hizo ndio itakuwa silaha zao kuu kuwanadi wagombea udiwani wao kama itaamuliwa uchaguzi urejewe.
 
Suala la msingi japo mnarukaruka. Je CC itajinasibu kwa lipi huko Arusha? Kwa malumbano wasitaka yaishe au kuwafukuza madiwani wake?

Je wananchi wa Arusha wanataka story za kufukuza madiwani au wanataka maendeleo ya jimbo lao lisilokuwa na barabara hata moja ya lami ya manispaa.

Wananchi wa arusha wao wenyewe wanajua wanachokitaka, na ndio hao wanaokusanyika katika shughuli za ufunguzi wa matawi na kisha kuhudhuria mikutano ya chadema.

Sasa sijui wewe unamsemea nani hapa wakati wenyewe wapo.
 
Suala la msingi japo mnarukaruka. Je CC itajinasibu kwa lipi huko Arusha? Kwa malumbano wasitaka yaishe au kuwafukuza madiwani wake?

Je wananchi wa Arusha wanataka story za kufukuza madiwani au wanataka maendeleo ya jimbo lao lisilokuwa na barabara hata moja ya lami ya manispaa.

yaani roho inakuuma mpaka basi .... kwanini unateseka hivi ... yaani CDM inakutesa namna hii

unaongea mwenyewe na kujijibu mwenyewe huku unatafuna tende na kula madafu ... wewe tena ni kobe ....sidhani kama umefunga
 
Wewe Barubaru, kwa mara ya pili sasa nakuuliza kwa nini unauliza CHADEMA wamefanya nini kwa moja mmoja na sio CCM waliokaa miaka 50? What is your problem?

najua hakuna walichofanya kwa miezi yote toka wawekwe madarakani zaidi ya kuendeleza malumbano na uhasama baina ya waliowachagua.

Suala langu lingine je watajinasibu kwa lipi hapo Mjini Arusha?

Je wananchi wa Arusha town wanataka malumbano au maendeleo?
Je wamewafanyia nini mpaka sasa katika zile ahadi zao walizowaahidi
 
Back
Top Bottom