Lema amefanya vitu vingi kwa miezi 8 ambapo hakuna mbunge wowote wa CCM aliyefanya kwa kipindi hicho,anasomesha watoto 400 katika shule za sekondary kwa pesa alizozitafuta kwa wahisani,ametoa ambulance 2 kwa hospital ya mkoa wa Arusha, je huyu meya wa Arusha wa CCM yeye kafanya nini na madiwani wake wa CCM?
WANA arusha wanaelimu ndiyo mana hawadaganyiki nendeni mkawadaganye wasio kuwa na elimu,ila si muda mrefu na wao wataelimika,sijui mtawadaganya kina nani tena,nchi ipo gizani kila siku,mafuta nayo shida,ajira hakuna,kweli hii ndiyo miaka 50 ya uhuru wa CCM.