Barubaru
JF-Expert Member
- Apr 6, 2009
- 7,161
- 2,325
@ Dohar, Qatar aka barubaru, Asalaam Aleykum!!
Pole na swaumu kwanza!
Kwa Ilborian kuwaza namna hiyo,ninajipa moyo kwamba umeamua tu kutania,haupo serious. Au siyo?
Hizo ni typical kauli za watu wa level ya Nape, Tambwe et al. Watu makini wa Arusha wanatambua kuwa mahitaji yao ni zaidi ya "kutiwa lami" barabara za umenyeni ekenywa na enaboishu na kwa lonin'go......na wanatambua kuwa kamwe ukombozi wao hautakuja kwa muujiza ukipitia kwa serikali ya CCM. Kinachoendelea sasa ni work in progress ya kuung'oa huu utawala dhalimu (Si Arusha pekee) na kuweka uongozi makini utakaowaelekeza kwenye Arusha na Tanzania waitakayo. Hayo ya vibarabara vya umenyeni "kutiwa" lami ni secondary sana! Huu sio umri wa kudanganyiana peremende mkuu!
Kwa Loning'o na kwa Kishuu tulikuwa tunapata mahitaji yetu pale kama mikate na msosi mbadala kama Skuli kulipikwa Chui.
Hakika kuna mengi ambayo najua wazi wananchi wa Arusha walikuwa wanahitaji kama waTz wengine. Lakini nafikiri kwa muda huu suala la barabara ni muhimu hususan kwa wakaazi wa sehemu hizo.
Siku zote hisabu huanzia moja. sasa tujiulize kwa kipindi kifupi takriban mwaka mmoja walichowekwa madarakani Chadema hususan hapo Mjini Arusha wamewafanyia nini wapiga kura wao ukilinganisha na utawala uliopita? Hili ni suala la msingi sana katika kufikia maamuzi na kuwateka wananchi ili wakupe kura zaidi