franksarry
JF-Expert Member
- Nov 9, 2009
- 1,284
- 481
WAKAZI WA ARUSHA HAWATA TUANGUSHA....!
Mkuu aksante sana kwa pictures zako nzuri sana,
watu waerevu huwa wanatanguliza MASLAHI YA CHAMA MBELE, ndivyo walivyo waakazi wa Arusha!
wapo pamoja na chama chao CDM, tusubiri hiyo kesho mambo yatakavyo kwenda vizuri ktk mkutano wao. wataanzania wapenda-mabadiliko wote wapo pamoja nao CDM!
wanaoishi mbali, macho na masikio yao yatakuwepo hapo Arusha hiyo kesho!
Ushauri wa bure CCM wajifunze kufanya maamuzi magumu na mazito toka CDM.
wasione haya maana kila siku binadamu tunahitaji kujifunza, everyday is a new day!
Dr slaa mkaribishe Julius Mkama aje CDM, kujifunza jinsi ya kuongoza chama kwa kufuata misingi, taratibu n.k uliyowekwa ktk katiba ya chama husika, badala ya kuangalia nn Chairman na Family yake wanataka nn ktk chama!!! (angalieni CCM kinavyoendeshwa)
safari ni ndefu but tutafika tuuu, dawa ni kuondokana na laana ya UOGA na HOFU.
Mkuu aksante sana kwa pictures zako nzuri sana,
watu waerevu huwa wanatanguliza MASLAHI YA CHAMA MBELE, ndivyo walivyo waakazi wa Arusha!
wapo pamoja na chama chao CDM, tusubiri hiyo kesho mambo yatakavyo kwenda vizuri ktk mkutano wao. wataanzania wapenda-mabadiliko wote wapo pamoja nao CDM!
wanaoishi mbali, macho na masikio yao yatakuwepo hapo Arusha hiyo kesho!
Ushauri wa bure CCM wajifunze kufanya maamuzi magumu na mazito toka CDM.
wasione haya maana kila siku binadamu tunahitaji kujifunza, everyday is a new day!
Dr slaa mkaribishe Julius Mkama aje CDM, kujifunza jinsi ya kuongoza chama kwa kufuata misingi, taratibu n.k uliyowekwa ktk katiba ya chama husika, badala ya kuangalia nn Chairman na Family yake wanataka nn ktk chama!!! (angalieni CCM kinavyoendeshwa)
safari ni ndefu but tutafika tuuu, dawa ni kuondokana na laana ya UOGA na HOFU.