Kama wewe ndio huyu doctor ungefanyaje ...!?

Sasa kama hakuna Muda wa kushauriana sasa huo muda wa kumzindua huyo mgonjwa unatoka wapi? Kwa nini huo muda watakasubiri mgonjwa azinduke wasiutumie kutawanya hao wanafunzi?

haifahamiki bomu limetegwa wapi, je wataweza kuwatoa wanafunzi kila shule?
 
kuwatoa watoto katika shule zote kwa wakati inawezekana tu kwa nchi zilizoendelea ambazo zina mifumo bora ya mawasiliano. kuna shule ngapi za chekechea hapa mjini? je shule zote zitapata taarifa kwa muda muafaka? sikatai kwamba kuwaondoa shuleni ni muhimu lakini pia kwa nafasi yako kama daktari unapaswa kufanya jambo. utafanya maamuzi yapi?

Na kumponya huyo aliyezimia kwa wakati unaotatikana inawezekana tu katika nchi zilizoendelea ambazo zina mfumo mzuri wa matibabu.
 
Hukuweka limit ya kutoka nje ya box... anyway.... itadepend na mume niliye naye, kama ni majanga tu ndani ya nyumba na umri umeenda lol... Rest in Peace dear husband...

Achana na kuhusiana na mume sijui yukoje

Mimi nimesema kuwa ni mumeo baasi

Hebu niambie utafanyaje hapo?
 
Sasa kama hakuna Muda wa kushauriana sasa huo muda wa kumzindua huyo mgonjwa unatoka wapi? Kwa nini huo muda watakasubiri mgonjwa azinduke wasiutumie kutawanya hao wanafunzi?

Dah .......!!!!!!
 
Hahahaha hebu fikiria siku ya pili yake magazeti, redio, Tv na mitandao yote inatoa habari yangu. Ninapambwa kwa kila namna, nyimbo za kunisifu huko uso wangu ukionyesha matumaini makubwa ila moyoni nateketea kwa kumkosa mke wangu, moyoni sina amani, dunia inakuwa chungu, donge limenikaa moyoni...... sina maisha tena!

Ukioa tu mwingine unamsahau huyu .....lol

Inauma lakini ndio ukweli!
 
Na kumponya huyo aliyezimia kwa wakati unaotatikana inawezekana tu katika nchi zilizoendelea ambazo zina mfumo mzuri wa matibabu.

ila angalau dhamira yako itaonekana. Na kwenye kumbukumbu itaandikwa kwamba ulifanya kila uliloweza ila ilishindikana.
 
haifahamiki bomu limetegwa wapi, je wataweza kuwatoa wanafunzi kila shule?

Kwa nini isiwezekane? What if huyo mgonjwa akifa? Je watataka kumfufua ili awatajie jina la shule tu? Hao watu wanaosubiria huyo mtu awatajie wote hawana akili.
 
Na kumponya huyo aliyezimia kwa wakati unaotatikana inawezekana tu katika nchi zilizoendelea ambazo zina mfumo mzuri wa matibabu.

Angalau uamuzi wako utaonekana ni wa busara na ndicho ninachokitaka hapa!
 
ila angalau dhamira yako itaonekana. Na kwenye kumbukumbu itaandikwa kwamba ulifanya kila uliloweza ila ilishindikana.

Mkuu una akili sana

Leng la kuuliza hili ni kujua maamuzi watu watakayochukua kwenye hali hii

Lakini naona wengine hawaelewi kabisa!
 
ila angalau dhamira yako itaonekana. Na kwenye kumbukumbu itaandikwa kwamba ulifanya kila uliloweza ila ilishindikana.

Ni upuuzi. Shujaa ni yule ambaye atatoa wazo la kuwatawanya wanafunzi. Daktari hapo hawezi kuwa shujaa hata kama huyo mtu akizinduka halafu ikashindikana kuokoa maisha ya watu waliotegewa bomu.
 
Mkuu una akili sana

Leng la kuuliza hili ni kujua maamuzi watu watakayochukua kwenye hali hii

Lakini naona wengine hawaelewi kabisa!

Kwa hiyo wewe Eiyer unataka sote tuseme kile ambacho unakitaka wewe? Ambao hatusemi ndio hatujakuelewa? Au unataka kubisha tu? Ubishi wako hauna kichwa wala miguu. Umekaa kitoto tu.
 
Last edited by a moderator:
Achana na kuhusiana na mume sijui yukoje

Mimi nimesema kuwa ni mumeo baasi

Hebu niambie utafanyaje hapo?

jibu nimekupa... itadepend na faida za huyo husband... huwez ukaamua kufanya kitu bila kukitafakari na kujipa reasons za kufanya hivyo... the problem with you hutaki plan B wala kutafakari kwanza.... it will depend.... mume akiwa kama Nicas Mtei inabidi tu nimrestishe in peace...
 
Last edited by a moderator:
jibu nimekupa... itadepend na faida za huyo husband... huwez ukaamua kufanya kitu bila kukitafakari na kujipa reasons za kufanya hivyo... the problem with you hutaki plan B wala kutafakari kwanza.... it will depend.... mume akiwa kama Nicas Mtei inabidi tu nimrestishe in peace...
Tatizo hunielewi

Hapa sizungumzii kuwepo kwa plan b

Hapa ninauliza, na ninachouliza ni uamuzi wako kama ukiwa daktari

Asante kwa kunielewa!
 
Back
Top Bottom