Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,410
- 119,115
It doesn't matter kama ataamka au itashindikana,hapa tunachoangalia ni uamuzi wako baasi
Unashindwa kufikiri pia hata kama utaamua kumtibu mwenzi wako anaweza kufariki pia!
Sasa mkuu unapofanya maamuzi lazima ujiulize maswali muhimu sio tu unaangalia umuhimu wa jambo tu....lazima uangalie na mafanikio ya jambo hilo utakalochagua kulifanya ebo...