Kama wewe ndio huyu doctor ungefanyaje ...!?

Loooh, tamthilia hii inanikumbusha mbali, enzi za Shaban Robert, Chinua Achebe, Faraji H H Katalambula, Alex Laguma, David Mailu, Elvis Musiba etc etc

Mada inakutaka ukumbuke ya zamani au ufanye nini?
 
We unafahamu maana ya dakika 45? Kama ndio kwa nini umezizungumzia kwenye post yako?

Back to topic, Dk 30 zinatosha kabisa ku evacuate hao watoto kwa kuwa ameshataja kuwa katega kwenye shule, angekuwa hajataja kabisa, hapo angepata matibabu
 
Binafsi ntamtibu gaidi kwanza ili niokoe roho za watoto walio wengi....maana matokeo ya kumtibu mume na kumwacha jambazi unaweza kupoteza kazi yako kwani utaonekana unafanya kazi kwa kuongozwa na hisia hata jamii haiwezi kukuelewa hata kidogo....wacha mmoja aende wengi wapone

staki kuamini unaogopa kupoteza kazi au jamii haitakuelewa, wapiii MTAMBUZI
 
Kwanini ulizizungumzia kwenye post yako?

We unafahamu maana ya dakika 45? Kama ndio kwa nini umezizungumzia kwenye post yako?

Back to topic, Dk 30 zinatosha kabisa ku evacuate hao watoto kwa kuwa ameshataja kuwa katega kwenye shule, angekuwa hajataja kabisa, hapo angepata matibabu
 
We unafahamu maana ya dakika 45? Kama ndio kwa nini umezizungumzia kwenye post yako?

Back to topic, Dk 30 zinatosha kabisa ku evacuate hao watoto kwa kuwa ameshataja kuwa katega kwenye shule, angekuwa hajataja kabisa, hapo angepata matibabu

I see!!
 
Umenikumbusha mkuu

Kwanini roho inakusuta mkuu?

Nafikiria... Nipo ndani ya chumba cha upasuaji nina vifaa vyote. Nipo bize kumtibu gaidi (soma kwa msisitizo GAIDI) kitanda cha kando amelazwa mke wangu kipenzi (soma kwa msisitizo KIPENZI) anahangaika roho yake ipo rehani. Nje ya chumba kuna maaskari, viongozi wakubwa na waandishi wa habari wote wanasubiri taarifa kutoka kwangu juu ya hali ya gaidi na sio mke wangu!... inahitaji moyo wa ujasiri nitaendelea kumtibu gaidi kwa kuwa endapo sitomtibu basi nitaangamiza maisha ya watoto zaid ya 300 na kamwe sitokuja kuisamehe nafsi yangu. Endapo watoto wataokolewa na mke wangu kufariki basi naamini mke wangu ataenda moja kwa moja peponi na hakika atakaa huko kwa amani akinisubiri niende nikaungane nae.
 
kuwatoa watoto katika shule zote kwa wakati inawezekana tu kwa nchi zilizoendelea ambazo zina mifumo bora ya mawasiliano. kuna shule ngapi za chekechea hapa mjini? je shule zote zitapata taarifa kwa muda muafaka? sikatai kwamba kuwaondoa shuleni ni muhimu lakini pia kwa nafasi yako kama daktari unapaswa kufanya jambo. utafanya maamuzi yapi?

Hahahaaaa jibu utalipata hapo kwa Eiyer muda si mrefu.
 
Last edited by a moderator:
nafikiria... Nipo ndani ya chumba cha upasuaji nina vifaa vyote. Nipo bize kumtibu gaidi (soma kwa msisitizo gaidi) kitanda cha kando amelazwa mke wangu kipenzi (soma kwa msisitizo kipenzi) anahangaika roho yake ipo rehani. Nje ya chumba kuna maaskari, viongozi wakubwa na waandishi wa habari wote wanasubiri taarifa kutoka kwangu juu ya hali ya gaidi na sio mke wangu!... Inahitaji moyo wa ujasiri nitaendelea kumtibu gaidi kwa kuwa endapo sitomtibu basi nitaangamiza maisha ya watoto zaid ya 300 na kamwe sitokuja kuisamehe nafsi yangu. Endapo watoto wataokolewa na mke wangu kufariki basi naamini mke wangu ataenda moja kwa moja peponi na hakika atakaa huko kwa amani akinisubiri niende nikaungane nae.

umeongeaje kwa hisia ila ndo unafiki ndani yake
 
Usiende nje ya box

Unatakiwa ubaki kwenye maamuzi ya utakachochagua hapo na sio kitu kingine

Ungechagua kumtibu yupi?

Hukuweka limit ya kutoka nje ya box... anyway.... itadepend na mume niliye naye, kama ni majanga tu ndani ya nyumba na umri umeenda lol... Rest in Peace dear husband...
 
Mkuu,hakuna muda wa kushauriana hapo

Tangu atoe hiyo taarifa hadi anafikishwa hospital kwako muda ushapita na kitendo cha kuendelea kuzungumza ni kupoteza muda!

Sasa kama hakuna Muda wa kushauriana sasa huo muda wa kumzindua huyo mgonjwa unatoka wapi? Kwa nini huo muda watakasubiri mgonjwa azinduke wasiutumie kutawanya hao wanafunzi?
 
Nafikiria... Nipo ndani ya chumba cha upasuaji nina vifaa vyote. Nipo bize kumtibu gaidi (soma kwa msisitizo GAIDI) kitanda cha kando amelazwa mke wangu kipenzi (soma kwa msisitizo KIPENZI) anahangaika roho yake ipo rehani. Nje ya chumba kuna maaskari, viongozi wakubwa na waandishi wa habari wote wanasubiri taarifa kutoka kwangu juu ya hali ya gaidi na sio mke wangu!... inahitaji moyo wa ujasiri nitaendelea kumtibu gaidi kwa kuwa endapo sitomtibu basi nitaangamiza maisha ya watoto zaid ya 300 na kamwe sitokuja kuisamehe nafsi yangu. Endapo watoto wataokolewa na mke wangu kufariki basi naamini mke wangu ataenda moja kwa moja peponi na hakika atakaa huko kwa amani akinisubiri niende nikaungane nae.

Asante mkuu ....!!
 
umeongeaje kwa hisia ila ndo unafiki ndani yake

Hahahaha hebu fikiria siku ya pili yake magazeti, redio, Tv na mitandao yote inatoa habari yangu. Ninapambwa kwa kila namna, nyimbo za kunisifu huko uso wangu ukionyesha matumaini makubwa ila moyoni nateketea kwa kumkosa mke wangu, moyoni sina amani, dunia inakuwa chungu, donge limenikaa moyoni...... sina maisha tena!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom