Tigershark
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 7,051
- 12,560
Jikite kujadili hoja,matusi hayawezi kukusaidia!Mkiishiwa hoja mnakuwa mapoyoyo kiasi cha kudharaulika!Wanaopinga kila kitu wana faida gani.mkafanye migomo huko huko bambav!
Wewe na mimi, rejea maswali yangu ya awali, tujiulize wajibu wa Mbunge ni nini.Mfano Zitto alisema amesaidia kupatikana kwa maendeleo kigoma,akataja mpaka kuinua zao la mchikichi kigoma maana ni zao la biashara lilikuwa limesahaulika!
JPM akasimama akasema Zitto anatafuta umaarufu kwani ni serikali kwa kupitia Dr Mpango ndio wamefanikisha suala hilo!!
Sasa hapa ninachojiuliza,mbunge anapaswa hayo maendeleo ayalete kutokea wapi?Akatafute pesa mwenyewe kwa wadau na azitumie kuleta maendeleo?Au atumie za kwake za mfukoni?Au atumie vijisenti kidogo vya mfuko wa mbunge ambazo haziwezi kufanya miradi mikubwa?Afanye lipi hasa ukizingatia kuwa akitimiza wajibu wake bungeni wa kuelezea matatizo ya wananchi bungeni na serikali ikaona haja ya kufanya hivyo na ikatatua basi mbunge anaambiwa hana mchango wowote kwani serikali imefanya!!!
Nilichoona ni kuwa wabunge wa CCM ndio wana haki ya kutumia miradi iliyotekelezwa na serikali kujinadi!Ila mbunge wa upinzani akitumia miradi iliyotekelezwa na serikalj yeye akiwa mbunge basi anaambiwa hapaswi kujinadi nayo kwani ni serikali imetekeleza!!!
Daaah mpaka kichwa kinauma,kazi ya mbunge hasa ni nini?????
Tuchague Bi Martha Chiomba wa NCCR MageuziHalima hafai
Gwajima hafai zaidi...
Halima hafai kuwa mbunge.
Gwajima hafai kuwa hata mgombea tu..
Kawe mwaka huu I wish wawakatae wote
Mdee anakusanya kodi? umewahi kumsikia yule anaesema mkichagua wapinzani siwaletei maendeleo au wewe ni kiziwi?Mdee amesaidia nini ! Ngoja tumjaribu na Gwajima tu naye akapige kelele kwa miaka 5 ila wote wawili hawafai
Siku zote ukinuna uwe na sababu, ukisema Mdee hafai pia uwe na sababu, usijekuwa umekosana na mkeo huko halafu unamalizia hasira zako kwa Mdee.Halima hafai
Gwajima hafai zaidi...
Halima hafai kuwa mbunge.
Gwajima hafai kuwa hata mgombea tu..
Kawe mwaka huu I wish wawakatae wote
https://www.jamiiforums.com/data/attachment-files/2020/09/2523833_VID-20200919-WA0131.mp4Mdee amesaidia nini ! Ngoja tumjaribu na Gwajima tu naye akapige kelele kwa miaka 5 ila wote wawili hawafai
Wewe NDIYO huelewi na ukae kimya Kwa kuwa hujui, ni kweli Mbunge Hana pesa za moja Kwa moja, lakini Mbunge mjanja, hawezi kuisubiri serikali ifanye kila Changamoto iliyoko kwenye Jimbo,Halafu sijui hii hulka ya kumwambia mbunge hakuleta maendeleo watu wanaitoa wapi ?
Yaani karne ya 21 watu bado hawaelewi na kutofautisha majukumu na hisani.
Mwingine anakusanya kodi yako halafu maendeleo anabembelezws kuleta ila asiyepokea hata mia ndio anatakiwa kuleta maendeleo.
Hili ni tatizo la wananchi kukaa kusaidiwa saidiwa badala kudai haki ya kodi yao ndio maana wanaona maendeleo ni hisani au msaada kutoka kwa yeyote.
Weka pictureJana nilibahatika Kukutana na wana CHADEMA baadhi ambao nadhani ( nahisi ) walipewa 'Jukumu' la Kupitapita Kawe hasa katika 'Nyumba' za Watu na Kumuombea 'Kura' Mgombea Ubunge CHADEMA Halima Mdee. Sina tatizo na 'Mbinu' yao hii ila GENTAMYCINE nina tatizo Kubwa sana na 'Competence' ya hawa wana CHADEMA wanaozunguka.
Huku nikiwa katika 'harakati' zangu za hapa na pale na jana nikiwa Jimbo la Kawe nilibahatika Kukutana na hawa wana CHADEMA kwa 'nyakati' tofauti ambapo wote kila walipokuwa wakikutana na Watu na Kuwaelezea 'Sera' zao ( CHADEMA ) na 'Kumnadi' Mgombea wao Halima Mdee walikuwa wanaonyesha 'Udhaifu' wa wazi wazi katika 'Kuchambua' na 'Kufafanua' Mambo ( Masuala )
Nilipishana na mwana CHADEMA 'mzungukaji' wa Kwanza ambapo alimsimamisha Mama Mmoja hivi na kuanza 'Kujinadi' na 'Kumnadi' Halima Mdee ambapo aliulizwa na huyo Mama kuwa ampe tu 'Tathmini' fupi ya 'Mema' yanayoonekana yaliyofanywa na Mdee ambapo kwa 'Masikitiko' yangu makubwa Yule Kijana aliishia 'Kujiumauma' tu na 'Kujilamba' mdomo kama Chatu wa Gamboshi.
Wakati naikatiza Mitaa ya Kawe mbele tena nikakutana na wana CHADEMA 'wanaozungukazunguka' na kuna Mmoja nikamuona 'kambananisha' Mzee wa Watu huku 'akimnadi' Halima Mdee amnbapo nilimsikia Yule Mzee akimuuliza Je, anadhani Siasa anazozifanya Mdee zinaendana na 'nyakati' tuliopo Kimaadili na Kimaendelea Jamaa akabadili 'Mada' na Kuanza Kuzungumzia Mechi ya Leo ya Yanga SC na Kagera Sugar.
CHADEMA Kawe nilikuwa nawaamini na kuwa na 'Imani' nanyi ila kwa 'Udhaifu' huu tu mchache niliouona Askofu Gwajima ni Mbunge rasmi Kawe.
Kwanini unaamini kupinga bajeti sio kuwatumikia wananchi?Huo ni wajibu wao kikatiba lasivyo isingekuwepo kura ya ndio au hapana kwa bajeti!Wewe na mimi, rejea maswali yangu ya awali, tujiulize wajibu wa Mbunge ni nini.
Nahisi, vitendo vya wabunge wa upinzani kutokuwakilisha waliowachagua ipasavyo (kususia baadhi ya vikao, kupinga bajeti, nk) ndio msingi wa wao kuwaulizwa kipindi chao wamefanya nini.
Yawezekana, kuhusu zao la mchikichi, ni wazo la Serikali kuinua zao hilo, na ndiyo maana Waziri Mkuu amekuwa akienda huko mara kwa mara kuhimiza, wakati Zitto, Mbunge anakula BATA, dsm.
Kwanini unaamini kupinga bajeti sio kuwatumikia wananchi?Huo ni wajibu wao kikatiba lasivyo isingekuwepo kura ya ndio au hapana kwa bajeti!Wewe na mimi, rejea maswali yangu ya awali, tujiulize wajibu wa Mbunge ni nini.
Nahisi, vitendo vya wabunge wa upinzani kutokuwakilisha waliowachagua ipasavyo (kususia baadhi ya vikao, kupinga bajeti, nk) ndio msingi wa wao kuwaulizwa kipindi chao wamefanya nini.
Yawezekana, kuhusu zao la mchikichi, ni wazo la Serikali kuinua zao hilo, na ndiyo maana Waziri Mkuu amekuwa akienda huko mara kwa mara kuhimiza, wakati Zitto, Mbunge anakula BATA, dsm.
Jana nilibahatika Kukutana na wana CHADEMA baadhi ambao nadhani ( nahisi ) walipewa 'Jukumu' la Kupitapita Kawe hasa katika 'Nyumba' za Watu na Kumuombea 'Kura' Mgombea Ubunge CHADEMA Halima Mdee. Sina tatizo na 'Mbinu' yao hii ila GENTAMYCINE nina tatizo Kubwa sana na 'Competence' ya hawa wana CHADEMA wanaozunguka.
Huku nikiwa katika 'harakati' zangu za hapa na pale na jana nikiwa Jimbo la Kawe nilibahatika Kukutana na hawa wana CHADEMA kwa 'nyakati' tofauti ambapo wote kila walipokuwa wakikutana na Watu na Kuwaelezea 'Sera' zao ( CHADEMA ) na 'Kumnadi' Mgombea wao Halima Mdee walikuwa wanaonyesha 'Udhaifu' wa wazi wazi katika 'Kuchambua' na 'Kufafanua' Mambo ( Masuala )
Nilipishana na mwana CHADEMA 'mzungukaji' wa Kwanza ambapo alimsimamisha Mama Mmoja hivi na kuanza 'Kujinadi' na 'Kumnadi' Halima Mdee ambapo aliulizwa na huyo Mama kuwa ampe tu 'Tathmini' fupi ya 'Mema' yanayoonekana yaliyofanywa na Mdee ambapo kwa 'Masikitiko' yangu makubwa Yule Kijana aliishia 'Kujiumauma' tu na 'Kujilamba' mdomo kama Chatu wa Gamboshi.
Wakati naikatiza Mitaa ya Kawe mbele tena nikakutana na wana CHADEMA 'wanaozungukazunguka' na kuna Mmoja nikamuona 'kambananisha' Mzee wa Watu huku 'akimnadi' Halima Mdee amnbapo nilimsikia Yule Mzee akimuuliza Je, anadhani Siasa anazozifanya Mdee zinaendana na 'nyakati' tuliopo Kimaadili na Kimaendelea Jamaa akabadili 'Mada' na Kuanza Kuzungumzia Mechi ya Leo ya Yanga SC na Kagera Sugar.
CHADEMA Kawe nilikuwa nawaamini na kuwa na 'Imani' nanyi ila kwa 'Udhaifu' huu tu mchache niliouona Askofu Gwajima ni Mbunge rasmi Kawe.
Omba omba mentalityWewe NDIYO huelewi na ukae kimya Kwa kuwa hujui, ni kweli Mbunge Hana pesa za moja Kwa moja, lakini Mbunge mjanja, hawezi kuisubiri serikali ifanye kila Changamoto iliyoko kwenye Jimbo,
Ukiwa Mbunge, unauwezo wa kuingia kila ofsi zilizopo ktk nchi hii
Kwa hiyo, kama unauhuru wa kuingia kila ofsi,maana yake kinachokosekana Kwa wabunge wetu ni ushawishi wao kupitia ofsi zao kutumia vema ofsi na taasisi zilizopo ktk nchi hii, ofsi za mabalozi nchini na taasisi mbalimbali
wanazitumiajee hawa wabunge wetu?
Ni wakati gani wabunge wetu wamewatumia vema Kwa kutumia ushawishi wao kwa wadau wa maendeleo, Mr Makonda, ni mtu aliyedharauliwa na kila mtu, lakini ni kijana aliyeweza kuitumia vema nafasi yake Kwa kuwashawishi wadau wa maendeleo na kujikuta akifanya Miradi mingi na ingawa mingine hsikufika mwisho
Licha ya wadau wa maendeleo, kuna mfuko wa Bunge, ukisimamiwa vizuri, kuna mahali utafanya
Ulichosema kina uwekli fulani kuwa wote hawafai, lakini ukikutana na uchaguzi kati ya kuliwa na fisi au kuliwa na chui utachagua nini. Ni afadhali uliwe na Chui kwa sababu atakuua kwanza ndipo anakupandisha mtininda kukulia huko ukiwa husikii maumizvu tena kuliko kuliwa na fisia anyeanza kukula ungali hai ukiwa unasikia maumivu sana.Halima hafai
Gwajima hafai zaidi...
Halima hafai kuwa mbunge.
Gwajima hafai kuwa hata mgombea tu..
Kawe mwaka huu I wish wawakatae wote
Mleta uzi huu sikutegemea kuwa naye hajui majukumu ya Mbunge. Kwenye michezo, hovyo, kwenye siasa, hoiii!Nawaona mataga mnavyoruka ruka ruka na kukanyagana humu
Sent from my BLL-L22 using JamiiForums mobile app
Nani mwenye elimu zaidi?Halima hafai
Gwajima hafai zaidi...
Halima hafai kuwa mbunge.
Gwajima hafai kuwa hata mgombea tu..
Kawe mwaka huu I wish wawakatae wote