Kama wana CHADEMA 'wanaozunguka' kuomba 'Kura' za Halima Mdee 'Kawe' wana 'Udhaifu' huu, basi 'namtabiria' Askofu Gwajima Ushindi asubuhi tu!

Halima ni mwanamama hodari sana . Wanawake wote wasipomchagua tutawadharau sana wanawake wa Kawe! Tumchague Halima kwa vyovyote vile huyo askofu arudi kanisani kwake!
 
Vijana wote wake kwa waume wanaojua thamani ya mwanamke wamchague Halima. Kweli tu kumchagua mwingine Kawe tutaonekana hatujui kuwa Halima ni dhahabu!!
 
Jana nilibahatika Kukutana na wana CHADEMA baadhi ambao nadhani ( nahisi ) walipewa 'Jukumu' la Kupitapita Kawe hasa katika 'Nyumba' za Watu na Kumuombea 'Kura' Mgombea Ubunge CHADEMA Halima Mdee. Sina tatizo na 'Mbinu' yao hii ila GENTAMYCINE nina tatizo Kubwa sana na 'Competence' ya hawa wana CHADEMA wanaozunguka.

Huku nikiwa katika 'harakati' zangu za hapa na pale na jana nikiwa Jimbo la Kawe nilibahatika Kukutana na hawa wana CHADEMA kwa 'nyakati' tofauti ambapo wote kila walipokuwa wakikutana na Watu na Kuwaelezea 'Sera' zao ( CHADEMA ) na 'Kumnadi' Mgombea wao Halima Mdee walikuwa wanaonyesha 'Udhaifu' wa wazi wazi katika 'Kuchambua' na 'Kufafanua' Mambo ( Masuala )

Nilipishana na mwana CHADEMA 'mzungukaji' wa Kwanza ambapo alimsimamisha Mama Mmoja hivi na kuanza 'Kujinadi' na 'Kumnadi' Halima Mdee ambapo aliulizwa na huyo Mama kuwa ampe tu 'Tathmini' fupi ya 'Mema' yanayoonekana yaliyofanywa na Mdee ambapo kwa 'Masikitiko' yangu makubwa Yule Kijana aliishia 'Kujiumauma' tu na 'Kujilamba' mdomo kama Chatu wa Gamboshi.

Wakati naikatiza Mitaa ya Kawe mbele tena nikakutana na wana CHADEMA 'wanaozungukazunguka' na kuna Mmoja nikamuona 'kambananisha' Mzee wa Watu huku 'akimnadi' Halima Mdee amnbapo nilimsikia Yule Mzee akimuuliza Je, anadhani Siasa anazozifanya Mdee zinaendana na 'nyakati' tuliopo Kimaadili na Kimaendelea Jamaa akabadili 'Mada' na Kuanza Kuzungumzia Mechi ya Leo ya Yanga SC na Kagera Sugar.

CHADEMA Kawe nilikuwa nawaamini na kuwa na 'Imani' nanyi ila kwa 'Udhaifu' huu tu mchache niliouona Askofu Gwajima ni Mbunge rasmi Kawe.
Nenda pornbub maadili ya GWAJIMA yapo anahubiri uku amemuinamisha kondoo
 
Kweli Kawe na usomi wote mpaka Leo hatujui majukumu ya mbunge?
1. Kusimamia serikali iweze kupitisha mipango mizuri ya taifa na hasa ya Jimbo lake -hili Halima amelifanya kwa nguvu zote hata ikamletea afukuzwe bungeni na wale wa ndiyoooo!
2. Kujadili rasimu za sheria na kupitisha sera na sheria zilizo bora kwa nchi yetu ikiwemo Kawe
3. Kijadili na kupitisha bajeti ya taifa, akishawishi serikali iweke bajeti ya kutosha katika sehemu muhimu kama kilimo. Elimu, afya, maji , hudumu zinazolenga wanawake na barabara wakati wa kupitisha bajeti za taifa-hili Ali Fanta kwa nguvu sana!
4. Kupeleka serikalini shida za jimbo lake na kutoa mawazo kuhusu jinsi gani bora ya kutatua matatizo hayo-tulimsikia sana akipambana kuhusu shida za mabepande, Mbweni,barabara ya makongo nk
5. Yeye kama Kiongozi wa chama cha wanawake BAWACHA tunasikia alifanya sana Kazi nzuri kuwaendeleza na kuwalea vijana wa kike wafikie ngazi ya juu kama yeye jambo ambalo halifanyiki sana na wanawake wengi viongozi!!

Kawe ni Halima!!! Halima wa Kawe!!!
 
Hulka ya vilaza
Halafu sijui hii hulka ya kumwambia mbunge hakuleta maendeleo watu wanaitoa wapi ?

Yaani karne ya 21 watu bado hawaelewi na kutofautisha majukumu na hisani.

Mwingine anakusanya kodi yako halafu maendeleo anabembelezws kuleta ila asiyepokea hata mia ndio anatakiwa kuleta maendeleo.

Hili ni tatizo la wananchi kukaa kusaidiwa saidiwa badala kudai haki ya kodi yao ndio maana wanaona maendeleo ni hisani au msaada kutoka kwa yeyote.
 
Mdee ni mbunge wa kawe lakini pia huwa ni mbunge wa taifa!Husimama kidete pale anapoona mipango ya serikali haijakaa sawa!
Kiukweli wabunge wengi wa upinzani wana tija bungeni kuliko mizigo ya CCM!
Akagombee uraisi , jimbo la kawe linahitaji mwakilishi wake , asituchanganyie mambo.
 
Kweli Kawe na usomi wote mpaka Leo hatujui majukumu ya mbunge?
1. Kusimamia serikali iweze kupitisha mipango mizuri ya taifa na hasa ya Jimbo lake -hili Halima amelifanya kwa nguvu zote hata ikamletea afukuzwe bungeni na wale wa ndiyoooo!
2. Kujadili rasimu za sheria na kupitisha sera na sheria zilizo bora kwa nchi yetu ikiwemo Kawe
3. Kijadili na kupitisha bajeti ya taifa, akishawishi serikali iweke bajeti ya kutosha katika sehemu muhimu kama kilimo. Elimu, afya, maji , hudumu zinazolenga wanawake na barabara wakati wa kupitisha bajeti za taifa-hili Ali Fanta kwa nguvu sana!
4. Kupeleka serikalini shida za jimbo lake na kutoa mawazo kuhusu jinsi gani bora ya kutatua matatizo hayo-tulimsikia sana akipambana kuhusu shida za mabepande, Mbweni,barabara ya makongo nk
5. Yeye kama Kiongozi wa chama cha wanawake BAWACHA tunasikia alifanya sana Kazi nzuri kuwaendeleza na kuwalea vijana wa kike wafikie ngazi ya juu kama yeye jambo ambalo halifanyiki sana na wanawake wengi viongozi!!

Kawe ni Halima!!! Halima wa Kawe!!!
Kikao cha bajeti halima alikuwepo bungeni ? Tuleteeni gwaji kawe.
 
Bunge la Tanzania usipokuwa na Halima Mdee, Esther Bulaya, Esther Matiko Godbless Lema, Patrick Msigwa, Heche, Sugu wa Mbeya, Mnyika, Mbowe, Zitto Kabwe, na wengine kutokana upinzani bunge litakuwa la ndiyooooooo!!!! Tu. Ndiyo tunachotaka???
Chademaphobia.
 
Jana nilibahatika Kukutana na wana CHADEMA baadhi ambao nadhani ( nahisi ) walipewa 'Jukumu' la Kupitapita Kawe hasa katika 'Nyumba' za Watu na Kumuombea 'Kura' Mgombea Ubunge CHADEMA Halima Mdee. Sina tatizo na 'Mbinu' yao hii ila GENTAMYCINE nina tatizo Kubwa sana na 'Competence' ya hawa wana CHADEMA wanaozunguka.

Huku nikiwa katika 'harakati' zangu za hapa na pale na jana nikiwa Jimbo la Kawe nilibahatika Kukutana na hawa wana CHADEMA kwa 'nyakati' tofauti ambapo wote kila walipokuwa wakikutana na Watu na Kuwaelezea 'Sera' zao ( CHADEMA ) na 'Kumnadi' Mgombea wao Halima Mdee walikuwa wanaonyesha 'Udhaifu' wa wazi wazi katika 'Kuchambua' na 'Kufafanua' Mambo ( Masuala )

Nilipishana na mwana CHADEMA 'mzungukaji' wa Kwanza ambapo alimsimamisha Mama Mmoja hivi na kuanza 'Kujinadi' na 'Kumnadi' Halima Mdee ambapo aliulizwa na huyo Mama kuwa ampe tu 'Tathmini' fupi ya 'Mema' yanayoonekana yaliyofanywa na Mdee ambapo kwa 'Masikitiko' yangu makubwa Yule Kijana aliishia 'Kujiumauma' tu na 'Kujilamba' mdomo kama Chatu wa Gamboshi.

Wakati naikatiza Mitaa ya Kawe mbele tena nikakutana na wana CHADEMA 'wanaozungukazunguka' na kuna Mmoja nikamuona 'kambananisha' Mzee wa Watu huku 'akimnadi' Halima Mdee amnbapo nilimsikia Yule Mzee akimuuliza Je, anadhani Siasa anazozifanya Mdee zinaendana na 'nyakati' tuliopo Kimaadili na Kimaendelea Jamaa akabadili 'Mada' na Kuanza Kuzungumzia Mechi ya Leo ya Yanga SC na Kagera Sugar.

CHADEMA Kawe nilikuwa nawaamini na kuwa na 'Imani' nanyi ila kwa 'Udhaifu' huu tu mchache niliouona Askofu Gwajima ni Mbunge rasmi Kawe.
Mbona uzi wako leo haueleweki??
 
Umewahi kujiuliza ccm imefanya nini tangu uhuru!
Mojawapo hili....
Screenshot_20200920-092043.jpg
 
Wanaopinga kila kitu wana faida gani.mkafanye migomo huko huko bambav!
Yeye anatetea anachokiamini, nimeshuhudia bungeni akipinga Kikokotoo kwa nguvu zote, but lile kundi la wabunge wa Ndiyooooo kwa kila kitu wao wakapitisha ule muswada wa kikokotoo.. Baadaye rais alivyoona wafanyakazi wengi wameendelea kupinga akasimamusha utekelezaji wa kikokotoleo,yaani akawa ameungana na akina Mdee, Bulaya na wengine waliopinga tokea mwanzo. Maajabu ya Mungu yale malofa ya ndiyooooo yakabadili tena upepo kuunga mkono rais.
 
Wewe na mimi, rejea maswali yangu ya awali, tujiulize wajibu wa Mbunge ni nini.

Nahisi, vitendo vya wabunge wa upinzani kutokuwakilisha waliowachagua ipasavyo (kususia baadhi ya vikao, kupinga bajeti, nk) ndio msingi wa wao kuwaulizwa kipindi chao wamefanya nini.

Yawezekana, kuhusu zao la mchikichi, ni wazo la Serikali kuinua zao hilo, na ndiyo maana Waziri Mkuu amekuwa akienda huko mara kwa mara kuhimiza, wakati Zitto, Mbunge anakula BATA, dsm.
Kwa nini unachanganya mambo wewe? Kukataa bajeti (zamani enzi za chama kimoja walitumia kutoa shilingi) ni jambo la kawaida sana kwenye mabunge ya commonwealth, ni ishara kwamba hukubaluani nayo mpaka ifanyiwe marekebisho. Bahati mbaya sana kwa kuwa na spika kama ndugai ndiyo kabisaaa anakoleza moto na kuwafukuza. Ndiyo maana kwa taarifa yako bajeti inayopitishwa imekuwa inatekelezwa below 60 mpaka 50 %, baadhi ya wizara even below 50 %....
 
Baada ya mabeberu kumtafuna mchungaji hatimae mchungaji kanjanja afakamia maharage mabichi.
 

Attachments

  • FB_IMG_1600867028862.jpg
    FB_IMG_1600867028862.jpg
    47.4 KB · Views: 1
Ameshindwa kuwapeleka mbinguni waumini wake ndo ataweza wapeleka wanakawe USA
 

Attachments

  • FB_IMG_1600884518353.jpg
    FB_IMG_1600884518353.jpg
    36.1 KB · Views: 1
Yawezekana tunatofautiana itikadi kisiasa, ila uliloligundua ndilo nimekuwa nikijiuliza:
Je, viongozi, wanachama na wanachama wa CHADEMA wanaifahamu na wanaweza kuilezea kwa ufasaha Ilani ya Chama, 2020?

Je, viongozi, wanachamana wafuasi wa CHADEMA, kwa kuponda, kubeza, kukejeli, na kudharau yaliyofanywa na CCM, kupitia Serikali inayongozwa na Magufuli, wanayo ya mazuri ya mfano waliyoyafanya katika utawala wa Mgufuli?

Sasa twende nyumba kwa nyumba, wanao omba kura wajibu hayo maswali na kueleza kitakachofanyika CHADEMA ikiingia mdarakani.
Wanachama wengi na wafuasi wa vyama vingi vya upinzani huwa hawafahamu ilani za vyama vyao.

Viongozi wao hutumia muda mwingi Sana kuyaelezea yale wanayoyaita madhaifu ya serikali ya CCM.

Wanaokwenda upinzani ni wale kwa namna moja ama nyingine wamedanganyika na upotoshaji unaofanywa na viongozi wa vyama vya upinzani na sio kwa ubora wa sera za vyama vya upinzani.

Ushahidi wa hayo ni kampeni za Urais za vyama vyote vya upinzani, ni aghalab kunadi sera zao kuliko kuponda yaliyofanywa na serikali ya CCM.
 
Mdee amekwishapoteza jimbo anasubiri confirmation tu
Nilimuonea huruma mdee baada ya kuliona gari la chadema likipita mitaani likitangaza hotuba za Gwajima,hivi halima hawajui wapiga kura wake wanataka nini?
 
Back
Top Bottom