Kama wana CHADEMA 'wanaozunguka' kuomba 'Kura' za Halima Mdee 'Kawe' wana 'Udhaifu' huu, basi 'namtabiria' Askofu Gwajima Ushindi asubuhi tu!

Mfano Zitto alisema amesaidia kupatikana kwa maendeleo kigoma,akataja mpaka kuinua zao la mchikichi kigoma maana ni zao la biashara lilikuwa limesahaulika!

JPM akasimama akasema Zitto anatafuta umaarufu kwani ni serikali kwa kupitia Dr Mpango ndio wamefanikisha suala hilo!!

Sasa hapa ninachojiuliza,mbunge anapaswa hayo maendeleo ayalete kutokea wapi?Akatafute pesa mwenyewe kwa wadau na azitumie kuleta maendeleo?Au atumie za kwake za mfukoni?Au atumie vijisenti kidogo vya mfuko wa mbunge ambazo haziwezi kufanya miradi mikubwa?Afanye lipi hasa ukizingatia kuwa akitimiza wajibu wake bungeni wa kuelezea matatizo ya wananchi bungeni na serikali ikaona haja ya kufanya hivyo na ikatatua basi mbunge anaambiwa hana mchango wowote kwani serikali imefanya!!!

Nilichoona ni kuwa wabunge wa CCM ndio wana haki ya kutumia miradi iliyotekelezwa na serikali kujinadi!Ila mbunge wa upinzani akitumia miradi iliyotekelezwa na serikalj yeye akiwa mbunge basi anaambiwa hapaswi kujinadi nayo kwani ni serikali imetekeleza!!!

Daaah mpaka kichwa kinauma,kazi ya mbunge hasa ni nini?????
Wewe na mimi, rejea maswali yangu ya awali, tujiulize wajibu wa Mbunge ni nini.

Nahisi, vitendo vya wabunge wa upinzani kutokuwakilisha waliowachagua ipasavyo (kususia baadhi ya vikao, kupinga bajeti, nk) ndio msingi wa wao kuwaulizwa kipindi chao wamefanya nini.

Yawezekana, kuhusu zao la mchikichi, ni wazo la Serikali kuinua zao hilo, na ndiyo maana Waziri Mkuu amekuwa akienda huko mara kwa mara kuhimiza, wakati Zitto, Mbunge anakula BATA, dsm.
 
Halafu sijui hii hulka ya kumwambia mbunge hakuleta maendeleo watu wanaitoa wapi ?

Yaani karne ya 21 watu bado hawaelewi na kutofautisha majukumu na hisani.

Mwingine anakusanya kodi yako halafu maendeleo anabembelezws kuleta ila asiyepokea hata mia ndio anatakiwa kuleta maendeleo.

Hili ni tatizo la wananchi kukaa kusaidiwa saidiwa badala kudai haki ya kodi yao ndio maana wanaona maendeleo ni hisani au msaada kutoka kwa yeyote.
Wewe NDIYO huelewi na ukae kimya Kwa kuwa hujui, ni kweli Mbunge Hana pesa za moja Kwa moja, lakini Mbunge mjanja, hawezi kuisubiri serikali ifanye kila Changamoto iliyoko kwenye Jimbo,

Ukiwa Mbunge, unauwezo wa kuingia kila ofsi zilizopo ktk nchi hii

Kwa hiyo, kama unauhuru wa kuingia kila ofsi,maana yake kinachokosekana Kwa wabunge wetu ni ushawishi wao kupitia ofsi zao kutumia vema ofsi na taasisi zilizopo ktk nchi hii, ofsi za mabalozi nchini na taasisi mbalimbali
wanazitumiajee hawa wabunge wetu?

Ni wakati gani wabunge wetu wamewatumia vema Kwa kutumia ushawishi wao kwa wadau wa maendeleo, Mr Makonda, ni mtu aliyedharauliwa na kila mtu, lakini ni kijana aliyeweza kuitumia vema nafasi yake Kwa kuwashawishi wadau wa maendeleo na kujikuta akifanya Miradi mingi na ingawa mingine hsikufika mwisho

Licha ya wadau wa maendeleo, kuna mfuko wa Bunge, ukisimamiwa vizuri, kuna mahali utafanya
 
Jana nilibahatika Kukutana na wana CHADEMA baadhi ambao nadhani ( nahisi ) walipewa 'Jukumu' la Kupitapita Kawe hasa katika 'Nyumba' za Watu na Kumuombea 'Kura' Mgombea Ubunge CHADEMA Halima Mdee. Sina tatizo na 'Mbinu' yao hii ila GENTAMYCINE nina tatizo Kubwa sana na 'Competence' ya hawa wana CHADEMA wanaozunguka.

Huku nikiwa katika 'harakati' zangu za hapa na pale na jana nikiwa Jimbo la Kawe nilibahatika Kukutana na hawa wana CHADEMA kwa 'nyakati' tofauti ambapo wote kila walipokuwa wakikutana na Watu na Kuwaelezea 'Sera' zao ( CHADEMA ) na 'Kumnadi' Mgombea wao Halima Mdee walikuwa wanaonyesha 'Udhaifu' wa wazi wazi katika 'Kuchambua' na 'Kufafanua' Mambo ( Masuala )

Nilipishana na mwana CHADEMA 'mzungukaji' wa Kwanza ambapo alimsimamisha Mama Mmoja hivi na kuanza 'Kujinadi' na 'Kumnadi' Halima Mdee ambapo aliulizwa na huyo Mama kuwa ampe tu 'Tathmini' fupi ya 'Mema' yanayoonekana yaliyofanywa na Mdee ambapo kwa 'Masikitiko' yangu makubwa Yule Kijana aliishia 'Kujiumauma' tu na 'Kujilamba' mdomo kama Chatu wa Gamboshi.

Wakati naikatiza Mitaa ya Kawe mbele tena nikakutana na wana CHADEMA 'wanaozungukazunguka' na kuna Mmoja nikamuona 'kambananisha' Mzee wa Watu huku 'akimnadi' Halima Mdee amnbapo nilimsikia Yule Mzee akimuuliza Je, anadhani Siasa anazozifanya Mdee zinaendana na 'nyakati' tuliopo Kimaadili na Kimaendelea Jamaa akabadili 'Mada' na Kuanza Kuzungumzia Mechi ya Leo ya Yanga SC na Kagera Sugar.

CHADEMA Kawe nilikuwa nawaamini na kuwa na 'Imani' nanyi ila kwa 'Udhaifu' huu tu mchache niliouona Askofu Gwajima ni Mbunge rasmi Kawe.
Weka picture
 
Wewe na mimi, rejea maswali yangu ya awali, tujiulize wajibu wa Mbunge ni nini.

Nahisi, vitendo vya wabunge wa upinzani kutokuwakilisha waliowachagua ipasavyo (kususia baadhi ya vikao, kupinga bajeti, nk) ndio msingi wa wao kuwaulizwa kipindi chao wamefanya nini.

Yawezekana, kuhusu zao la mchikichi, ni wazo la Serikali kuinua zao hilo, na ndiyo maana Waziri Mkuu amekuwa akienda huko mara kwa mara kuhimiza, wakati Zitto, Mbunge anakula BATA, dsm.
Kwanini unaamini kupinga bajeti sio kuwatumikia wananchi?Huo ni wajibu wao kikatiba lasivyo isingekuwepo kura ya ndio au hapana kwa bajeti!
Waziri mkuu huenda amekwenda baada ya kusikia mbunge anatoa hoja kuhusu jambo hilo!Na ndio nguvu ya mbunge inapoishia,kutoa hoja ili serikali ipime na ione kuna umuhimu wa kutekeleza jambo fulani!
 
Wewe na mimi, rejea maswali yangu ya awali, tujiulize wajibu wa Mbunge ni nini.

Nahisi, vitendo vya wabunge wa upinzani kutokuwakilisha waliowachagua ipasavyo (kususia baadhi ya vikao, kupinga bajeti, nk) ndio msingi wa wao kuwaulizwa kipindi chao wamefanya nini.

Yawezekana, kuhusu zao la mchikichi, ni wazo la Serikali kuinua zao hilo, na ndiyo maana Waziri Mkuu amekuwa akienda huko mara kwa mara kuhimiza, wakati Zitto, Mbunge anakula BATA, dsm.
Kwanini unaamini kupinga bajeti sio kuwatumikia wananchi?Huo ni wajibu wao kikatiba lasivyo isingekuwepo kura ya ndio au hapana kwa bajeti!
Waziri mkuu huenda amekwenda baada ya kusikia mbunge anatoa hoja kuhusu jambo hilo!Na ndio nguvu ya mbunge inapoishia,kutoa hoja ili serikali ipime na ione kuna umuhimu wa kutekeleza jambo fulani!
 
Jana nilibahatika Kukutana na wana CHADEMA baadhi ambao nadhani ( nahisi ) walipewa 'Jukumu' la Kupitapita Kawe hasa katika 'Nyumba' za Watu na Kumuombea 'Kura' Mgombea Ubunge CHADEMA Halima Mdee. Sina tatizo na 'Mbinu' yao hii ila GENTAMYCINE nina tatizo Kubwa sana na 'Competence' ya hawa wana CHADEMA wanaozunguka.

Huku nikiwa katika 'harakati' zangu za hapa na pale na jana nikiwa Jimbo la Kawe nilibahatika Kukutana na hawa wana CHADEMA kwa 'nyakati' tofauti ambapo wote kila walipokuwa wakikutana na Watu na Kuwaelezea 'Sera' zao ( CHADEMA ) na 'Kumnadi' Mgombea wao Halima Mdee walikuwa wanaonyesha 'Udhaifu' wa wazi wazi katika 'Kuchambua' na 'Kufafanua' Mambo ( Masuala )

Nilipishana na mwana CHADEMA 'mzungukaji' wa Kwanza ambapo alimsimamisha Mama Mmoja hivi na kuanza 'Kujinadi' na 'Kumnadi' Halima Mdee ambapo aliulizwa na huyo Mama kuwa ampe tu 'Tathmini' fupi ya 'Mema' yanayoonekana yaliyofanywa na Mdee ambapo kwa 'Masikitiko' yangu makubwa Yule Kijana aliishia 'Kujiumauma' tu na 'Kujilamba' mdomo kama Chatu wa Gamboshi.

Wakati naikatiza Mitaa ya Kawe mbele tena nikakutana na wana CHADEMA 'wanaozungukazunguka' na kuna Mmoja nikamuona 'kambananisha' Mzee wa Watu huku 'akimnadi' Halima Mdee amnbapo nilimsikia Yule Mzee akimuuliza Je, anadhani Siasa anazozifanya Mdee zinaendana na 'nyakati' tuliopo Kimaadili na Kimaendelea Jamaa akabadili 'Mada' na Kuanza Kuzungumzia Mechi ya Leo ya Yanga SC na Kagera Sugar.

CHADEMA Kawe nilikuwa nawaamini na kuwa na 'Imani' nanyi ila kwa 'Udhaifu' huu tu mchache niliouona Askofu Gwajima ni Mbunge rasmi Kawe.

Issue ya Kawe ipo kihivi:
1: KIKATIO cha mtu mmoja ... hao jamaa flani ... kitapiga kura, kitatumika zaidi ya vituo vitano at least
2: Focus iko kulee ... bonde la mpunga, kata za MSASANI na vijimambo vya huko.... wamefocus huko. Wasichojua ... soma 3

3: Wasiojulikana ... miaka mitano mingine ya GRANITE? HAIPANDI upstairs
 
Wewe NDIYO huelewi na ukae kimya Kwa kuwa hujui, ni kweli Mbunge Hana pesa za moja Kwa moja, lakini Mbunge mjanja, hawezi kuisubiri serikali ifanye kila Changamoto iliyoko kwenye Jimbo,

Ukiwa Mbunge, unauwezo wa kuingia kila ofsi zilizopo ktk nchi hii

Kwa hiyo, kama unauhuru wa kuingia kila ofsi,maana yake kinachokosekana Kwa wabunge wetu ni ushawishi wao kupitia ofsi zao kutumia vema ofsi na taasisi zilizopo ktk nchi hii, ofsi za mabalozi nchini na taasisi mbalimbali
wanazitumiajee hawa wabunge wetu?

Ni wakati gani wabunge wetu wamewatumia vema Kwa kutumia ushawishi wao kwa wadau wa maendeleo, Mr Makonda, ni mtu aliyedharauliwa na kila mtu, lakini ni kijana aliyeweza kuitumia vema nafasi yake Kwa kuwashawishi wadau wa maendeleo na kujikuta akifanya Miradi mingi na ingawa mingine hsikufika mwisho

Licha ya wadau wa maendeleo, kuna mfuko wa Bunge, ukisimamiwa vizuri, kuna mahali utafanya
Omba omba mentality
 
Halima hafai
Gwajima hafai zaidi...
Halima hafai kuwa mbunge.
Gwajima hafai kuwa hata mgombea tu..

Kawe mwaka huu I wish wawakatae wote
Ulichosema kina uwekli fulani kuwa wote hawafai, lakini ukikutana na uchaguzi kati ya kuliwa na fisi au kuliwa na chui utachagua nini. Ni afadhali uliwe na Chui kwa sababu atakuua kwanza ndipo anakupandisha mtininda kukulia huko ukiwa husikii maumizvu tena kuliko kuliwa na fisia anyeanza kukula ungali hai ukiwa unasikia maumivu sana.

Swali ni kuwa kati ya gwajima na mdee ni nani fisi na ni nani chui.
 
Bunge la Tanzania usipokuwa na Halima Mdee, Esther Bulaya, Esther Matiko Godbless Lema, Patrick Msigwa, Heche, Sugu wa Mbeya, Mnyika, Mbowe, Zitto Kabwe, na wengine kutokana upinzani bunge litakuwa la ndiyooooooo!!!! Tu. Ndiyo tunachotaka???
 
Halima anatetea sana Mashaka ya wanawake, ya JamiiForums kama kupatiwa barabara, maji, fedha kwa ajili ya dawa, matibabu ya wajawazito, kuongeza Bajeti ya kilimo na kadhalika!
 
Mbunge siyo serikali kwani wao hawana fedha ila wanatetea huduma ziwafikie watu wao na Halima Mara nyingi ametetetea Mashaka ya taifa pamoja na ya kawe!
 
..Halima Mdee alikuwa akipigwa vita na mkuu wa mkoa.

..kama alishindwa kutekeleza majukumu yake ipasavyo ni kwasababu ya mkuu wa mkoa aliyekuwepo.

..wapiga kura wajiulize kwanini Mdee alikuwa effective 2010 -- 2015, lakini akashindwa kuwa effective 2015 -- 2020.

..kwa waliokuwa wakimfuatilia Mdee akiwa bungeni hawatapata shida ku-conclude kwamba Gwajima hawezi kuchangia mle bungeni kwa kiwango na umahiri kama Halima Mdee.

..Katika bunge lililopita wako wabunge ambao kutokana uzito wa michango na hoja zao waliitwa Maseneta. Halima Mdee ni mmoja wa wabunge hao.

..msikilizeni Halima Mdee hapa chini.

 
Back
Top Bottom