Alex Fredrick
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 680
- 1,338
Jimbo la Kawe limekuwa likiongozwa na CHADEMA kwa zaidi ya miaka kumi sasa chini ya Mbunge Halima Mdee.
Ki ukweli pasi na shaka yoyote sijaona juhudi zozote za Mbunge kupeleka hoja yoyote Bungeni kuhusu maendeleo ya Jimbo la Kawe zaidi ya kujikita na migogoro isiyo na tija.
Kitendo cha CCM kipindi hiki kumuweka Askofu Josepaht Gwajima kupeperusha Bendera ya CCM Jimbo la Kawe nawapa kongole kwa kutumia jicho la Tai.
Naamini Askofu Josepaht Gwajima atapata ushindi wa kishindo dhidi ya Mdee na vyama vingine na zaidi sie watu wa Jimbo la Kawe tutegemee maendeleo ambapo kwa zaidi miaka kumi Jimbo lilikuwa kama halina Mbunge.
Shime wa Kawe wote tuweke pembeni Uvyama na ushabiki ambao hauna afya bali sasa kura zetu zote tumpe Askofu Josepaht Gwajima kama kweli tunadhamira ya dhati ya kupata maendeleo.
Alex Fredrick
Ki ukweli pasi na shaka yoyote sijaona juhudi zozote za Mbunge kupeleka hoja yoyote Bungeni kuhusu maendeleo ya Jimbo la Kawe zaidi ya kujikita na migogoro isiyo na tija.
Kitendo cha CCM kipindi hiki kumuweka Askofu Josepaht Gwajima kupeperusha Bendera ya CCM Jimbo la Kawe nawapa kongole kwa kutumia jicho la Tai.
Naamini Askofu Josepaht Gwajima atapata ushindi wa kishindo dhidi ya Mdee na vyama vingine na zaidi sie watu wa Jimbo la Kawe tutegemee maendeleo ambapo kwa zaidi miaka kumi Jimbo lilikuwa kama halina Mbunge.
Shime wa Kawe wote tuweke pembeni Uvyama na ushabiki ambao hauna afya bali sasa kura zetu zote tumpe Askofu Josepaht Gwajima kama kweli tunadhamira ya dhati ya kupata maendeleo.
Alex Fredrick