Kama una uwezo huu usikimbilie Majuu!

Kama una uwezo huu usikimbilie Majuu!

Hebu msome na huyo hapo juu...! Huyu hata value ya $5000 sijui kama anaijua....na kama anaijua haijui US au Europe!
Hv msela ulipwe 5000$ kwa mwezi kwanza wewe ni mtu mkubwa sana n hiyo pesa labda Uwe mtu wa party sana ndo utaisha ila ukiwa focused utasave 3000 kila mwezi na hapo umeshafanya starehe za kutosha
 
Hebu msome na huyo hapo juu...! Huyu hata value ya $5000 sijui kama anaijua....na kama anaijua haijui US au Europe!
Jamaa hayuko sahihi
Siamini kaandika haya
Kahawa na porojo vinaenda sana huko
 
Hv msela ulipwe 5000$ kwa mwezi kwanza wewe ni mtu mkubwa sana n hiyo pesa labda Uwe mtu wa party sana ndo utaisha ila ukiwa focused utasave 3000 kila mwezi na hapo umeshafanya starehe za kutosha
 
Umeona pesa tu kuna mengi tu usiyoyaona ila nayo unapata
 
Mkuu acha hizo, per day unaweza make up to 120 USD, na wanaposema wanalipa kwa lisali usidhani wanahesabiwa kwa masaa nane ina depend unapiga mchongo gani kuna wanaofanya data entry, wanaoosha vyombo, kuna wanaosafisha masehemu , mfano nakumbuka nje ya kazi yangu ya kuajiliwa nilipata kikazi cha kuwa naenda kusafisha sehem ambapo wanapaki magari, watu walikuwa wanavuta sigara wanaweka vipece vibaya , kazi hii niliifanya kila baada ya kutoka kazin kwangu, na ilikuwa 60 USD per hour nafanya 1 hour daily​
Part time job nyingine ilikuwa kusambaza business cards na kila cars 1 ni 0.5 USD, hivo nikisambaza 200 kwa siku nina 100 USD, japo nilikuwa sivisambazi ukweli nilikuwa naweka kwenye dustbin naenda kudai mpunga, hahaha wabongo tumelogwa​
japo nilikuwa sivisambazi ukweli nilikuwa naweka kwenye dustbin naenda kudai mpunga,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ndo mana wabongo hamuaminiki dadeq
 
Umenena vyema, na watu wajue nchi zetu hizi tunapaswa kuweka juhudi kupata maendeleo kama ya Ulaya na America. Sasa mada ilivyowekwa ni kama kimaendeleo tuko sawa nao ila wanatuzidi kipato tu, kitu ambacho si kweli.
Kwanza Tanzania kuna malipo kwa saa? Kuna kulipwa kila mwisho wa wiki? Kuna kiwango cha chini cha kulipa kwa saa?
Kuna kulipwa kwa siku Mimi huwa nafanya kazi za kulipwa kwa siku si chini ya laki
 
Kumbe bora nisepe tu... kuna jamaa kaniambia nimtafutie 4m, naingia sweden fresh adi kazi nakuwa nshataftiwa nikifika naanza mzigo tu🙂🙂..... walah mwakani mwez april nasepa.... maana hapa kazi hamna af tunaambiwa tuchape kazi
Mzee baba niaje?
Za huko Sweden
 
Mbeba box mstaafu le mutuz uwa anawakebehi sana wabeba box wenzie kule instagram
Lemutuz kilichomkimbiza ni mke wake kudai talaka,hivyo aliogopa nusu ya mshahara wake ingekatwa kumhudumia mke na watoto kwa sheria za marekan ndo maana akamkimbia we kasome kitabu chake
 
Watu hawakimbilii Ulaya na US kutafuta pesa tu. Ingekuwa hivyo ungeona wanakimbilia Russia, Uarabuni na China pia.
 
Back
Top Bottom