Nathan Jr
JF-Expert Member
- Sep 14, 2017
- 1,445
- 1,890
Ndiyo mkuuMbona vikazi vyenyewe vya kishenzi tu hutoki jasho lkn unapata mpunga wa maana!?
Ndiyo mkuuMbona vikazi vyenyewe vya kishenzi tu hutoki jasho lkn unapata mpunga wa maana!?
Mbona vikazi vyenyewe vya kishenzi tu hutoki jasho lkn unapata mpunga wa maana!?
Sio hilo tu kuna baadhi ya nchi hata kama umesoma wewe watakuona pumba tu. Kuna nchi ambayo wananchi wake ni ma-racist sana.Katika harakati za maisha Mara nyingi kila mtu anaona bora nchi hii ama ile!ndio maana utakuta wachina wanakimbilia Tanzania na Watanzania wanakimbilia China,Wakenya wanakimbilia Tanzania na Watanzania wanakimbilia Kenya!
Ili mradi kila mtu ameona nikienda sehemu Fulani basi naweza kufanikiwa .
Lakini Leo kwa ushauri tu wa bure kama unaweza kumake 1milion tsh kwa mwenzi ukishaondoa matumizi yako na elimu yako ni ya kawaida ama huna kabisa trust me Ulaya kama hujaenda shule ni kazi bure!
USD 10 kwa saa inaonekana kubwa lakini kiuhalisia ni kupaka rangi upepo
Hapana!!Sio box tena?
Ulaya haina kitu. Msibabaike na Ulaya watanzania. Wenyewe hivi sasa wana matatizo makubwa sana ya kiuchumi. Wananchi wao wako desperate. Europe na Amerika zimekumbwa na wimbi la watu kutaka utajiri wa haraka haraka bila kufanya kazi, matokeo yake ile spirit ya Innovation ambayo ilikuwepo katika nchi kama England karne ya 19 na 20 haipo tena. Waingereza wanapoteza kila kitu kwa Marehemu ya mahesabu pesa kwa kufungua mabanks. Hivi sasa yanawstokea puani.Katika harakati za maisha Mara nyingi kila mtu anaona bora nchi hii ama ile!ndio maana utakuta wachina wanakimbilia Tanzania na Watanzania wanakimbilia China,Wakenya wanakimbilia Tanzania na Watanzania wanakimbilia Kenya!
Ili mradi kila mtu ameona nikienda sehemu Fulani basi naweza kufanikiwa .
Lakini Leo kwa ushauri tu wa bure kama unaweza kumake 1milion tsh kwa mwenzi ukishaondoa matumizi yako na elimu yako ni ya kawaida ama huna kabisa trust me Ulaya kama hujaenda shule ni kazi bure!
USD 10 kwa saa inaonekana kubwa lakini kiuhalisia ni kupaka rangi upepo
Walah wit nakuona unataka kimbia bongooMbona vikazi vyenyewe vya kishenzi tu hutoki jasho lkn unapata mpunga wa maana!?
Sasa inakuwaje mtu anasema si lolote si chochote... au maisha ni. Magumu huko ughaibuni kuliko BongoMkuu acha hizo, per day unaweza make up to 120 USD, na wanaposema wanalipa kwa lisali usidhani wanahesabiwa kwa masaa nane ina depend unapiga mchongo gani kuna wanaofanya data entry, wanaoosha vyombo, kuna wanaosafisha masehemu , mfano nakumbuka nje ya kazi yangu ya kuajiliwa nilipata kikazi cha kuwa naenda kusafisha sehem ambapo wanapaki magari, watu walikuwa wanavuta sigara wanaweka vipece vibaya , kazi hii niliifanya kila baada ya kutoka kazin kwangu, na ilikuwa 60 USD per hour nafanya 1 hour dailyPart time job nyingine ilikuwa kusambaza business cards na kila cars 1 ni 0.5 USD, hivo nikisambaza 200 kwa siku nina 100 USD, japo nilikuwa sivisambazi ukweli nilikuwa naweka kwenye dustbin naenda kudai mpunga, hahaha wabongo tumelogwa
Upo sahihi kabisa, mzungu hawezi kukuthamini mtu mweusi hata siku moja. Vinginevyo uwalambe miguu sana kwa kukubaliana na mambo yao yote ya hovyo hovyo kama ushogaSio hilo tu kuna baadhi ya nchi hata kama umesoma wewe watakuona pumba tu. Kuna nchi ambayo wananchi wake ni ma-racist sana.
Anayesema hivo ni mitazamo yake pia anakuwa karidhikaSasa inakuwaje mtu anasema si lolote si chochote... au maisha ni. Magumu huko ughaibuni kuliko Bongo
Wabongo !!!!!Kesho mtatunga thread ingine maisha magumu bongo afadhali mkimbilie hata Msumbiji.....
Niko namalizia kazi yangu hapaMimi nafuatilia VISA niende Canada. Nitawasimulia yanayojiri huko nikifika.
Thanks mkuu. Naupitia uzi kwa umakini nipate mwangazaNiko namalizia kazi yangu hapa
Kesho nina safari ya siku 20 Canada kikazi, naomba kujulishwa baadhi ya mambo - JamiiForums
Niunganishe nae na mimi .....Kumbe bora nisepe tu... kuna jamaa kaniambia nimtafutie 4m, naingia sweden fresh adi kazi nakuwa nshataftiwa nikifika naanza mzigo tu🙂🙂..... walah mwakani mwez april nasepa.... maana hapa kazi hamna af tunaambiwa tuchape kazi
Nasepaa mkuu....umeona hela ilivyo nje nje sio ya jashoo kama bongo??Walah wit nakuona unataka kimbia bongoo
Nisaidie kushangaaSasa inakuwaje mtu anasema si lolote si chochote... au maisha ni. Magumu huko ughaibuni kuliko Bongo
...au wivuuNiunganishe nae na mimi .....