Kama una uwezo huu usikimbilie Majuu!

Kama una uwezo huu usikimbilie Majuu!

Kakudanganya nani
pesa inaongea mkuu, sasa unadhani hata hao watu wanaoenda majuu wanafata nini huko kama sio pesa?
wewe tafuta pesa ya kutasha tu hapahapa nyumbani alafu utaiona bongo ilivyo tamu kuliko hata ulaya (BONGO KAMA ULAYA)
 
Huwezi kumwambia kitu kama hicho Copenhagen DN aliwahi semaga alipata shids sana bongo ila alipotua ulaya huko kupiga mzigo wa kuosha sahani akawa anapata 20,000-36,000 za kibongo hio figure inaweza isiwe sahihi
denmark kima cha chini kwa saa ni kama euro 16 ama dollar 18-19
 
pesa inaongea mkuu, sasa unadhani hata hao watu wanaoenda majuu wanafata nini huko kama sio pesa?
wewe tafuta pesa ya kutasha tu hapahapa nyumbani alafu utaiona bongo ilivyo tamu kuliko hata ulaya (BONGO KAMA ULAYA)
Hata uwe na hela Bongo haiwezi kuwa kama Ulaya. Ndio maana wenye hizo hela wakitaka standards wanakimbilia Ulaya.
 
Nakubaliana na wewe. Kule majuu ni mateso matupu. Kwanza gharama za maisha ziko juu, pesa unayopata ni kidogo kulinganisha na matumizi yaani (hand to mouth), ni vigumu kuweka akiba, hakuna cha ndugu yangu atanisaidia, hakuna kutembeleana kuwa weekend nitakula kwa ndugu yangu(bajeti yao ni ya kufa mtu) na mwisho hakuna loose money kwa maana ya kick back. Kule kama unapata $5000 sidhani kuwa unaweza kufanya saving yeyote. Huku kwetu kama unaweza kuweka angalau hata Tshs.500,000 baada ya matumizi yako yote nakushauri usiende majuu kule ni mateso makubwa.Mtu mzima unafanya kazi mpaka masaa 18 kwa siku kwa sbabu ya utafutaji. Hivyo ndivyo wanavyoteseka huko.
Acha kupotosha mkuu.
 
Hata uwe na hela Bongo haiwezi kuwa kama Ulaya. Ndio maana wenye hizo hela wakitaka standards wanakimbilia Ulaya.
standards za maisha unazozifata ulaya sana sana ni huduma za kijamii kama afya na elimu ambazo kwa ukweli ni standard kweli bongo bado sana, lakini mbali na hizo huduma hakuna kitakacho kukimbiza kwenda ulaya labda kama unataka kufilisika tu. bongo starehe kibao na kwa garama nafuu tu, ulaya ya nini sasa?
 
standards za maisha unazozifata ulaya sana sana ni huduma za kijamii kama afya na elimu ambazo kwa ukweli ni standard kweli bongo bado sana, lakini mbali na hizo huduma hakuna kitakacho kukimbiza kwenda ulaya labda kama unataka kufilisika tu. bongo starehe kibao na kwa garama nafuu tu, ulaya ya nini sasa?
Ndio maana bongo haiwezi kuwa ulaya. Na nikikuuliza kuns starehe gani hapa sana sana utaishia kwenye pombe tu.
 
Wapotoshaji wakubwa ni wale waliobahatika kupita kwa ajili ya semina na kozi za wiki mbili tatu, wakirudi Bongo wanajidai wanajua Ulaya na Marekani kuliko wakazi wa huko.


Kweli kabisa mkuu. Yani hawajui kabisa mambo yanaendaje huku. Yani kama nimeweza kujenga bongo bado huku niko shule, hiyo 1m kwa mwezi utajenga na miaka mingapi huko?
 
Back
Top Bottom