Kama una uwezo huu usikimbilie Majuu!

Kama una uwezo huu usikimbilie Majuu!

Katika harakati za maisha Mara nyingi kila mtu anaona bora nchi hii ama ile!ndio maana utakuta wachina wanakimbilia Tanzania na Watanzania wanakimbilia China,Wakenya wanakimbilia Tanzania na Watanzania wanakimbilia Kenya!

Ili mradi kila mtu ameona nikienda sehemu Fulani basi naweza kufanikiwa.

Lakini Leo kwa ushauri tu wa bure kama unaweza kumake 1milion tsh kwa mwenzi ukishaondoa matumizi yako na elimu yako ni ya kawaida ama huna kabisa trust me Ulaya kama hujaenda shule ni kazi bure!

USD 10 kwa saa inaonekana kubwa lakini kiuhalisia ni kupaka rangi upepo
Nakusubiri hapa Singida Iguguno...Vipi unakuja lini?
 
Kumbuka hauwezi kwenda nchi za watu na kuanza kufanya kazi tu hovyo unaitaji working permit bila hivyo unaweza kukamatwa na kurudishwa kwenu , pia gharama anazolipwa raia wa kule sio sawa na zako kma wewe sio professional
 
Acha uongo yani hiko chumba €2000 umepanga pale champ d'esley Paris au la defence au center kabisa ya capital. Room zinafika mpaka 700€ ila 2000 mzee baba ndo tuseme umepanga posta mpya
Hiyo ni kwa mwezi au week?
 
Milion moja kwa mwez? Nipate lkn tatu tu kwa mwez uhakika ctok niende wap tena?
 
Muwe mnaachaga ujinga wa kudanganyana! Unajua hyo anaelipwa hyo pauni 7 apartment anayoishi analipa shi ngapi? Mwisho wa siku hyo mfagia barabara anaishi km mbangaizaji yoyote wa africa!!

Hyo paundi 1100 kibongobongo ni km kulipwa laki tatu kutokana na gharama za maisha kuwa juu
Yaani wabongo full kudanganyana wanapigia hesabu mishahara ya ulaya kwa matumizi ya kibongobongo waende ulaya wakakutane na apartment ya chumba kimoja euro 2000 huku mshahara wako kwa mwezi ni euro3000 hpo bado hujala na takataka nyinginezo
Hiyo £ 30000 kwa mwaka bado hela mbuzi tu kwa ulaya yote hyo inaishia kwenye kulipia apartment tu!
Watu mliopita Ulaya kwa hisani ya semina mna fix balaa!
 
Hya wewe uliyeishi miaka 10 tueleze ukweli unaoujua?
Kuna tofauti kati ya kuishi sehemu na kupita kwa semina ya wiki mbili. Hujui hata value £30,000 unaropoka tu. Hujui hata value ya Euro 3,000 ndio maana unaropoka kuwa inaishia kwenye rent. Watu wengi wanaotafuta maisha au wanafunzi wanaishi kwenye shared house/apartment. Hio Euro 3000 nyumba nzima ya vyumba 3/4 na chenji nyingi tu inabaki. Mfano UK up north nyumba ndio bei rahisi sana, down south kama London ndio bei kubwa na bado hio Euro 3,000 bado ni nyingi sana kwa nyumba ya kawaida yenye facility zote, labda useme wewe unataka Queen awe jirani yako.
 
Mkuu hiyo dola 100,kuna kulipia chakula,malazi na matumizi mengine madogo madogo,chips kuku ya elfu 5 kwa TZ,huko kwa wenzetu inauzwa kuanzia dola 10 hadi 15
Kama 100 dola kwa siku, ukawa makini, ukaacha anasa baada ya mwaka unarudi na pochi nono
 
Ni hatari sana hiyo kazi ambazo huchangii social security ni kujiua tuu maana final ni uzeeni ukiwa na social security unapata mpunga kama huna kazi na ukiamua kusepa unaondoka na mtaji wako kuja kufaidi tz. Ulaya mipango though sio rahisi ila ni better than bongo sina hamu na bongo kidogo nichanganyikiwe elimu unayo na kazi hamna
Oooh safi sana mkuu....uko umeajiriwa? Uko nchi gani?
 
Back
Top Bottom