Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 9,426
- 28,231
M
mkuu napenda mada zako za kusifia china
Tuna mengi ya kujifunza kutoka China
M
mkuu napenda mada zako za kusifia china
Tatizo la Wajapan wanafanya kazi mpaka wanalala makazini na ni kawaida kuona Mjapan ana miaka 40 Mpaka 50 lakini bado bikra kutokana na kukosa muda wa kujamiana, siendi ng'oo.Japani kuna fursa nyingi za ajira (zisizo rasmi) ila zenye kipato kikubwa ukilinganisha na Tanzania.
Maisha ya Japani hayana gharama kubwa ukilinganisha na nchi nyingine zilizo endelea
Japani hali ya ubaguzi kwa
Waafrika sio kubwa ukilinganisha na mataifa mwngine.
Visa ya Kufika Japani ni rahisi sana, kuliko wengi wanavyofikilia.
NB: Kama kazi unayoifanya inakuingizia TZS 5mill kwa mwezi, basi Japan hapakufai, baki huko huko, ila kama below, unaweza ukaja kujaribu bahatinyako huku.
Yaaa hilo ndio swali sasa,lazima baada ya ka zi mwili upate kurelaxVipi upatikanaji wa mbususu za kijapan?
Ndio burudani pendwa pekee hapa dunianiYaaa hilo ndio swali sasa,lazima baada ya ka zi mwili upate kurelax
Aliens ni wageni. Au wasio raia wa sehemu hiyounawajua aliens,
Uliishi nao wapi
Hakika,vingine ni nyongeza tu mkuu,acha kabisa hiyo kitu,🤣🤣🤣🤣Ndio burudani pendwa pekee hapa duniani
Kuwatomba mabinti wa kijapan wanaita sex tourismKama KAZI Gani?
majobless tunashida sana aseee kila kitu fursa kwetuTupatieni mwongozo wa kufika huko jobless Mimi nijaribu bahati yangu
Kwanini Serikali isifundishe lugha ya Kijapani au Kijeruma kwa watoto zetu shuleni kuliko kutuletea Kiarabu ambacho hakina faida.Japani kuna fursa nyingi za ajira (zisizo rasmi) ila zenye kipato kikubwa ukilinganisha na Tanzania.
Maisha ya Japani hayana gharama kubwa ukilinganisha na nchi nyingine zilizo endelea
Japani hali ya ubaguzi kwa
Waafrika sio kubwa ukilinganisha na mataifa mwngine.
Visa ya Kufika Japani ni rahisi sana, kuliko wengi wanavyofikilia.
NB: Kama kazi unayoifanya inakuingizia TZS 5mill kwa mwezi, basi Japan hapakufai, baki huko huko, ila kama below, unaweza ukaja kujaribu bahatinyako huku.
Kwenda japaan jambo la kwanza kuwa na kibali cha mkazi ni jambo la pili, kila mahala dunia hii ukiweza pata citizenship umemalizaJapani kuna fursa nyingi za ajira (zisizo rasmi) ila zenye kipato kikubwa ukilinganisha na Tanzania.
Maisha ya Japani hayana gharama kubwa ukilinganisha na nchi nyingine zilizo endelea
Japani hali ya ubaguzi kwa
Waafrika sio kubwa ukilinganisha na mataifa mwngine.
Visa ya Kufika Japani ni rahisi sana, kuliko wengi wanavyofikilia.
NB: Kama kazi unayoifanya inakuingizia TZS 5mill kwa mwezi, basi Japan hapakufai, baki huko huko, ila kama below, unaweza ukaja kujaribu bahatinyako huku.
Wajaps na wajeps ndo mnaita swaga??Kuna ukweli kuhusu ajira huko, Wajaps hawazaliani sana , hii imepelekea kuwa na uhaba mkubwa wa nguvu kazi,
Kuhusu ustaarabu kwa kweli kiuhalisia toka moyoni mjeps sio mstaarabu , unachokiona ni waliamua watie mpira kwapani baada ya kuangushiwa jumba bovu na Mmarekani kipindi cha ww2
China ndio nchi inawajua vema sana hao watu