Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

sababu ya kiwasha ganja kabla sijalianza pori la ushirombo.

ilikuwa mwezi wa ramadhani mwaka 2013 mida ya saa 11 jion na siku hiyo kulikuwa na mvua ya rasha rasha, nilikuwa naendesha pulling ya kampuni moja ya mafuta na hilo gari sikuwa nimekabithiwa mimi dereva wake alipata udhuru ambaye pia ni mjomba wangu na kwa kuwa yeye ndiye aliyenifundisha gari akachukua chuma akaja nayo mpaka river side akanikabithi gari yeye akaenda kwenye mambo yake, mimi nikashobokea dundo nikaomba dua mdogomdogo, ikumbukwe hata lesen yangu wakati huo haikuwa ikiruhusu nikokote lile gari ni ubishi tu wa kibongo, basi kufika mji mmoja unaitwa masumbwe ile gari ikaanza mapicha picha inachemsha hatari, nikawa nalikokota hivyo hivyo temp ikishuka safar inaendelea, sasa ktk lile pori chuma ikaanza kuchemka tena, nikashuka chini nikawa naisubiria ipoe niwahi runzewe nikafturu nilikuwa nimefunga ila ni zile funga za masela c unajua tena? sasa nimemaliza kujaza maji nikasema ngoja nichungulie feni nikakuta chuma inataka kuanguka, na pale porin nikaona hapa nikijikokota nafika runzewe, naingia ndani ya gari fresh ile chuma inaanza ondoka dah naona mdada anatokea nyuma ya kitanda, nilistuka nusu niruke sasa akili ingine ikanikatalia kufanya hivyo, nikamuuliza we umeingia saa ngapi humu? huku sasa napaki gari pemben akaniambia ukipaki tu hii gar inawaka moto, ****** alafu mle ndani ya gari harufu imebadilika kuna marashi yanakera ndani ya pua zangu, sasa kuna jambo liliniponza mimi dini yetu inasema wakati wa mwez mtukufu viumbe vya ajabu vinafungiwa huyu katoka wapi? katoroka? nikakumbuka nna ganja tena ishanyongwa nilikuwa nasubiri nifungulie niilipue, ikabidi nifuturu bangi nikapandisha vioo ananiangalia tu ananichekea mm jasho linanitoka na vile sikula tangu asubuhi na mwili nauhisi unaisha nguvu akasema we mtoto usiwashe hayo majani mimi nikabana usukani na goti nikawasha alafu nikampulizia ule moshi, hamkuwepo ila nahisi nilikuwa na malaika maana mle katika cabin ulitanda moshi mzito na kelele ambazo sijui mpaka leo niseme ni za mnyama gani, hapo chuma inatembea maana nilihisi giza likiingia niko ma lile dubwana basi ndio kifochangu baada ya ule moshi kutanda mm nilichochora, chuma ikatoka nje ya barabara lakini nashukuru sikuingia kule kwenye ule msitu, wakati gari imesimama mle ndani moshi umejaa kama cabin inaungua, nikashuka nikaacha mlango wangu wazi ule moshi ukawa unatoka hapo natetemeka sasa nikakimbilia barabarani, chuma nimeiacha kule ktk njia ambayo ilikuwa diversion zaman, nimesimama pale kama dakika kumi hakuna gari hata moja kupita, hapo ganja yangu imebak kikucha, nikasema ngoja niende ktk gari nikaangalie yupo? hapo eneo lile lishaanza kuingiwa na ukimya na giza, narudi kule sikumkuta, hali ipo shwari kabisa, nikaizunguka gari kuikagua kama kuna janga lolote nimesababisha hamna, nikapanda nikaihakiki gar yote na nikaridhia niko mwenyewe chuma ikatoka huyoo mpaka runzewe nimeingia pale kama saa moja na robo sasa kilichonifanya niandike hapa ni hiki wakat nimefika runzewe nikapaki jiran ya mzee mmoja anauza kahawa, maana bado nilikuwa na wasiwasi nilitaka niwahadithie lile tukio nijue yule ni jini ama wenge la lile gari kabla sijashuka namuona yule mwanamke upande wa pili anaomba lifti katika gari ya Azam ambayo inarudi kule kule tulipotoka alaf tayar giza limetanda, nilipiga honi nikamwambia kaka usimpakie huyo mwanamke jini huku nashuka basi yule dada hata sijui alipoteaje lakini baada ya mm kuvuka nikamuambia kaka ungempakia yule mwanamke yangekukuta makubwa ananiuliza mwanamke gani? jaman si huyo ulikuwa unaongea nae hapa anakuomba lift? jamaa akasema yeye hajaongea na mtu katoka kula anaondoka zake nikamwambia basi kaka we lala hapa ondoka asubui hapa leo kuna jinni kisirani sio bure, ndio baada ya kuwahadithia wenyeji wakasema nyie mnabahati sana, kuna mwanamke jinn hapo ktk hilo pori, nikauliza lakin mwezi huu wanafungiwa wenyeji wakaishia kucheka tu.
Hapa Umeeleza vizuri lakini Kiranga atakuambia ulikuwa unaumwa ukaona maruwe ruwe
 
Hapa Umeeleza vizuri lakini Kiranga atakuambia ulikuwa unaumwa ukaona maruwe ruwe
madereva wote wanaopita hiyo njia mara kwa mara wote wana maruwe ruwe? maana si mimi tu, kuna brother wetu pia limemfika janga eneo hilo hilo na mpaka sasa tunapoongea si yule tena..gari yake iliinuliwa juu usawa wa ile miti kisha ikabamizwa chini mpaka container ile ilichanika kama karatasi alaf mtu aseme wenge?, humu kama wapo madereva wanaoitumia ile njia mara kwa mara watakuja kutoa ushuhuda wao.
 
Wakuu nakumbuka enz nasoma primary kila tukienda chooni tunaskiaa harufu za pilau au vitu vinanukia vzr. Bhs nakumbuka siku rfk angu alirud speed class mpaka kuanguka kuuliza alisema kakuta sinia la pilau choon, watu wanamwambia njoo ule


Sent from my iPhone using JamiiForums
Hichi kitu hata wakat nasoma kulikua na haya Mambo Mara harfu ya pilau,kukuta mbuzi Analia ,Mara vibwengo mwanafunzi kudondoka chooni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sipo kubishana na wewe,
unaniuliza maswali ya kitoto ili nikujibu halafu tuanze kubishana?

Nimekwambia soma vizuri post yangu ya kwanza uliyo ni quote utaelewa, je baada ya kusoma ile post sehemu gani haujaelewa?


Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna ulipoeleza sababu ya wewe kufikiri nayafanya maisha yangu kuwa magumu.

Nataka unieleze kwa nini unafikiri nayafanya maisha yangu kuwa magumu.

Ama sivyo, ukishindwa kunieleza hili, kubali hujui hata unachoandika mwenyewe ni nini.

Kuniambia nisome ulichiandika wakati nimesoma na sijaona ulipoelezea hiki si jibu.

Ni kukubali kwamba huna jibu.

Kwa msingi wako huu, kila mtu anapoulizwa swali ambalo hana jibu anaweza kujibu kirahisi tu, "soma nilivyoandika".

Umeandika nini?

Wewe mwenyewe unaweza kufafanua hayo uliyoandika?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani wote wamejichanganya kabisa

Jamaa alikuwa anamponda kiranga na hizi post zake za kusumbusumbua za kutuharibia Uzi na asipondwe kwani ye nani
Tatizo wanahisi jamaa anamponda mleta mada, but nilivomuelewa jamaa anamponda kiranga kutaka kuaminishwa uchawi JF,, sasa wengine bila kufikiria mara mbili wanaanza attacks kwa jamaa

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ATTENTION!
ukiona mtu anacomment kupinga uchawi haupo huyo ndo mchawi analinda community yake. Pia niwakumbushe tu kuomba Mungu maana ye ndo mlinzi achaneni na mahirizi sijui chale, mara uende mganga akwambie dawa ataiweka sehemu zako za siri kwa kutumia sehemu zake za siri, shida zote za nini, Omba Mungu Sali sana. UNAPOOMBA MUNGU ACHA YAFUATAYO KWANZA; UZINZI, KULALA NA WAKE AU WAUME ZA WATU, WIVU,TAMAA,MAJUNGU , UMBEA. maana kuna watu wanaomba hawafanikiwi kumbe wanachoomba na wanachofanya haviendani.
 
Wale ambao hawaombi,ni wazinzi na bado wanafanikiwa huwa ni nani anawafanikisha?
ATTENTION!
ukiona mtu anacomment kupinga uchawi haupo huyo ndo mchawi analinda community yake. Pia niwakumbushe tu kuomba Mungu maana ye ndo mlinzi achaneni na mahirizi sijui chale, mara uende mganga akwambie dawa ataiweka sehemu zako za siri kwa kutumia sehemu zake za siri, shida zote za nini, Omba Mungu Sali sana. UNAPOOMBA MUNGU ACHA YAFUATAYO KWANZA; UZINZI, KULALA NA WAKE AU WAUME ZA WATU, WIVU,TAMAA,MAJUNGU , UMBEA. maana kuna watu wanaomba hawafanikiwi kumbe wanachoomba na wanachofanya haviendani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiranga mbona kama umechanganyikiwa ndugu?

Nilichokueleza kipo wazi na kinaeleweka kwa kila mtu na kama wewe haujaelewa basi una matatizo yako binafsi.

Unataka nirudie kukuelezea ili ubishani uwe mkubwa zaidi?
na unasema nisiporudia kukuelezea nitakuwa sijui, maana yako nisipobishana na wewe nitakuwa sijui,

Narudia kusema, soma Post yangu ya kwanza kwenye huu uzi, post uliyo ni quote na utaelewa nilichomaanisha, na pia siwezi kurudia kukuelezea sababu naona unataka tubishane zaidi na mimi, ila mimi sina huo mda wa kubishana.

Swali la kizushi kwako Kiranga:
Inawezekana wewe ni mmoja wa owner wa JF hivyo ubishani wako unafanya uwe na hoja zisizoisha kimkakati ili JF iendelee kuwa na viewer wengi?

Nimeongea hivyo sababu nimejaribu kusoma kila hoja zako kwenye nyuzi tulizowai kukutana ila nimeona mara nyingi hoja zako ni za kufikirika, au ni wewe una matatizo binafsi kwa kuzani humu JF hamna mtu mwenye uwezo zaidi yako?
Hakuna ulipoeleza sababu ya wewe kufikiri nayafanya maisha yangu kuwa magumu.

Nataka unieleze kwa nini unafikiri nayafanya maisha yangu kuwa magumu.

Ama sivyo, ukishindwa kunieleza hili, kubali hujui hata unachoandika mwenyewe ni nini.

Kuniambia nisome ulichiandika wakati ninesoma na sijaona ulipoelezea hiki si jibu.

Ni kukubali kwamba huna jibu.

Kwa msingi wako huu, kila mtu anapoulizwa swali ambalo hana jibu anaweza kujibu kirahisi tu, "soma nilivyoandika".

Umeandika nini?

Wewe mwenyewe unaweza kufafanua hayo uliyoandika?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ungefanya mambo mengine tu huyu chizi atakuchosha bure
Kiranga mbona kama umechanganyikiwa ndugu?

Nilichokueleza kipo wazi na kinaeleweka kwa kila mtu na kama wewe haujaelewa basi una matatizo yako binafsi.

Unataka nirudie kukuelezea ili ubishani uwe mkubwa zaidi?
na unasema nisiporudia kukuelezea nitakuwa sijui, maana yako nisipobishana na wewe nitakuwa sijui,

Narudia kusema, soma Post yangu ya kwanza kwenye huu uzi, post uliyo ni quote na utaelewa nilichomaanisha, na pia siwezi kurudia kukuelezea sababu naona unataka tubishane zaidi na mimi, ila mimi sina huo mda wa kubishana.

Swali la kizushi kwako Kiranga:
Inawezekana wewe ni mmoja wa owner wa JF hivyo ubishani wako unafanya uwe na hoja zisizoisha kimkakati ili JF iendelee kuwa na viewer wengi?

Nimeongea hivyo sababu nimejaribu kusoma kila hoja zako kwenye nyuzi tulizowai kukutana ila nimeona mara nyingi hoja zako ni za kufikirika, au ni wewe una matatizo binafsi kwa kuzani humu JF hamna mtu mwenye uwezo zaidi yako?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bora Muongee ninyi wakuu MLEVi Mmoja proskaeur

Majibu yao niliyaona nikaona nivunge kuliko na Mimi nionekane PUNGUANI

Yani ni maneno Machache Sana lakini
Wameshindwa kuelewa Sababu ya ufinyu wa akili

digba sowey Wewe ni PUNGUANI....Yani Mimi niko upande wako unakuja kunitukana Hapa ? Hivi Nani kaonekana MPUUZI hapo mbele ya na wana JF ?

Bushmamy na Wewe Umejiona ulivyo onekana PUNGUANI Mara Mia, bila Shaka umedhihilisha JF Wewe ndio umekula kiporo cha ugali na akili yako ikaganda


Nimetukanwa matusi nisiyo stahili
"Kala kiporo cha ugali sasa akili imeganda kama ugali "
"shame on you son of idiots"

Mnitake Radhi Sana na huo ndio Uungwana
 
Back
Top Bottom