kahtaan
JF-Expert Member
- Jul 11, 2009
- 18,713
- 11,274
Mimi ni mwafrika huenda kupita wewe.Sio unavyoamini ww basi waafrika waamini.
Na ndo maana dunia nzima matajiri wachache masikini wa kutosha.
Utajiri upo kwa waaminio tuu sio wasomi.
Na siku yakikukuta ndo utajua why kuna miungu mingine tofauti na hiyo waliyoileta hao jamaa watengeneza silaha zinazotumia na binaadamu kuua watu
Najua makaburi wa babu yangu wa 12 hapa hapa Tanzania.
Hio siku ya mimi kujua kuna Mungu mwingine haitofika
Mungu ni mmoja tu.
Mwenye uwezo wote.
We endelea kuamini wachawi. Utapata hasara mwenyewe.