Wadiz
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 5,411
- 11,061
Shalom,
Nimekumbuka hii story ya siku nyingi sana mtoto mmojawapo wa marehemu Advocate na pia Mwalimu Masumbuko Lamwai, alikuwa na demu wake mmoja hivi kitambo sana miaka 21+ hivi nyuma.
Huyu kijana wa Lamwai alikuwa na demu ambae huyo demu alikuwa na kaka zake kadhaa, kuna siku mtoto wa Lamwai alimtembelea mpenzi wake kwao, inaonekana kwa siku nyingi hao kaka wa huyo demu walikuwa na pingamizi ya huyo dada/mdogo wao kutoka kimapenzi na mtoto wa kiume wa Lamwai.
Basi inatokea siku hio mtoto wa Lamwai alifika nyumbani kwao na demu wake, basi kumbe kuna mpango mbaya umeandaliwa na kaka zake na demu wake.
Mtoto wa Lamwai alifungiwa ndani na kaka zake na huyo demu walimpiga sana sana kipigo Cha mbwa mwitu kipigo kikali sana, sijui hiki kusanga kiliishaje miaka ile.
Japo baadae miaka hio mimi nikiwa nasoma Nakuru na Eldoret kule Kenya na kisha Bachelor degree huko Mukono Christian University ( Mukono University), . Mukono, Uganda . Huyo mpenzi wake na Mtoto wa Lamwai nilikuwa nakutana nae Kwenye Bus za Scandinavia za kwenda Kampala kutoka DSM Ubungo. We traveled 27-30 hours, occasionally we also boarded Akamba bus and Kampala coach, those were the days.
Akiwa anaelekea zake Makerere University, Kampala, Uganda. Kila nilipomwangalia yule demu akiwa amenona niliwaza sana juu ya maumivu ya mshikaji.
Maisha ndio haya haya ukipata demu mle kwa kuusikilizia sana minyanduano you never know what might happen as repercussions.
Naomba malegend wa Visiga Seminary School wenye kumbukumbu mwambie msela aje asimulie zaidi mjulishe kuna thread ipo hapa.
I had to recall this though it's painful trauma to remember about our mate.
Wenye visa vya kupigwa na mashemeji au collabo za kupigwa na mashemeji kisa wivu wa kutoka na Dada yao au mdogo wao wa kike kujeni hapa.
Ramadan Kareem
Ni hayo tu
Wadiz
Nimekumbuka hii story ya siku nyingi sana mtoto mmojawapo wa marehemu Advocate na pia Mwalimu Masumbuko Lamwai, alikuwa na demu wake mmoja hivi kitambo sana miaka 21+ hivi nyuma.
Huyu kijana wa Lamwai alikuwa na demu ambae huyo demu alikuwa na kaka zake kadhaa, kuna siku mtoto wa Lamwai alimtembelea mpenzi wake kwao, inaonekana kwa siku nyingi hao kaka wa huyo demu walikuwa na pingamizi ya huyo dada/mdogo wao kutoka kimapenzi na mtoto wa kiume wa Lamwai.
Basi inatokea siku hio mtoto wa Lamwai alifika nyumbani kwao na demu wake, basi kumbe kuna mpango mbaya umeandaliwa na kaka zake na demu wake.
Mtoto wa Lamwai alifungiwa ndani na kaka zake na huyo demu walimpiga sana sana kipigo Cha mbwa mwitu kipigo kikali sana, sijui hiki kusanga kiliishaje miaka ile.
Japo baadae miaka hio mimi nikiwa nasoma Nakuru na Eldoret kule Kenya na kisha Bachelor degree huko Mukono Christian University ( Mukono University), . Mukono, Uganda . Huyo mpenzi wake na Mtoto wa Lamwai nilikuwa nakutana nae Kwenye Bus za Scandinavia za kwenda Kampala kutoka DSM Ubungo. We traveled 27-30 hours, occasionally we also boarded Akamba bus and Kampala coach, those were the days.
Akiwa anaelekea zake Makerere University, Kampala, Uganda. Kila nilipomwangalia yule demu akiwa amenona niliwaza sana juu ya maumivu ya mshikaji.
Maisha ndio haya haya ukipata demu mle kwa kuusikilizia sana minyanduano you never know what might happen as repercussions.
Naomba malegend wa Visiga Seminary School wenye kumbukumbu mwambie msela aje asimulie zaidi mjulishe kuna thread ipo hapa.
I had to recall this though it's painful trauma to remember about our mate.
Wenye visa vya kupigwa na mashemeji au collabo za kupigwa na mashemeji kisa wivu wa kutoka na Dada yao au mdogo wao wa kike kujeni hapa.
Ramadan Kareem
Ni hayo tu
Wadiz