Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

Nakumbuka mwaka 2018, nikiwa na kampuni fulai tulikuwa tunatengeneza barabara mkoani Rukwa. Barabara ilianzia kijiji kimoja kinaitwa Kizi kuishia Lyamba lyamfipa.

Kama utaratibu wa mikataba ulivyo, tulitoa ajira kwa wanakijiji kadhaa kama vibarua. Kampuni yangu ilikuwa na shida ya kufanya malipo kwa wakati. Na kule kijijini umeme na mtandao ulikuwa wa shida kidogo.

Vibarua wale wakadhani pesa imetumwa na mimi nazingua. Siku mmoja alfajiri nikajikuta nimeamkia kwenye mlango wa chumba changu. Wakati usiku nililala ndani. Ikabidi niwaite niwaeleze kimzaha lakini nikimaanisha kwamba hata mimi sikupewa ujira wangu.

Walielewa na kuanzia hapo tukawa marafiki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika tukio jingine, mkoani Rukwa hapo hapo kipande cha Chala na Paramawe,barabara ya Vumbi kulitokea msiba. Kijana aliugua ghafla na kufariki. Alifikwa na mauti katika hospitali ya Namanyere.

Wakati wa kurudisha mwili waliomba gari yangu ya site ifanye msaada huo, bahati mbaya gari zilikuwa mbali kidogo. Hivyo wakakodi gari ingine kwa msaada wetu.

Kawaida ya Huko, jeneza huwa linaandaliwa nyumbani hivyo mwili huletwa nyumbani na kuwekwa kwenye jeneza tayri kwa mazishi.

Kutoka eneo la msiba mpaka tulipoweka kambi ni mwendo wa kama mita 100 tu, basi watu waliokuwa wapo wanaomboleza wakshangazwa na kijana yule kuzinduka. Tuliokuwa kambini tulishangaa watu wanakimbia kwenye uelekeo tofauti tofauti.

Sikubahatika kufahamu mwisho wake maana siku hiyo jioni niliondoka na sikuweza kurudi tena Sumbawanga/ Rukwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ngoja tu nimalizie kisa changu kingine,but huwa nikimsikia mtu anasema uchawi hakuna namwangalia na kutikisa kichwa tu.
Nimezaliwa na mama ambae ni mgonjwa wa sicle cell hali iliyokuwa inamfanya mama yangu kuumwa mara kwa mara hasa mifupa na hata kuishiwa damu mara kwa mara naweza kusema mama yangu haikuwahi kupita week bila ya kuumwa au kulazwa hospitali,hali iliyopelekea kuwa anatumia mara kwa mara dawa za valium na hata wakati mwengine kuwa anajichoma mwenyewe sindano za valium ili apunguze maumivu apate usingizi,ilikuwa ni usiku wa saa 8 usiku nimelala na bimkubwa naskia anaugulia maumivu makali mno ya mifupa,nikaanza kutafuta dawa hakuna sindano wala vidonge na nyumba tulikuwa mimi na yeye tu wakati huo simu ni anasa na usafiri huu wa boda boda hakuna na gari ilikuwa saa 4 mwisho, basi kila akiugulia maumivu akili yangu inahangaika mwisho wa siku nikamchukua nikamuweka mgongoni kulikuwa kuna dispensari fulani hvi ipo kigoma ujiji na sisi wakati huo tunakaa bimala kwa wenyeji wa kigoma wanakujua ni umbali wa kama dakika 10 kwa gari,basi nikamuweka mama yangu mgongoni safari ikaanza wakati huo nina umri wa miaka 12 tu,tembea sana kila nikiskia anazidi kuugumia na mm ndo naongeza spidi,basi tukafika sehemu moja inaitwa shine cinema ni ukumbi fulani hivi walikuwa wanaonyesha movies na pembeni kuna shule ya msingi ujiji, baada ya kufika pale ile shule tuliona imegeuka treni watu wanashuka na kupanda wakati huo upande wa pili kwenye ule ukumbi kwa nje tukaona watu wengi mno wapo nje wanapiga kelele mno wanasherehekea wako uchi wa mnyama wanauza vichwa vya watu ulimi na viungo vingne vya binadamu na kulikuwa kunanuka damu kweli kweli cha ajabu ajabu kufika pale nikashikwa na bumbuwazi kiasi cha kanga kulegea bimkubwa akaanguka lakini kwa kusimama sasa alivyofungua macho kuona kilichopo mbele yetu nilishangaa tu amenibeba juu alitoka mbio za ajabu huku akiwa amenibeba mgongoni mpaka ujiji kwenye ile dispensary alivyofika tu akazimia pale pale nakumbuka alikuja kuzinduka siku ya tatu na mtu wa kwanza kuniita alivyoamka tu nilikuwa mimi alinikumbatia na kuanza kulia sana(kisha akanitamkia nimekusamehe leo na siku zote za maisha yako) kauli hii aliirudia akiwa anafariki ndani ya mikono yangu mwaka 2007 kwa kunambia(nakufa mwanangu nakupenda sana na nakufa nikiwa radhi nawe uishi maisha ya kumpendeza mungu na uwapenda nduguzo kama ulivyokuwa unanipenda mama yako)
R.I.P my beloved mom

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata kipindi cha nyuma tanga kulikuwa na mbuzi walipoteaga mwenye nao akajua wameibiwa basi akawasomea "albadiri" baadae akawaona akaambiwa awaache asiwachukue laasivyo albadiri yake itamzuru basi akawaacha

Aisee wale mbuzi walizaliana sana na walikuwa wakitembea kwa kundi wanazurura tu usiku utakapowafikia wanalala hapohapo na walinona kwelikweli wakionekana wanapita mtaani utaskia watu wanaropoka njooni muwaone wale "mbuzi wa albadiri " hakuna mtu aliethubutu kuwaiba huo msemo ukawa maarufu ulitumika mfano mtu anaweza akakutukana tu mfano mbuzi wa albadiri wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
Duh, ni hatari aisee. Najiuliza tu mfano wakiliwa na simba atakufa au?
 
Mwaka flani wilaya ya rombo nimetoroka zangu shule usiku wa giza nene kias kwamba hata miti unaiona kwa tabu sana ,nikakatiza mitaa flani ilikua kipindi cha baridi lakini ghafla nikaanza kuhisi joto la hatari mara paaap kumekua kweupe kama mchana wa saa sita na jua kali aiseee nilitimua mbio ile hali ilidumu kama dk moja hivi

Ikawa mwanzo na mwisho kutoroka shule usiku.

Sent using Jamii Forums mobile app
rombo ipi mkuu,ya huk kanda ya nyonyo au kilimanjaro?
 
S
Ukweli uchawi Upo tena uhakika

Mimi Nina visa 3 mwenyewe kwenye maisha yangu.

Cha kwanza kilinitokea nikiwa na miaka 6 mwaka 92 na cha pili kilinitokea mwaka 2008 nikiwa mkubwa na elimu yangu kwa hakika uchawi Upo tena sana

Mwisho nilipanga nyumba mtaa wa mecco Mwanza nyumba nzuri ipo katikati ya nyumba nyingi sana nikalipa zangu kodi 1.5m kipindi hiko nimehamia mwanza kikazi Niko zangu single

Usiku nilichapwa viboko sijawahi Ona ananichapa simuoni kesho yake nikasema labda ndoto,saa 2 tu usiku bakora za kutosha,nikaamua kwenda kulala guest asee

Baada ya siku nikahama

Hii nyumba mpaka leo ipo pale mecco kwa ambao hamuamini uchawi nenda kashuhudie mwaka wa 6 haina mpangaji wala binadamu anaishi pale

Waganga na waombaji hawajafua dafu

Inasemekana walimuua mwenye nayo wakaidhurumu malipo ndio hayo.
sehem gan mkuu cz npo maeneo ya buzuruga hapa tupe konnekshen tusijejikuta tumepanga huko
 
ngoja tu nimalizie kisa changu kingine,but huwa nikimsikia mtu anasema uchawi hakuna namwangalia na kutikisa kichwa tu.
Nimezaliwa na mama ambae ni mgonjwa wa sicle cell hali iliyokuwa inamfanya mama yangu kuumwa mara kwa mara hasa mifupa na hata kuishiwa damu mara kwa mara naweza kusema mama yangu haikuwahi kupita week bila ya kuumwa au kulazwa hospitali,hali iliyopelekea kuwa anatumia mara kwa mara dawa za valium na hata wakati mwengine kuwa anajichoma mwenyewe sindano za valium ili apunguze maumivu apate usingizi,ilikuwa ni usiku wa saa 8 usiku nimelala na bimkubwa naskia anaugulia maumivu makali mno ya mifupa,nikaanza kutafuta dawa hakuna sindano wala vidonge na nyumba tulikuwa mimi na yeye tu wakati huo simu ni anasa na usafiri huu wa boda boda hakuna na gari ilikuwa saa 4 mwisho, basi kila akiugulia maumivu akili yangu inahangaika mwisho wa siku nikamchukua nikamuweka mgongoni kulikuwa kuna dispensari fulani hvi ipo kigoma ujiji na sisi wakati huo tunakaa bimala kwa wenyeji wa kigoma wanakujua ni umbali wa kama dakika 10 kwa gari,basi nikamuweka mama yangu mgongoni safari ikaanza wakati huo nina umri wa miaka 12 tu,tembea sana kila nikiskia anazidi kuugumia na mm ndo naongeza spidi,basi tukafika sehemu moja inaitwa shine cinema ni ukumbi fulani hivi walikuwa wanaonyesha movies na pembeni kuna shule ya msingi ujiji, baada ya kufika pale ile shule tuliona imegeuka treni watu wanashuka na kupanda wakati huo upande wa pili kwenye ule ukumbi kwa nje tukaona watu wengi mno wapo nje wanapiga kelele mno wanasherehekea wako uchi wa mnyama wanauza vichwa vya watu ulimi na viungo vingne vya binadamu na kulikuwa kunanuka damu kweli kweli cha ajabu ajabu kufika pale nikashikwa na bumbuwazi kiasi cha kanga kulegea bimkubwa akaanguka lakini kwa kusimama sasa alivyofungua macho kuona kilichopo mbele yetu nilishangaa tu amenibeba juu alitoka mbio za ajabu huku akiwa amenibeba mgongoni mpaka ujiji kwenye ile dispensary alivyofika tu akazimia pale pale nakumbuka alikuja kuzinduka siku ya tatu na mtu wa kwanza kuniita alivyoamka tu nilikuwa mimi alinikumbatia na kuanza kulia sana(kisha akanitamkia nimekusamehe leo na siku zote za maisha yako) kauli hii aliirudia akiwa anafariki ndani ya mikono yangu mwaka 2007 kwa kunambia(nakufa mwanangu nakupenda sana na nakufa nikiwa radhi nawe uishi maisha ya kumpendeza mungu na uwapenda nduguzo kama ulivyokuwa unanipenda mama yako)
R.I.P my beloved mom

Sent using Jamii Forums mobile app
Kiranga ukibisha na hapa una lako jambo, shule usiku inakuwa treni
 
Hakuna ulipoeleza sababu ya wewe kufikiri nayafanya maisha yangu kuwa magumu.

Nataka unieleze kwa nini unafikiri nayafanya maisha yangu kuwa magumu.

Ama sivyo, ukishindwa kunieleza hili, kubali hujui hata unachoandika mwenyewe ni nini.

Kuniambia nisome ulichiandika wakati ninesoma na sijaona ulipoelezea hiki si jibu.

Ni kukubali kwamba huna jibu.

Kwa msingi wako huu, kila mtu anapoulizwa swali ambalo hana jibu anaweza kujibu kirahisi tu, "soma nilivyoandika".

Umeandika nini?

Wewe mwenyewe unaweza kufafanua hayo uliyoandika?

Sent using Jamii Forums mobile app
Duh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ushauri wa bure digba,

huu ni Uzi wako punguza kutukana watu au kushadidia ugomvi wala komenti zisizokuhusu,elewa kwanza maudhui ndio ujibu.

watu wanasaidia njia za kumuepuka kiranga ili kutoharibu maudhui ya uzi ila wewe unakurupuka kuwakebehi badilika mkuu.

Mtu hata mwala haujaumaliza jf unaleta ujuaji,na unabishana na wakongwe,shame on you son of idiots

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe umerukwa na akili,na ni mgeni humu,ona hadi umeonekana mpuuzi kwa komenti za kukurupuka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wengine wote watakuelewa kasoro chizi mmoja mjinga mjinga kila comment anaiquote na kumtaja kiranga. Uzi mzuri ila unaharibiwa
Huu uzi umeanza kuwa mbaya baada ya watu kuhangaika na kiranga badala ya kutoa ushuhuda.
JINA LA UZI LINASEMA ALIYEWAHI KUSHUHUDIA USHIRIKINA, kiranga anadai hajawahi, basi muacheni msimlazimishe kuamini kitu ambacho hajawahi kushudia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ngoja tu nimalizie kisa changu kingine,but huwa nikimsikia mtu anasema uchawi hakuna namwangalia na kutikisa kichwa tu.
Nimezaliwa na mama ambae ni mgonjwa wa sicle cell hali iliyokuwa inamfanya mama yangu kuumwa mara kwa mara hasa mifupa na hata kuishiwa damu mara kwa mara naweza kusema mama yangu haikuwahi kupita week bila ya kuumwa au kulazwa hospitali,hali iliyopelekea kuwa anatumia mara kwa mara dawa za valium na hata wakati mwengine kuwa anajichoma mwenyewe sindano za valium ili apunguze maumivu apate usingizi,ilikuwa ni usiku wa saa 8 usiku nimelala na bimkubwa naskia anaugulia maumivu makali mno ya mifupa,nikaanza kutafuta dawa hakuna sindano wala vidonge na nyumba tulikuwa mimi na yeye tu wakati huo simu ni anasa na usafiri huu wa boda boda hakuna na gari ilikuwa saa 4 mwisho, basi kila akiugulia maumivu akili yangu inahangaika mwisho wa siku nikamchukua nikamuweka mgongoni kulikuwa kuna dispensari fulani hvi ipo kigoma ujiji na sisi wakati huo tunakaa bimala kwa wenyeji wa kigoma wanakujua ni umbali wa kama dakika 10 kwa gari,basi nikamuweka mama yangu mgongoni safari ikaanza wakati huo nina umri wa miaka 12 tu,tembea sana kila nikiskia anazidi kuugumia na mm ndo naongeza spidi,basi tukafika sehemu moja inaitwa shine cinema ni ukumbi fulani hivi walikuwa wanaonyesha movies na pembeni kuna shule ya msingi ujiji, baada ya kufika pale ile shule tuliona imegeuka treni watu wanashuka na kupanda wakati huo upande wa pili kwenye ule ukumbi kwa nje tukaona watu wengi mno wapo nje wanapiga kelele mno wanasherehekea wako uchi wa mnyama wanauza vichwa vya watu ulimi na viungo vingne vya binadamu na kulikuwa kunanuka damu kweli kweli cha ajabu ajabu kufika pale nikashikwa na bumbuwazi kiasi cha kanga kulegea bimkubwa akaanguka lakini kwa kusimama sasa alivyofungua macho kuona kilichopo mbele yetu nilishangaa tu amenibeba juu alitoka mbio za ajabu huku akiwa amenibeba mgongoni mpaka ujiji kwenye ile dispensary alivyofika tu akazimia pale pale nakumbuka alikuja kuzinduka siku ya tatu na mtu wa kwanza kuniita alivyoamka tu nilikuwa mimi alinikumbatia na kuanza kulia sana(kisha akanitamkia nimekusamehe leo na siku zote za maisha yako) kauli hii aliirudia akiwa anafariki ndani ya mikono yangu mwaka 2007 kwa kunambia(nakufa mwanangu nakupenda sana na nakufa nikiwa radhi nawe uishi maisha ya kumpendeza mungu na uwapenda nduguzo kama ulivyokuwa unanipenda mama yako)
R.I.P my beloved mom

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole ndg

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ngoja tu nimalizie kisa changu kingine,but huwa nikimsikia mtu anasema uchawi hakuna namwangalia na kutikisa kichwa tu.
Nimezaliwa na mama ambae ni mgonjwa wa sicle cell hali iliyokuwa inamfanya mama yangu kuumwa mara kwa mara hasa mifupa na hata kuishiwa damu mara kwa mara naweza kusema mama yangu haikuwahi kupita week bila ya kuumwa au kulazwa hospitali,hali iliyopelekea kuwa anatumia mara kwa mara dawa za valium na hata wakati mwengine kuwa anajichoma mwenyewe sindano za valium ili apunguze maumivu apate usingizi,ilikuwa ni usiku wa saa 8 usiku nimelala na bimkubwa naskia anaugulia maumivu makali mno ya mifupa,nikaanza kutafuta dawa hakuna sindano wala vidonge na nyumba tulikuwa mimi na yeye tu wakati huo simu ni anasa na usafiri huu wa boda boda hakuna na gari ilikuwa saa 4 mwisho, basi kila akiugulia maumivu akili yangu inahangaika mwisho wa siku nikamchukua nikamuweka mgongoni kulikuwa kuna dispensari fulani hvi ipo kigoma ujiji na sisi wakati huo tunakaa bimala kwa wenyeji wa kigoma wanakujua ni umbali wa kama dakika 10 kwa gari,basi nikamuweka mama yangu mgongoni safari ikaanza wakati huo nina umri wa miaka 12 tu,tembea sana kila nikiskia anazidi kuugumia na mm ndo naongeza spidi,basi tukafika sehemu moja inaitwa shine cinema ni ukumbi fulani hivi walikuwa wanaonyesha movies na pembeni kuna shule ya msingi ujiji, baada ya kufika pale ile shule tuliona imegeuka treni watu wanashuka na kupanda wakati huo upande wa pili kwenye ule ukumbi kwa nje tukaona watu wengi mno wapo nje wanapiga kelele mno wanasherehekea wako uchi wa mnyama wanauza vichwa vya watu ulimi na viungo vingne vya binadamu na kulikuwa kunanuka damu kweli kweli cha ajabu ajabu kufika pale nikashikwa na bumbuwazi kiasi cha kanga kulegea bimkubwa akaanguka lakini kwa kusimama sasa alivyofungua macho kuona kilichopo mbele yetu nilishangaa tu amenibeba juu alitoka mbio za ajabu huku akiwa amenibeba mgongoni mpaka ujiji kwenye ile dispensary alivyofika tu akazimia pale pale nakumbuka alikuja kuzinduka siku ya tatu na mtu wa kwanza kuniita alivyoamka tu nilikuwa mimi alinikumbatia na kuanza kulia sana(kisha akanitamkia nimekusamehe leo na siku zote za maisha yako) kauli hii aliirudia akiwa anafariki ndani ya mikono yangu mwaka 2007 kwa kunambia(nakufa mwanangu nakupenda sana na nakufa nikiwa radhi nawe uishi maisha ya kumpendeza mungu na uwapenda nduguzo kama ulivyokuwa unanipenda mama yako)
R.I.P my beloved mom

Sent using Jamii Forums mobile app
Duh mkuu inafurahisha kwamaneno hayo uliyotamkiwa namama, pia inasikitisha pia rip mama zetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom