Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,312
- 105,656
Kwa nini unafikiri nayafanya maisha yangu kuwa magumu?Kiranga acha Kuyafanya maisha yako yakawa magumu humu Jf kwa kuwa na mitazamo ya aina hiyo kuhusu hoja zako watu wengine humu JF.
Najua watu hatufanani uwezo wa kufikiria sababu ya vitu vingi kama elimu, mazingira tuliyokulia , lishe n.k
Kama kitu haukijui au hauamini kama kipo basi anzisha uzi, watu watakuja na kukusaidia kukijua na ukiona bado haujaelewa na hauamini hilo jambo basi acha ili watu wanaojua au wanaamini hilo jambo waendelee na Imani zao.
Nimeandika hivyo sababu hoja zako zinakejeli, dhihaka , dharau n.k kuhusu hoja za watu wengine hasa hoja unazoona zipo tofauti na unachoamini wewe na kufikiria,
unatakiwa ujue kwamba duniani watu wote hatuwezi kuwa Sawa kwa kila kitu hivyo mada ambayo haikuhusu achana nayo ili maisha ya watu wengine yaendelee
Sent using Jamii Forums mobile app