Blackcornshman
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 6,083
- 13,959
Usiwe na wasiwasi kuhusu watuhumiwa wa ugaidi kuwa free, wamelegezwa hata ukiwauliza majina yao sasa hivi watakwambia mimi naitwa Mgonja au Mushi. Wamepata elimu ya Utanzania na hawana hamu na kuaribu sifa za dini tukufu tena. Kwa kifupi wamenyooka kama rula.