Kama tumefikia hatua ya kuachia watuhumiwa kwa sababu za kisiasa, Taifa letu linaelekea pabaya sana

Ni wazi kuwa ofisi ya Dpp inatumika kisiasa na haifanyi kazi zake kwa weledi.

Kama watuhumiwa wa makosa ya kijinai wanaachiwa ili kufurahisha umma ni jambo baya sana kwa muktadha wa taifa letu.

Watuhumiwa wa ugaidi walikabiliwa na makosa mabaya sana. Mbaya zaidi waziri wa mambo ya ndani wakati huo Emmanuel Nchimbi alipointi wazi kuwa walihusika na umwagiaji watu tindikali huko Zanzibar.

Mimi binafsi nina hakika kuwa Emmanuel Nchimbi alikuwa na info za kutosha na za ukweli.

Ok achana na watuhumiwa wa ugaidi, kuna wapigaji na wabadhirifu nao wanaachiwa ili kufurahisha umma.

Hii ni hatua mbaya sana kwa taifa letu. Na haifai maana ni kama kukubaliana na kuunga mkono uhalifu

Zaidi, soma mijadala hii:

1) Uamsho wakana kuhusika na vurugu za Zanzibar

2) CCM yataka Uamsho Zanzibar ifutwe; Yataka Waziri wa Sheria ajiuzulu

3) Mahojiano Ya Mwandishi Jackton Manyerere Na Wana- Uamsho Zanzibar
Vp kama walifungwa kisiasa? Unayakumbuka ya Jiwe na Babu seya?
 
Ni wazi kuwa ofisi ya Dpp inatumika kisiasa na haifanyi kazi zake kwa weledi.

Kama watuhumiwa wa makosa ya kijinai wanaachiwa ili kufurahisha umma ni jambo baya sana kwa muktadha wa taifa letu.

Watuhumiwa wa ugaidi walikabiliwa na makosa mabaya sana. Mbaya zaidi waziri wa mambo ya ndani wakati huo Emmanuel Nchimbi alipointi wazi kuwa walihusika na umwagiaji watu tindikali huko Zanzibar.

Mimi binafsi nina hakika kuwa Emmanuel Nchimbi alikuwa na info za kutosha na za ukweli.

Ok achana na watuhumiwa wa ugaidi, kuna wapigaji na wabadhirifu nao wanaachiwa ili kufurahisha umma.

Hii ni hatua mbaya sana kwa taifa letu. Na haifai maana ni kama kukubaliana na kuunga mkono uhalifu

Zaidi, soma mijadala hii:

1) Uamsho wakana kuhusika na vurugu za Zanzibar

2) CCM yataka Uamsho Zanzibar ifutwe; Yataka Waziri wa Sheria ajiuzulu

3) Mahojiano Ya Mwandishi Jackton Manyerere Na Wana- Uamsho Zanzibar
ni kweli kabisa mkuu
 
Dpp anaachia matapeli tu,

Yaani hata watoto wadogo wanafahamu kuwa jamaa ni matapeli Ila ndio wanaoachiwa.

Hii nchi ukiwa muungwana unapoteza muda Bure Bora kuwa mwizi utalindwa na mamlaka.
 
Ni wazi kuwa ofisi ya Dpp inatumika kisiasa na haifanyi kazi zake kwa weledi.

Kama watuhumiwa wa makosa ya kijinai wanaachiwa ili kufurahisha umma ni jambo baya sana kwa muktadha wa taifa letu.

Watuhumiwa wa ugaidi walikabiliwa na makosa mabaya sana. Mbaya zaidi waziri wa mambo ya ndani wakati huo Emmanuel Nchimbi alipointi wazi kuwa walihusika na umwagiaji watu tindikali huko Zanzibar.

Mimi binafsi nina hakika kuwa Emmanuel Nchimbi alikuwa na info za kutosha na za ukweli.

Ok achana na watuhumiwa wa ugaidi, kuna wapigaji na wabadhirifu nao wanaachiwa ili kufurahisha umma.

Hii ni hatua mbaya sana kwa taifa letu. Na haifai maana ni kama kukubaliana na kuunga mkono uhalifu

Zaidi, soma mijadala hii:

1) Uamsho wakana kuhusika na vurugu za Zanzibar

2) CCM yataka Uamsho Zanzibar ifutwe; Yataka Waziri wa Sheria ajiuzulu

3) Mahojiano Ya Mwandishi Jackton Manyerere Na Wana- Uamsho Zanzibar
Bashite na meko ndo sababu
 
Mtuhumiwa mahabusu ana haki na anapswa kwa na heshima nyingi zaidi kuliko mfungwa kama babu Seya.
Hoja sio wao kwenda ikulu bali ni walikuwa wafungwa tofauti na hawa mahabusu. Hilo la kwenda ikulu ni ishu nyingine
 
Ni wazi kuwa ofisi ya Dpp inatumika kisiasa na haifanyi kazi zake kwa weledi.

Kama watuhumiwa wa makosa ya kijinai wanaachiwa ili kufurahisha umma ni jambo baya sana kwa muktadha wa taifa letu.

Watuhumiwa wa ugaidi walikabiliwa na makosa mabaya sana. Mbaya zaidi waziri wa mambo ya ndani wakati huo Emmanuel Nchimbi alipointi wazi kuwa walihusika na umwagiaji watu tindikali huko Zanzibar.

Mimi binafsi nina hakika kuwa Emmanuel Nchimbi alikuwa na info za kutosha na za ukweli.

Ok achana na watuhumiwa wa ugaidi, kuna wapigaji na wabadhirifu nao wanaachiwa ili kufurahisha umma.

Hii ni hatua mbaya sana kwa taifa letu. Na haifai maana ni kama kukubaliana na kuunga mkono uhalifu

Zaidi, soma mijadala hii:

1) Uamsho wakana kuhusika na vurugu za Zanzibar

2) CCM yataka Uamsho Zanzibar ifutwe; Yataka Waziri wa Sheria ajiuzulu

3) Mahojiano Ya Mwandishi Jackton Manyerere Na Wana- Uamsho Zanz
Mfumo wa sheria za makosa ya jinai Tanzania ni kandamizi. Umerithiwa kutoka Sheria za kikoloni Kama zilivyoainishwa kwenye ripoti ya Tume ya Jaji Nyalali ya Sheria 40 mbaya zinaopaswa kufutwa.

Sheria hizi na zinazofanana nazo zinaipa nguvu serikali kuwafunga watu kizuizini bila mashitaka, au kuwaweka mahabusu kwa muda mrefu kwa kisingizio cha "uchunguzi unaendelea".

Katib pia inampa mtu haki ya kujitetea mahakamani.

Kwenye sheria kuna msemo " justice delayed is justice denied".

Unapomfunga mtu mahabusu miaka sita au zaidi, bila kukamilisha uchunguzi wala kumpa nafasi ya kujitetea, umemuondolea uhuru wake kwa miaka sita kabla hata hujamuhukumu kwenye kesi.

Hicho tayari ni kifungo cha miaka sita kabla hata ya hukumu.

Kama hujamaliza uchunguzi usipeleke kesi Mahakamani
 
Mfumo wa sheria za makosa ya jinai Tanzania ni kandamizi. Umerithiwa kutoka Sheria za kikoloni Kama zilivyoainishwa kwenye ripoti ya Tume ya Jaji Nyalali ya Sheria 40 mbaya zinaopaswa kufutwa.

Sheria hizi na zinazofanana nazo zinaipa nguvu serikali kuwafunga watu kizuizini bila mashitaka, au kuwaweka mahabusu kwa muda mrefu kwa kisingizio cha "uchunguzi unaendelea".

Katib pia inampa mtu haki ya kujitetea mahakamani.

Kwenye sheria kuna msemo " justice delayed is justice denied".

Unapomfunga mtu mahabusu miaka sita au zaidi, bila kukamilisha uchunguzi wala kumpa nafasi ya kujitetea, umemuondolea uhuru wake kwa miaka sita kabla hata hujamuhukumu kwenye kesi.

Hicho tayari ni kifungo cha miaka sita kabla hata ya hukumu.

Kama hujamaliza uchunguzi usipeleke kesi Mahakamani
Sheria zote ambazo hamzipendi mwambieni Rais wenu azibadili kwa ''jina la Jamhuri ya Tanzania''.
 
Dpp anaachia matapeli tu,

Yaani hata watoto wadogo wanafahamu kuwa jamaa ni matapeli Ila ndio wanaoachiwa.

Hii nchi ukiwa muungwana unapoteza muda Bure Bora kuwa mwizi utalindwa na mamlaka.
Hata babu seya alikuwa tapeli....
 
Back
Top Bottom