Huu ni uzwazwa, yani uendemahakamani kudai nyongeza ya mshahara, kwani kama mshahara ni mdogo sinikuachana na hiyo kazituu, hizo pesa utakazo tumia mahakamani unaonaje ukajiongezea kwenye msha hara wako alafu kufanya kazi niutumwa pambanane mje huku kitaa mjifunze wenzenu wanaishije bila kazi, huu ujinga huu wa kuombaomba mishahara kila siku ndio unaowafanya mfe masikini.Kwanza kabisa watanzania wanatakiwa kutambua kuwa kila mtanzania anayo haki ya kupata mshahara unaostahili kukidhi mahitaji ya msingi. Ibara ya 23(2) imetamka wazi kuwa watanzania wanaofanya kazi wanatakiwa wapate just remuneration. Hivyo kupata mshahara unaostahili ni takwa la kikatiba na ni haki ya msingi.
Inapotokea mkuu wa nchi haongezi mshahara watumishi wa umma au sekta binafsi kwa muda wa miaka sita hili ni tatizo kubwa. Mbaya zaidi ni sababu zinazokuwa zinatolewa kuwa ni kuwekeza kwanza kwenye maendeleo ya taifa ili baadae wafanyakazi waongezwe mishahara.
Mbaya zaidi wakati mnajikita kuwekeza kwenye maendeleo gharama za maisha pia zinapanda juu hivyo ni wazi kuwa hata kama taifa linajenga miundo mbinu, shule na mahospital kwa miaka sita gharama za maisha pia zitakuwa zimepanda juu, maana miaka sita sio haba.
Achana na kujikita katika kuwekeza kwenye maendeleo. Mkuu wa nchi anaposema kuwa hawezi kuongeza mshahara sababu ya ugonjwa ambao haijulikani lini utaisha hili nalo ni tatizo. Kama Covid 19 ndio sababu ya kushusha uchumi na pato la taifa letu. Tunafahamu lini huu ugonjwa utaisha ili uchumi wetu upande na kupandisha mishahara?
Hivyo ni wazi kuwa kama Katiba ya JMT inatamka kuwa wafanyakazi wanatakiwa kulipwa mshahara unaokidhi mahitaji yao, basi serikali hainabudi kuwaongeza. Maana sababu zinazotolewa kutoongeza mishahara hazina mashiko. Gharama za maisha zimepanda na katiba inapaswa kuzingatiwa.
Hivyo kama ikitokea kuna namna serikali inakuwa inatoa sababu hazina mashiko juu ya kuongeza mishahara watumishi wafanyakazi wawe wanaenda mahakamani kudai haki hiyo ya kikatiba.
Hujaelewa ndio maana unapanik.Kwa wafanyakazi wa Serikalini tu?
Ana watu wanafuatilia kama kina heshimika?Mkuu kwani rais akitangaza nyongeza kima cha chini huwa anabagua sekta binafsi?
Wao wanalipana tu wanagyotaka lakini kupigania wafanyakazi hakuna hii kitu ufisadi hautaisha nchi hii.Kwanza kabisa watanzania wanatakiwa kutambua kuwa kila mtanzania anayo haki ya kupata mshahara unaostahili kukidhi mahitaji ya msingi. Ibara ya 23(2) imetamka wazi kuwa watanzania wanaofanya kazi wanatakiwa wapate just remuneration. Hivyo kupata mshahara unaostahili ni takwa la kikatiba na ni haki ya msingi.
Inapotokea mkuu wa nchi haongezi mshahara watumishi wa umma au sekta binafsi kwa muda wa miaka sita hili ni tatizo kubwa. Mbaya zaidi ni sababu zinazokuwa zinatolewa kuwa ni kuwekeza kwanza kwenye maendeleo ya taifa ili baadae wafanyakazi waongezwe mishahara.
Mbaya zaidi wakati mnajikita kuwekeza kwenye maendeleo gharama za maisha pia zinapanda juu hivyo ni wazi kuwa hata kama taifa linajenga miundo mbinu, shule na mahospital kwa miaka sita gharama za maisha pia zitakuwa zimepanda juu, maana miaka sita sio haba.
Achana na kujikita katika kuwekeza kwenye maendeleo. Mkuu wa nchi anaposema kuwa hawezi kuongeza mshahara sababu ya ugonjwa ambao haijulikani lini utaisha hili nalo ni tatizo. Kama Covid 19 ndio sababu ya kushusha uchumi na pato la taifa letu. Tunafahamu lini huu ugonjwa utaisha ili uchumi wetu upande na kupandisha mishahara?
Hivyo ni wazi kuwa kama Katiba ya JMT inatamka kuwa wafanyakazi wanatakiwa kulipwa mshahara unaokidhi mahitaji yao, basi serikali hainabudi kuwaongeza. Maana sababu zinazotolewa kutoongeza mishahara hazina mashiko. Gharama za maisha zimepanda na katiba inapaswa kuzingatiwa.
Hivyo kama ikitokea kuna namna serikali inakuwa inatoa sababu hazina mashiko juu ya kuongeza mishahara watumishi wafanyakazi wawe wanaenda mahakamani kudai haki hiyo ya kikatiba.
Hapana sijapanik mkuu hata kidogo tena na type huku natabasamu.Hujaelewa ndio maana unapanik.
Wewe mburula acha upuuzi. Unapingana na katiba ya JMT?Huu ni uzwazwa, yani uendemahakamani kudai nyongeza ya mshahara, kwani kama mshahara ni mdogo sinikuachana na hiyo kazituu, hizo pesa utakazo tumia mahakamani unaonaje ukajiongezea kwenye msha hara wako alafu kufanya kazi niutumwa pambanane mje huku kitaa mjifunze wenzenu wanaishije bila kazi, huu ujinga huu wa kuombaomba mishahara kila siku ndio unaowafanya mfe masikini.
Na pengine labda wewe utakuwa labda umesoma lakini bado akiliyako haikusaidii kupambana na changamoto za maisha unaona soution ni kazitu.
Peleka ujinga wako hukoMkuu umekurupuka toka wapi?
Ifikie kipindi tuwe tunawapeleka mahakamani kutimiza wajibu wao.Wao wanalipana tu wanagyotaka lakini kupigania wafanyakazi hakuna hii kitu ufisadi hautaisha nchi hii.
Acha utoto dogo. Kupata mshahara unaostahili ni haki ya kikatiba. Jiwe aliahidi ataongeza baada ya kukamilisha kazi zake. Sasa nyingi zimekamilika tatizo lipo wapi?Peleka ujinga wako huko
Kwa nini hukwenda kudai mwaka jana??
Pumbavu mkubwa wewe au ulikua unamuogopa jiwe
Tutamlinda mama kwa nguvu zote
Hakuna kuongeza mshahara kama hutaki acha kazi kafanye vitu vingine
Wanafiki wakubwa nyie
Haya.Hoja hapa ni kuongeza mishahara kwa mujibu wa katiba ya JMT. Hivyo iwe ni mshahara mdogo au mkubwa lakini lazima uwe just renumeration. Hakuna nchi isiyokuwa na sekta ya umma au binafsi. Kama ndio hivyo hata huko Usa watu wote wangefanya kazi sekta binafsi.
Ibara ya 23(2) ya katiba ya JMT.Haya.
Tujadili kwa vifungu vya katiba, ili kama kuna cha kujifunza tujifunze.
Kifungu gani cha katiba kinacholazimisha mishahara iongezwe?
Bila kuwa wanapelekwa mahakamani watakuwa wanatoa sababu za uongo. Mwaka jana walitangaza wanakusanya tril 2. Leo hii mama anasema uchumi upo vibaya. Hii sio haki.Serikali ilipunguza watumishi kibao na hao waliobaki hawawezi kuwapa stahiki zao, wengine wanastaafu kazi hakuna replacement hadi watumishi wanazidiwa majukumu na kutegemea zaidi wale wanaofanya kazi kwa kujitolea kuokoa jahazi.......kuweni serious basi, mbona pesa ya kuwalipa wanasiasa ipo nyingi tu......
Kwanza kabisa watanzania wanatakiwa kutambua kuwa kila mtanzania anayo haki ya kupata mshahara unaostahili kukidhi mahitaji ya msingi. Ibara ya 23(2) imetamka wazi kuwa watanzania wanaofanya kazi wanatakiwa wapate just remuneration. Hivyo kupata mshahara unaostahili ni takwa la kikatiba na ni haki ya msingi.
Inapotokea mkuu wa nchi haongezi mshahara watumishi wa umma au sekta binafsi kwa muda wa miaka sita hili ni tatizo kubwa. Mbaya zaidi ni sababu zinazokuwa zinatolewa kuwa ni kuwekeza kwanza kwenye maendeleo ya taifa ili baadae wafanyakazi waongezwe mishahara.
Mbaya zaidi wakati mnajikita kuwekeza kwenye maendeleo gharama za maisha pia zinapanda juu hivyo ni wazi kuwa hata kama taifa linajenga miundo mbinu, shule na mahospital kwa miaka sita gharama za maisha pia zitakuwa zimepanda juu, maana miaka sita sio haba.
Achana na kujikita katika kuwekeza kwenye maendeleo. Mkuu wa nchi anaposema kuwa hawezi kuongeza mshahara sababu ya ugonjwa ambao haijulikani lini utaisha hili nalo ni tatizo. Kama Covid 19 ndio sababu ya kushusha uchumi na pato la taifa letu. Tunafahamu lini huu ugonjwa utaisha ili uchumi wetu upande na kupandisha mishahara?
Hivyo ni wazi kuwa kama Katiba ya JMT inatamka kuwa wafanyakazi wanatakiwa kulipwa mshahara unaokidhi mahitaji yao, basi serikali hainabudi kuwaongeza. Maana sababu zinazotolewa kutoongeza mishahara hazina mashiko. Gharama za maisha zimepanda na katiba inapaswa kuzingatiwa.
Hivyo kama ikitokea kuna namna serikali inakuwa inatoa sababu hazina mashiko juu ya kuongeza mishahara watumishi wafanyakazi wawe wanaenda mahakamani kudai haki hiyo ya kikatiba.
Kwa hiyo sasa hivi tusubiri mpaka 2025? Hapana, mahakama zipo ili kutoa haki.Ishu sio mahakama kuu muhimu ni kutokosea kuchagua
23 (2) inaongelea right to work and just renumeration. Hijataja mishahara.Ibara ya 23(2) ya katiba ya JMT.
Mkuu unapotoka sana. Katiba ipo wazi kuwa wananchi wapo entitled to just renumeration. Maana yake ni kuwa wapate mshahara unaokidhi mahitaji yao kulingana na kazi wanazofanya. Hakuna mahala katiba inadai kuwa mshahara ukiwa mdogo uache kazi.23 (2) inaongelea right to work and just renumenration.
Just renumeration ni very subjective concept.
Serikali ikikupangia mshahara mdogo kuliko wewe unaouona ni just renumeration, kama haijakulazimisha kufanya kazi serikalini, bado haijakunyima your right to just renumeration.
Kwa sababu bado una haki ya kuacha kazi na kwenda kufanya kazi sehemu nyingine unayoona itakupa just renumeration.
Ungeweza kuwa na point kama ungesema serikali inakulazimisha ufanye kazi serikalini kwa mshahara mdogo.
Tatizo lako ndio hilo, tokea upate hasara kutokana na uchaguzi, umekengeuka. Nataka kukuhakikishia mahakama ni chombo huru na kama watanzania wakitulia wanapata haki zao.Hakuna serikali yoyote ya majizi ya kura inayoogopa mahakama. Serikali za majizi ya kura huogopa nguvu ya umma tu na sio hizo mahakama kibogoyo. Ww huna jipya maana ndio mlikuwa mnamsujudia yule ibilisi, saa hii kashusha uchumi ndio mnajifanya mnaona tatizo na kutoa mapendekezo. Kaa kimya kama ulivyokaa kipindi cha shetani.
Tunataka tulipwe vizuri ili tutoe huduma nzuri ili watu Kama nyie muache kulalamika huduma mbovu serikaliniWafanyakazi wa serikalini mnapenda sana kulialia,wenzenu wa binafsi hawajui mambo hayo mnayodai na wanaishi.Hawana mikopo wala nyongeza wanaishi tu na wamejipanga vizuri hadi ni wenye nyumba wenu.Nyie mnafeli wapi?