Haaaaa Haaaaa 😂, anaona atatobokaVipi hutaki kutoboa?
Sikusimulii mkuu mimi niko sokoni, ni dhahabu inatafutwa hiyo
😀😀😀 Wanasema woga wako ndio umasikini wakoHaaaaa Haaaaa 😂, anaona atatoboka
Bidhaa unaweza toa Mwanza, Morogoro au Dar kuleta Dodoma, faida ya kila box baada ya usafiri ni 6000 kwa carton kama uko tayari nipigie nikupe maisha utanishukuru na utanifikiria cha kunipa kama shukurani baada ya shukurani..
Nipigie simu 0621604087
IKO HIVI
Kama una hela nenda Dar chukua Bannister glycerine 50mil kulingana na uwezo wako leta Dodoma, kwa Dar inapatikana kwa 83000 mpaka 83500 usafiri kutoka dar mpaka dodoma kwa carton ni 1000 jumla 84000 mpaka inafika hapa, kwa hapa inauzwa 90000 kwa carton ukileta hata 200 zinaisha ndani ya siku mbili mzigo umeisha mimi ni Salesman niko sokoni nakupa deal ya uhakika. Ukihitaji usaidizi wa chochote ukishafisha mzigo wako unaweza nitafuta. Ahsanteni mapambano mema katika kutafuta ugali
Kakope ufanye hiyo biashara tapeli hanithi wewe
Anaulizwa box za nini anakuwa mkali
Hiyo ni overrall ila unaweza hata kuagiza carton 10x84.000=840.000Kwa kifupi mtoa mada ameharibu kupumbaza watu kwa neno faida ya laki sita kwa siku lakini kiuhalisia ni hivi 84000X200=16800000
Yaani kumaanisha una invest milioni 16 na laki 8 kwa kupata faida ya 1200000(milioni na laki mbili)
Bado hapo mauza mauza hayajatokea!kwa kifupi hamna pesa yeyote humu zaidi yakutoa sadaka mtaji wako!
Dunia ina mengi mtu anaweza kuwa anauza hiyo bidhaa Sasa anatengeneza demand ili auze,ukinunua ghafla solo hakunaWhen the deal is too good, think twice.
Mkuu naamini unachokiongea hizi fulsa zipo na watu wengi hawazielew. Mtaji wake ungekuwa affordable ningechangamkia mapema.Sikusimulii mkuu mimi niko sokoni, ni dhahabu inatafutwa hiyo
Hii bidhaa inapatikana wapi na n kwa ajili gani ( matumiz )Mkuu naamini unachokiongea hizi fulsa zipo na watu wengi hawazielew. Mtaji wake ungekuwa affordable ningechangamkia mapema.
Sent from my SM-J810F using JamiiForums mobile app
Glycerin nnayuijua mm ni kama dry lotion kwaajili ya ngozi kuhusu swala la kupatikana naamini unaweza kuipata kariakoo maduka ya jumla yapo opposite na kituo cha mwendokasi gerezani ukikosa hapo ingia mt. Wa kongoHii bidhaa inapatikana wapi na n kwa ajili gani ( matumiz )