Kama ni kweli na ushahidi upo....

Kama ni kweli na ushahidi upo....

mbona una kiherehere ,bashite hachomoki ,subiri kesi ya kikatiba ikianza cross examination ndo atabanwa mbele ya hon judge and ruling itaweka precedent kwenye law report kuwa kuchakachua vyeti ni criminal offence,
Cross examination ni kesi? Na kwani haijulikani kuwa forgery ni kosa la jinai?
 
Mkuu Nyani Ngabu,mfumo wa kisheria wa nchi yetu ya Tanzania hauruhusu mtu binafsi kumfungulia mwingine,na kuendesha kesi mahakamani,kesi ya jinai. Kinachotakiwa ni kwa mtu mwenye ushahidi dhidi ya jinai ya mwingine kuuwasilisha ushahidi huo kwa mamlaka zinazohusika,mfano polisi au TAKUKURU,ili hatua stahiki zichukukiwe. Mamlaka hizo na nyinginezo,kama Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka ndizo zitakazomshtaki mhusika. Ndiyo kusema,wenye kuamua kushtaki au la ni watawala waliopo kwenye mamlaka hizo iwe ushahidi umekabidhiwa au ule walionao wenyewe.
Sasa aliyejitangaza ana ushahidi ofisini kwanini asiupeleke?
 
Hili swala la Makonda mbona limekuwa complicated-in this day and age it should not be happening-could it be analindwa na the master-why don't he just come out and cleanse himself of the dirt
Hana shida hiyo sab hizo ni sawa na kelele za chura.
 
Wakwetu, mpaka sasa mlalamikaji hajulikani ni nani. Inawezekana hawampeleki mahakamani kwa vile hakuna anayefaidika au watu wanasubiri waone action za Mkuu kwa vile toka aingie alitangaza kuwashughulikia wenye vyeti fake!!

Anyway, kuna mahali nimeuliza, hivi kweli hakuna mwanachama wa JF kutoka Koromije?

Hivi kweli hakuna vijana waliosoma naye Pamba Secondary ambao ni wanachama wa JF!!?

Bahati nzuri Gwajima wanatoka kijiji kimoja ila hawakuwa wanafahamiana. Sasa tusubiri huo ushahidi wa Gwajima tuone kama ni kweli ............ tatizo hakutoa time frame ya lini atautoa kama hataombwa msamaha au kama Mh. hatawajibishwa!!
Sasa hapa nani alaumiwe kati ya aliyekalia ushahidi ofisini akingoja kuombwa msamaha au anayejiamini kuwa ana vyeti sahihi?
 
Kwa mtu ambaye hataki kupaka tope tumbua lake la kisiasa lazima angefuata ushauri wangu

Ila kama angekuwa ni Manji anaulizwa vyeti, Angekuwa Hajavileta?

So kimya kingi humaanisha vingi mubashara

Msitutoe kwenye reli

Analipwa kodi zetu

aonyeshe vyeti

Mbona Simple!
Amuonyeshe nani? Ili iweje? Kwanini mwenye ushahidi haupeleki mahakamani?
 
FB_IMG_1488265190033.jpg
 
Hahaaa...nipo huku Ikungulyabashashi kaka.

Nasikia tu hadi wachungaji wanasema eti Paul Makonda si jina lake bali jina lake ni Daudi Bashite na ushahidi wanao lakini hawatuonyeshi huo ushahidi.

I wonder why!

Things that make you go hmm....
Trump hajafika kwako ??
 
Tujikumbushe namna ya habari za upotoshwji zinavyo shughilikiwa katika serikali yetu. Je unakumbuka Jerry Muro alipo zushiwa kuwa mteule wa Sizonge Mara moja Habari hiyo ilikanushwa Vikali na mamlaka husika. Lakini lilipo zushiwa la kutenguliwa kwa Mrisho Gambo Je? mamlaka zilikaa kimya Bila kukanusha habari hiyo.Kama habari za uongo hukanushwa, na habari ya makonda kutumia cheti kisicho chake ni habari ya uongo kwanini haikanushwi?
 
Ahahahaaa....kwa hiyo kumbe huyo Gwajima naye hakuuonyesha huo ushahidi anaodai anao.

Hivyo hatuwezi hata kujua kama kwamba [1] anao kweli na [2] ni ushahidi unaotosha na kuridhisha.

Hivyo hata yeye anaweza akawa anazusha tu ili kupoteza kabisa lengo na kuzua mparaganyiko tu.
Huo ndio ukweli anajibu mapigo ya kutajwa
 
Kakutuma Bashite na Magufuli ugeuze kibao tukuulize Magufuli alipomtumbua Kabwe alituonyesha ushahidi wanalo hilo na watu wanavielelezo kibao wanangoja makonda aseme sitaki kuchafuliwa vyeti vayangu hivi tngu kuzaliwa hadi leo
Alimsimamisha uchunguzi ufanyike baada ya tuhuma zenye upotevu wa pesa za serikali.
 
Unajifanya hujui au na wewe umetumwa? Kipi ni rahisi kwake kuonyesha vyeti au kuzunguka kwa mashehe, wachungaji, maaskofu kutafuta relief? Sasa mshauri akimaliza viongozi wa dini wote aanza na waganga wa kienyeji, japo tunajua ameshaanza ila hata post! upepo huu ni mkali hauachi mtu!
 
Back
Top Bottom