Kama natoka na mumeo...

Ukisema single mothers unageneralize kuna wale wengine ambao by fate wanajikuta ni masigle parents/mothers but si kwa kupenda so si lazima awe na tabia kama za mamake.

Should we say the same to senior bachelors?

Mi nazungumzia single mothers nung'aembe type. Exclusion criteria yangu ni wajane na waliobakwa tu.
Kwa senior bachelors naona hai-apply kwa sababu hata ikitokea amepata watoto (au kasingiziwa na manung'aembe), bado hao watoto wataishi na mama zao, kwa hiyo watajifunza wajifunzacho huko kwa mama zao.
 


Mkuu Mtu B, na wale ambao wametengana na waume zao kwa sababu moja au nyingine, tuwaweke fungu gani? manake sidhani kama wataqualify kuwa manung'aembe....
 
Mwenzenu sijaolewa sasa nikaponee wapi? Na ninahitaji mapenzi kama nyie mnavyopata.

acha uharibifu katafute wakwoko shamba likishapata mlimaji tafuta lako mbona mashamba mengi tu kwanini ugombanie?
 
Mkuu Mtu B, na wale ambao wametengana na waume zao kwa sababu moja au nyingine, tuwaweke fungu gani? manake sidhani kama wataqualify kuwa manung'aembe....

Hao waliotengana ni kwamba walioana kwanza, kwa hiyo hata watoto wao walizaliwa kihalali katika ndoa au kwa sababu ya ndoa. Lakini watoto watakaozaa na mabwana wengine (bila ndoa) baada ya kutengana na ndoa za awali wataingia katika mkumbo huu huu wa kina Da Sophy.
 
And the message goes to..............................
 
 
Last edited by a moderator:

kwa hii mijineno uliyomwaga hapa, napata taswira ya jinsi ulivyo (staili zile za k'ndoni kama si za kupasha!! Napata picha pia jinsi gani huyo mwanaume mwenzetu ulivyomlimbwata hata asijue afanyalo ....

labda kwa ushauri tu kama ambavyo wengine wamekuambia, hapo mama hakuna penzi kabisa, muda ukifika atafunuliwa ndo utajua cha mwenzio si chako. Itakapofikia hivyo, tayari utakuwa ushapoteza muda wako pasipo sababu na uzee ushakuingia..mwili umekongoloka, huwezi tena kupata mtu mtulivu na mstaarabu..cv itakuwa imeharibika..muombe mungu akufunulie busara ya kujua kosa unalotenda..usihalalishe uovu wako kwa kutaka huruma za binadamu. Huna wako, tafuta si kila anaekutongoza basi unakubali tu hata kama ni mume wa mwenzio..na wenzio yawauma kama ambavyo ukisikia tena huyo uliyenae sasa anatenmbea na shosti wako mtaa wa pili...fikiria sana uamuzi wako kama kweli wafanya haya..si busara kwa wanamke mwenye heshima zake!!!.l
baraka za mungu zikakufunulie hiyo roho iliyopotea ukamjue yeye ili usitende dhambi hiyo tena!.




 
Duh Da Sophy mbona una makubwa...km huna basi mie nitakuwa wako...but naogopa miwaya tehee theeeeee
 
Kaka wewe jiheshimu na wewe.Kukaa kinondoni isiwe nongwa ya kupewa sifa chafuchafu.Sio wote wanakaa kinondoni hawafai(ni hali ya maisha tu imebana) Kuna watu wapo masaki au chuo kikuu na hawafai katika jamii.
 
Kaka wewe jiheshimu na wewe.Kukaa kinondoni isiwe nongwa ya kupewa sifa chafuchafu.Sio wote tunaokaa kinondoni hatufai(ni hali ya maisha tu imebana) Kuna watu wapo masaki au chuo kikuu na hawafai katika jamii.

Ahaaa kumbe!
Nikipata nauli ntakuja kinondoni.
 
it sound childsh,lack of manner and dsplin:thinking:
how can u tryn to make jstfcation on evil willike t?
dont u knw the pbm of havng affair of smbdys hsband?ingawa bibie atajua kitu?
u do so bcz u dnt hv hsbnd or unapenda kurukia wa wenzako au ninin?
sjaolewa kusema najihamki walaaaaaaaaaaaaa hata mume sina but wat i knw is nt gud morally even biblical n quraan doesnt allow it!!!!!!


nini hasa kikupelekee kutafuta jstfcatn za kudate na njemba za watu bibi wewe? loh.mbayaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!
pole lakin
 
Sawa kabisa: Mimi ndio walewale. Na wewe vipi, ndio hao hao?

hahahahahaa.Kumbe ni walewale(wanaodharau kinodnoni).Dont give me reasons to hate you.I dont want that cause I promise to luv you always no matter what.
 
hahahahahaa.Kumbe ni walewale(wanaodharau kinodnoni).Dont give me reasons to hate you.I dont want that cause I promise to luv you always no matter what.
Naishi kinondoni. I hate kinondoni!
 
Hahahahaaa.labda Dar yote imegeuka kuwa kama kinondoni.
Kunahaja ya KUTANGAZA NIA jimbo la Wazo.

Haya sasa turudi kwenye mada. Nataka kutoka na mke wa mtu, nifanyeje? Naomba ushauri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…