Kama natoka na mumeo...

Kama natoka na mumeo...

Si ndo hapo AU, imenibidi nijichunguze mara mbili mbili isije ikawa ninabishana na mke mwenza wa kiukwelii .... lucky me siyo.
unashtuka kutafuta shuka wakati KUMEKUCHA?halafu nyie wote ninavyowaona ni watu wazima, mnaonaje mmoja mwenye busara zaidi akakaa kimya kuepusha shari? hakuna asiejua kitu gani sahihi na ni kipi si sahihi wana JF wote tunajua juu ya hili. mnapojadili MUWA na SUKARI kipi kitamu mnatuacha hoi.Anyway ni mawazo yangu tu.
 
Hivi kama mimi natoka na mumeo lakini tumehakikisha hujui wala hatukuvunjii heshima, simchuni wala nini ni kwamba tunapendana ni vile dini ya kikristo hairuhusu wake 2 sasa wewe unamchunguza wa nini?

Itakuwaje umehakikisha kuwa unaemuibia hajui ilhali anamchunguza mumewe??... Ukitaka kujua huyo mume wa mtu anakupenda mwambie amwache mkewe na akuoe wewe kama atathubutu,vinginevyo mnapunguziana mihemko tu..!!
Eniwei, kama unavyoona huyo jamaa hakuumbwa kwa ajili ya mkewe pekee na pia siyo kwa ajili yako tu!..
 
sawa baba no assumptions....

atoke na wakutoka naye akitoka na wangu nikajua yeye ndo anakamua ile cream/top layer afu mi naletewa makombo hayana nguvu.................hapatatosha!!!!!

Na sikufichi namkamua kisawasawa. Yaani ni makamuzi ya kiukweli. Sigusi pesa yake, mie langu penzi tu. Yaani huyo mkewe angejua mumewe anamsemaga nini kwangu wakati ninapompa wallahi angewehuka, acha tu asijue. Na tumekubaliana kutunziana heshima, kwa hiyo suala la kujulikana ni hakuna. Kama ni wewe dada bht uwe na amani tu dear, hutojua kamwe.
 
unashtuka kutafuta shuka wakati KUMEKUCHA?halafu nyie wote ninavyowaona ni watu wazima, mnaonaje mmoja mwenye busara zaidi akakaa kimya kuepusha shari? hakuna asiejua kitu gani sahihi na ni kipi si sahihi wana JF wote tunajua juu ya hili. mnapojadili MUWA na SUKARI kipi kitamu mnatuacha hoi.Anyway ni mawazo yangu tu.
Tall ninavyoelewa jamvi hili hakuna uhalisia kabisa so hapa mie najibishana na huyu kama mchangia hoja tu wala si vinginevyo so pamoja na mawazo yako mazuri usiwe na shaka am not taking it personnaly couse there is nothing to take !! Relax
 
kweli kabisa mwaya dada sophia bora upendwe na akupendaye kama wewe ulivyopendwa na mtu aliyempenda mwingine hadi kumuoa na kumthaminisha. Anakupenda kweli mwambie akuoe!! Mapenzi ni sacrifice huyo jamaa aende akatoe ushuhuda kanisani kwa mchungaji wake kuwa ametenda dhambi ya kumuoa mke ambaye hakumpenda ila sasa amekupata bi sophia anayekupenda kwa dhati. Sasa analiomba kanisa limruhusu amtaliki mkewe ili akuoe bi sophia kusudi msiendelee kutenda dhambi ya uzinifu.

Jitoeni muhanga.
kanisa litakaloruhusu hayo bado halijasajiliwa
 
Haaaa we Da Sophy! lazima uwe na matatizo, mme wa mtu unamng'ang'ania wa nini? kama kweli wewe ni mwanamke MASHALAA kwa nini ufanywe kitanda cha mapozeo? kwa nini usitafute kijana rijali na wewe uolewe? nyie ndo mnaoleta vurugu hapa mjini, kweli wewe hufai hata kukaribishwa mtaani kwetu!!! TAFUTA WA KWAKO BANA ALAAAAAAAAA!!!!!!!!!!!!!!

Kwa taarifa yako yeye ndiye anayening'ang'ania, na huyo mkewe sasa hivi ndo mapozeo, upo hapo?
 
narudia tena...MWANAUME MWENYE KUMPENDA/MJALI MKEWE HAWEZI SEMA HICHO KITU NYUMBANI...ATAISHILIA KWA DIZAINI KAMA YA HUYU MDADA...then wanasema wanapendwa, mnapendwa mnaharibiwa?..hapo hapo anasema ana mapenzi na mume wa mtu ya dhati yaani ovyo kabisa.

haya haya .....hahaaaaaaa thats my role model!!!!
mwaga mapwenti yenye mashiko kwanza huyu da 'watever mi naona hajajitambua bado......wacha aendeleee kuharibiwa mpaka hapo atapojikuta voluntary actions zimekuwa involuntary!!!
 
We nyamayao ndie usie elewa lol mwenzio hachanganyi maana kwa mkewe jamaa anashughulikia side A wakati kwa Da Sophy ni side B. Lol kuna wau wamepinda lol!

kweli dear naona akili zinaniruka, watu kama hawa cku ya cku unalikuta mahali na mr unaanza na mr akiingiza kiherehere(mana anaonekana anacho) unammalizia kabisa, yaani unaharibu akitoka hapo hatamaniki kwa mume wa mtu wa kwa hao waoaji waliobakia....hajakutana na watu huyu.
 
Asante sana hebu waeleze maana kuna wengine hadi wana mashutuma ya kijinga basi wanafikiri kila anayetoka na mume wa mtu basi eti changu, kivipi mbona kuna wanawake wengi tu wameolewa na ni machangu wa kutisha, na tupo tusioolewa tumetulia kiheshima zetu na bwana mmoja

Kwa nini utoke na mume wa mtu lakini?????................Huoni kama ni dhambi(unavunja mojawapo ya amri za Mungu na kuhatarisha ndoa ya mtu hivi hivi)........Ingekuwa mumeo anatoka na nyumba ndogo ungejisikiaje(yaani kama ungekuwa umeolewa)


You need the Holy Spirit..................
 
Sihitaji mtu anayetafuta mchumba, nahitaji mtu anayenipenda. Hivi kama mtu shida yake ni kunioa tu lakini kumbe hanipendi kiukweli, atanifaa nini, si ataishia kunioa halafu akipata anayempenda ataanza kutuchanganya? Bora nikae na anayenipenda, ikitokea anaweza kunioa bora zaidi, lakini si kuolewa tu alimradi, no, nakataa.

Kweli mtu mzima haulizi shimo liko wapi..sasa unavyotoka na huyo mume wa mtu hawachanganyi eeh? au kakuambia wewe ndo mmliki wa lile dude tu!!..kweli unadanganyika Sophia!
 
Kwa taarifa yako yeye ndiye anayening'ang'ania, na huyo mkewe sasa hivi ndo mapozeo, upo hapo?

wewe ndo mapoozeo, naomba t ujue hilo!!!

mwenzio ni mpaka ....'death do them apart'

chezeaaaaaaaa sasa mamii!!
 
tall ninavyoelewa jamvi hili hakuna uhalisia kabisa so hapa mie najibishana na huyu kama mchangia hoja tu wala si vinginevyo so pamoja na mawazo yako mazuri usiwe na shaka am not taking it personnaly couse there is nothing to take !! Relax
ok, umesomeka.halafu cha ajabu wawezakuta dasophy ni bonge la jibaba lenye midevu na masharubu.
 
Kadude kweli kananiwasha sawa kabisa na mkeo kanavyomuwasha, kwani cha ajabu nini kwani mimi si mwanamke kama huyo mkeo. Na kameumbwa kwa ajili ya mwanaume, sasa kama huyo aliyeonesha nia na kunipenda ni mume wa mtu na mimi nimempenda unataka nifanye nini, nikae tu nijifanye sijisikii chochote au nikatafutane na asiyenipenda kama wanavyofanya machangu? Kila binadamu ana haki ya kushirikiana mapenzi na yule mwenye mapenzi naye, tuache unafiki.

Loh..acha kujitamba na mume wa mtu.
Ungekua na maana kwake wewe ndo ungekua ndani badala ya mke wake.
Kama hampendi yeye na anakupenda ww amuache basi ili akuoe wewe.Eti
anakupenda.....usiku anakua na nani....familia yake inamjua nani...unatambulika
wapi????Jidanganye kua anakupenda ila ukweli ni kwamba hata kukuheshimu
hakuheshimu na ndio maana uhusiano wenu ni wakujificha...!Ohh mke wake hili..
mke wake lile...ananipenda...blah blah blah..mwisho wa wote mke wake ni
bora kuliko wewe na ndio maana wewe unajua kuhusu yeye ila yeye hajui kuhusu wewe.:yuck:
 
Hivi kama mimi natoka na mumeo lakini tumehakikisha hujui wala hatukuvunjii heshima, simchuni wala nini ni kwamba tunapendana ni vile dini ya kikristo hairuhusu wake 2 sasa wewe unamchunguza wa nini?

"Kilichounganishwa na Mungu mwanadamu asikitenganishe"

Ole wako ukikaye maagizo ya Mungu!
 
Da sophy mwambie amteme mkewe akuoe wewe! Oooh I forgot wewe humtaki anaekung'ang'ania ni yeye
 
ok, umesomeka.halafu cha ajabu wawezakuta dasophy ni bonge la jibaba lenye midevu na masharubu.
Hapo sasa!! Kaamua kuchangamsha jamvi lol mie nimechoka wajameni ngoja nipumzike nende siasani!
 
Na sikufichi namkamua kisawasawa. Yaani ni makamuzi ya kiukweli. Sigusi pesa yake, mie langu penzi tu. Yaani huyo mkewe angejua mumewe anamsemaga nini kwangu wakati ninapompa wallahi angewehuka, acha tu asijue. Na tumekubaliana kutunziana heshima, kwa hiyo suala la kujulikana ni hakuna. Kama ni wewe dada bht uwe na amani tu dear, hutojua kamwe.

yaani wewe akili ya mwanaume ya kukojoa ndio unaichukulia kwenye maisha halic..ukiambiwa nakujengea ghorofa weee unaamini coz unampa? mkumbushie akimaliza mkojo umckie bac.....BJ amekwambia hebu jaribu kumwambia amwache mkewe we uingie kama itawezekana?
 
Na sikufichi namkamua kisawasawa. Yaani ni makamuzi ya kiukweli. Sigusi pesa yake, mie langu penzi tu. Yaani huyo mkewe angejua mumewe anamsemaga nini kwangu wakati ninapompa wallahi angewehuka, acha tu asijue. Na tumekubaliana kutunziana heshima, kwa hiyo suala la kujulikana ni hakuna. Kama ni wewe dada bht uwe na amani tu dear, hutojua kamwe.
mi nakukosea mfano......
where do I categorize you in this case???

and you are so proud of yourself huh!!!! unaona fahari kukamua haki za wenzio za msingi si ndio???

ukichezea kwangu, kisu cha tumbo is my promise to you........(am a palestinian by 'tribe') za mwizi arobaini!!!
 
Loh..acha kujitamba na mume wa mtu.
Ungekua na maana kwake wewe ndo ungekua ndani badala ya mke wake.
Kama hampendi yeye na anakupenda ww amuache basi ili akuoe wewe.Eti
anakupenda.....usiku anakua na nani....familia yake inamjua nani...unatambulika
wapi????Jidanganye kua anakupenda ila ukweli ni kwamba hata kukuheshimu
hakuheshimu na ndio maana uhusiano wenu ni wakujificha...!Ohh mke wake hili..
mke wake lile...ananipenda...blah blah blah..mwisho wa wote mke wake ni
bora kuliko wewe na ndio maana wewe unajua kuhusu yeye ila yeye hajui kuhusu wewe.:yuck:
Dada mmoja alizoea kuwaambia watu wa namna hii ...... jihangaisheni tu ila mkumbuke kuwa mie ndo wa kwanza kuiona asubuhi na wa mwisho kuiona usiku- yaani lazima niione kila siku!!
 
Back
Top Bottom