Kama natoka na mumeo...

Kama natoka na mumeo...

We we we we ..hivi mhusika ni mwanajamii ..pls confirm ili tuanze mashambulizi upya ..sijui anamchukua mzee wa BHT ,FL1,CARMEL,nyamayao,Preta,Gaijin,Fixed Point..MJ1,napata picha kama ni wa WOS au BelindaJacob ...
Aiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Mamushika No Thank you

Naomba serikalui iniruhusu kutembea na bastola!
 
naomba unielekeze duka la silaha binamu. seriously.
Vipi kuna mtu unamhisi? Nlishakwambiaga wanaume ndivyo tulivyo ukawa unabisha. Haya mwenzenu huyoo amemwaga mapoint yake hapo.

Duka la silaha? Nikutumie namba ya Jerry Muro?
 
Nenda makao makuu ya JWTZ...pale karibu na hospitali ya Tumaini...nimechukua yangu juzi juzi tu....:rolleyez:

safi sana, tena niko nao mita chache kutoka hapa, ngoja nikaulizie bei na process zoote au nipm.
 
Nenda makao makuu ya JWTZ...pale karibu na hospitali ya Tumaini...nimechukua yangu juzi juzi tu....:rolleyez:
Kina Elizaz wakichelewesha taska ya baridi mezani itakula kwao sasa LOL!
 
Da Sophy kafikisha ujumbe sa hz anakula raha na mume wa mtu kaacha wana jf wayadiscuss, inabd mtu afunge hii topic jamani
 
Da Sophy kafikisha ujumbe sa hz anakula raha na mume wa mtu kaacha wana jf wayadiscuss, inabd mtu afunge hii topic jamani

Mom, imeshajifunga tayari mbona lol
 
hehhe ..............jamani jamani Da Sophy aambiwe hala hala.....kuna wengine waume zao ni watamu zaidi ya wengine. wanaweza kuchukua hatua ambazo zinaweza kumuweka katika harmful way! hahahah
 
naomba unielekeze duka la silaha binamu. seriously.

Mamy, a cheating partner is not, i mean; NEVER worth to go to jail for. Maradufu ukawa fisadi, kesi mahakamani but yet u get celebrity treatment!
 
Acha hizo,hiyo ni dhambi kubwa,unajidanganya,yana mwisho ni mbaya sana.acha kutembea na waume za watu.
 
Back
Top Bottom