Kama natoka na mumeo...

Kama natoka na mumeo...

tatizo kijana wa konyi kajiingiza kwenye kundi baya la wakina biggy na wewe B


hahaha we ngoja nitahakikisha amesoma hapa afu uone kama utapita mtaani kwetu leo!

Hommie nipo maeneo ya counter nimevaa kofia "Mungu asinione"
 
hahaha we ngoja nitahakikisha amesoma hapa afu uone kama utapita mtaani kwetu leo!

Hommie nipo maeneo ya counter nimevaa kofia "Mungu asinione"

nifate nini mtaani kwenu?? on m y way to Ikwiriri now!!
 
Hommie hivi leo siku gani vile? Hapo umevaa saa au?

Chronomita yangu inaniambia muda wakukalia kiti hicho umeisha do the need full sasa shida ya ofisi za pool si unajua hommie kutoka shida...ivi nani alizileta hizii......hapa mkoloni akigeuka tu hanioni!!
 
hahaha we ngoja nitahakikisha amesoma hapa afu uone kama utapita mtaani kwetu leo!

Hommie nipo maeneo ya counter nimevaa kofia "Mungu asinione"

Hapo kaunta leo yuko Eliza au Asumani?
 
wapi nikifika Ikwiriri au??


wakati mamba anakutafuna B!....Bora hata angekutafuna kisamaki samaki walau ungemwangalia kwa jicho la huruma lakini mamba atakumeza mzima mzima na hurudi wala hufurukuti! ohoo...(am out)
 
jamani mwenye elimu ya majuu lakini si lolote kwa mumewe alijitokeza hapa JF?! manake da sophy alikuwa akimtafuta
 
jiendekezeni hivo hivo

Mamushka nikufuate huko ndani au unakuja hapa? Hii dingirizi imenitoa vibaya. Wikiendi lazima tuserebuke.
Mambo bado mambo bado!
Mambo baaaadooo!
Magoma kitakita ya Nairobi
Mambo baaadoooo!
 
wakati mamba anakutafuna B!....Bora hata angekutafuna kisamaki samaki walau ungemwangalia kwa jicho la huruma lakini mamba atakumeza mzima mzima na hurudi wala hufurukuti! ohoo...(am out)

hahaaaaaa B na nikirudi je? utakuja uniombe zawadi za Ikwiriri?
 
Mamushka nikufuate huko ndani au unakuja hapa? Hii dingirizi imenitoa vibaya. Wikiendi lazima tuserebuke.
Mambo bado mambo bado!
Mambo baaaadooo!
Magoma kitakita ya Nairobi
Mambo baaadoooo!

nifate bana, ujue nimemisi sana kufatwa biggy!!!

hahaaaa leo tuwekeke kituo pale gorofani basi tukisubiria foleni!!!
 
Elizaaaaaaaaas full kujiachia Hommie! yaani hapa we acha tu sijui hata kama chako ni chako nitafika leo!
Itabidi tuhamie PM hommie. Ile kitu ya aramba hapo kaunta si yenyewe.

Vipi umetinga zile DH zako?
 
jamani mwenye elimu ya majuu lakini si lolote kwa mumewe alijitokeza hapa JF?! manake da sophy alikuwa akimtafuta

yaani mwenzie na digirii ya uingereza aje apambane na ya buguruni kwa mnyamani? thats not fair G...
 
Mamushka nikufuate huko ndani au unakuja hapa? Hii dingirizi imenitoa vibaya. Wikiendi lazima tuserebuke.
Mambo bado mambo bado!
Mambo baaaadooo!
Magoma kitakita ya Nairobi
Mambo baaadoooo!

Si tukajiunge na SEREBUKA ya TBC tuchukue milioni 25? kwa ari hii ni lazima tutashinda
 
nifate bana, ujue nimemisi sana kufatwa biggy!!!

hahaaaa leo tuwekeke kituo pale gorofani basi tukisubiria foleni!!!

Hii dingirizi pale gorofani watoto wa masaki si watanimaindi?
Au hujaona huu mkwaju niliotinga miguuni? DH orijino from Japan.
 
Back
Top Bottom