Kama natoka na mumeo...

Kama natoka na mumeo...

Da Sophy uliamua vipi kutoka na mume wa mtu? au nikuulize ulianza anza vipi? considering unajiheshimu 100%
 
Huyo akikuchoka uje na kwangu. Mke wangu hana tabia ya kunichunguza.

Wewe hazikutoshi kumbe. Kama shida yako ndiyo hiyo nenda kwa machangu, mie najiheshimu. Au kwa vile nimesema natoka na mume wa mtu ndo unadhania hivyo. Siko kihivyo kakangu, hata kama mpenzi wangu ana mke lakini mimi nimetulia naye sina mambo ya kichangu. Ni bahati mbaya tu sina mume lakini huyu bwana niliyenaye nimetulia naye kiukweli.
 
Wewe hazikutoshi kumbe. Kama shida yako ndiyo hiyo nenda kwa machangu, mie najiheshimu. Au kwa vile nimesema natoka na mume wa mtu ndo unadhania hivyo. Siko kihivyo kakangu, hata kama mpenzi wangu ana mke lakini mimi nimetulia naye sina mambo ya kichangu. Ni bahati mbaya tu sina mume lakini huyu bwana niliyenaye nimetulia naye kiukweli.
Kabisa Da Sophy umetulia mwenyewe na mume wa mtu. Nashangaa hawa wengine wanaanza kutuma applications zao!! Wakuache mwaya.

Babu meshikia??? Da Sophy kajituliza hataki maneno na mtu ndo maana kapoa na mume wa mtu!!

Da Sophy you better check yourself kwanza maana I dont understand mtu mwenye kuamua kutoka na mume wa mtu then aseme ametulia!!!
 
Wewe hazikutoshi kumbe. Kama shida yako ndiyo hiyo nenda kwa machangu, mie najiheshimu. Au kwa vile nimesema natoka na mume wa mtu ndo unadhania hivyo. Siko kihivyo kakangu, hata kama mpenzi wangu ana mke lakini mimi nimetulia naye sina mambo ya kichangu. Ni bahati mbaya tu sina mume lakini huyu bwana niliyenaye nimetulia naye kiukweli.
hapo kwenye Red naona umeenda mbali sana!! :target:
 
da sophy karusha jiwe gizani naona limewapata wengi ... nahisi kama kuna watu anawalenga na wanajuana vile!!
wapi mamaaa FL1??

hahaha nipo maternity lakini hapa sichezi mbali unaweza kuta msg yangu hii..
 
ha ha ha!! nimekusoma .... lkn umechomoa ligi manake da sophy alikuja na full mzuka!!
Si waona karudi full mzuka??? angekuja kwa lengo la kuomba ushauri kuwa hawezimuacha mume wa mtu tumshauri afanye nini ningemwelewa but kaja kwa staili ya mipasho dada na kidole cha shahada juu basi nasi twamjibu kwa mikono nyongani ati .... kunogesha goma
 
da sophy hebu kwa faida ya wana ukumbi tufahamishe ilikuwaje ukaanza kutoka na mume wa mtu na wewe unajiheshimu?

umesema well alikutongoza .....and? (ulivutiwa na nini mpaka ukafika kwenye hayo mapenzi bila ya kuchuna?)
 
Da Sophy mwaya endelea kwa raha zako, tena nenda kabisa kajitambulishe kwa mkewe jamaa ukimweleza kuwa hutakaa umvunjie heshma yake wala kumletea ugomvi we ulichopenda cha mumewe so unaomba ruhusa rasmi akubali mshee. Nenda kistaarabu mambo yatakuwa byee na wala hatamchunguza tena.

Jamani MJ1 sikutegemea maneno laini kama haya kutoka kinywani mwako....
 
Wewe hazikutoshi kumbe. Kama shida yako ndiyo hiyo nenda kwa machangu, mie najiheshimu. Au kwa vile nimesema natoka na mume wa mtu ndo unadhania hivyo. Siko kihivyo kakangu, hata kama mpenzi wangu ana mke lakini mimi nimetulia naye sina mambo ya kichangu. Ni bahati mbaya tu sina mume lakini huyu bwana niliyenaye nimetulia naye kiukweli.

Hivi kati yangu na wewe ni nani hazimtoshi? Tuwaachie wanajamvi waamue au tuchambuane tuone ambaye hamnazo zaidi?. Mi niko tayari kwa yote mawili...
 
Hivi nyie mnataka hao waliokosa waume waenda wapi????
Bottom line ni kwamba idadi ya waoaji ni ndogo kuliko ya wanaohitaji kuolewa!

Asante sana hebu waeleze maana kuna wengine hadi wana mashutuma ya kijinga basi wanafikiri kila anayetoka na mume wa mtu basi eti changu, kivipi mbona kuna wanawake wengi tu wameolewa na ni machangu wa kutisha, na tupo tusioolewa tumetulia kiheshima zetu na bwana mmoja
 
Jamani MJ1 sikutegemea maneno laini kama haya kutoka kinywani mwako....
Mamitoo kwanza hongera sana.

pili huyu shostito nimemjibu hivi kwa kuwa mwanzo nilimjibu vyema naona hajasikia na analilia wembe ndo huo nampatia ati..... aende kabisa akajitambulishe basi aone mziki wake, nini kuja kutulalamikia kwenye javi kwa mafumbo?? Mmenikumbusha hadithi ya yule mtangazaji wa ITV Morogoro aliyekuwa akijiita Mke wa Mbunge, maana yeye shurti akienda kwenye kazi zake wilayani (za uhandishi wa habari) anasign katika kitabu cha wageni kama mama Mbunge wakati alikuwa hawara tu.... wananichosha kabisa watu wa hivi
 
Kabisa Da Sophy umetulia mwenyewe na mume wa mtu. Nashangaa hawa wengine wanaanza kutuma applications zao!! Wakuache mwaya.

Babu meshikia??? Da Sophy kajituliza hataki maneno na mtu ndo maana kapoa na mume wa mtu!!

Da Sophy you better check yourself kwanza maana I dont understand mtu mwenye kuamua kutoka na mume wa mtu then aseme ametulia!!!

Nimesikia kajukuu. Namsubiria anipruvie kuwa hazinitoshi. Otherwise nitaprove otherwise.
 
Yote haya maisha tu! Mume wa mtu ni sumu kama mke wa mtu lakini bado watu wanabanjuana tu!!!!! Yaani sijui hii aliyenzisha ni nani, Nadhani ni Lusiva!!!
 
Wewe hazikutoshi kumbe. Kama shida yako ndiyo hiyo nenda kwa machangu, mie najiheshimu:mad2:. Au kwa vile nimesema natoka na mume wa mtu ndo unadhania hivyo. Siko kihivyo kakangu, hata kama mpenzi wangu ana mke lakini mimi nimetulia naye sina mambo ya kichangu. Ni bahati mbaya tu sina mume lakini huyu bwana niliyenaye nimetulia naye kiukweli.

Na yeye ametulia na wewe???:A S 39:
 
Asante sana hebu waeleze maana kuna wengine hadi wana mashutuma ya kijinga basi wanafikiri kila anayetoka na mume wa mtu basi eti changu, kivipi mbona kuna wanawake wengi tu wameolewa na ni machangu wa kutisha, na tupo tusioolewa tumetulia kiheshima zetu na bwana mmoja

mmh ... leo kazi ipo! me kazi yangu kutafuna korosho tu hapa!
 
Kutoka na mume wa mtu ni utovu wa nidhamu, nafikiri kuna vijana wengi tu wako wanakuhitaji kwa nini ujipe karaha na lawama zisizo za msingi? Ni ushauri na siyo lazima uuchukue: imagine wewe unachukua mume wa mtu kesho unaolewa wenzio wanachukua utajisikiaje?

nafikiri siyo kitendo kizuri kutembea naa wanaume wa wenzenu.
 
Back
Top Bottom