mgogoHebu tupe mfano kiongozi
Huwezi kosa kabila labda kama umeokotwaWazazi wako hawapo siriasi
Inawezekana Kama mzazi wa kike alipewa mimba yako halafu jamaa likatokomea kusikojulikana kabla hawajafamiana vyema.Wapo serious sema tu hii ni kama chain wao wenyewe baba zao hawajui kabila lao
Kapime DNA, ukiona wazazi wako wanapinga juwa hao ni chadema na wewe ni CCM.Ni wazazi wangu kabisa
Duniani Kuna mengi, Uganda wanaume wameiomba serikali kupima DNA watoto wote wanaozaliwa. Labda itasaidia kujua makabila ya watoto.Mi watu hudhani kuwa ni mchaga sijui huku umasaini nimetokea wapi huwa nashindwa kabisa kuujua ukweli kuhusu chimbuko langu
Lazima atakuwa mrundi nawe una lafudhi ya kibraza K.Akinayanan nimecheka sana mkuu, yako kama yangu, mi sema tu lafudhi yangu watu wanatambua natokea mkoa fulan lkn baba anatokea nchi jiran
Ni kweli, inawezekana vipi uwe na wazazi wote wawili na usijue kabila lako?Kama ulitupwa na wazazi wako na ukaokotwa na wasamalia wema na kupelekwa orphanage centre nitakuelewa vema kabisa
Mkuu, tafadhali bwanakabila ni eneo.Mfano ukizaliwa Tanzania wewe ni mtanzania yaani mtu uliyezaliwa Tanzania.Ukizaliwa usukumani wewe ni msukuma yaani mtu aliyezaliwa usukumani.
Mimi huwa nawashanga makabila mengine mtu kazaliwa uzaramoni dara es salaam anajiita mchaga sijui muha eti kisa baba yake na mama yake ni wachaga au waha
Mtoto akizaliwa Dar es salaam ni mzaramo huyo hata awe mhindi kabila yake mzaramo
Wamalawi wapo wengi na hata kipindi tunapata uhuru walifanikiwa kujipenyeza na kupata nafasi mbali mbali za uongozi, kwa sasa naona kasi hiyo wameirithi wanyarwanda kwa gia ya kabila la wahaya.Hata Mimi sijui kabila langu nimekuja kujua babu yangu alitokea Malawi, baadhi ya ndugu zangu wanadai wao wahehe