Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 24,054
- 71,341
Nishaandika Nyuzi nyingi sana kuhusu Hawa Wanawake, nyuzi zangu nyingi kuwahusu Wanawake nimezielekeza kupitia kucheza na "Ubongo wa Wanawake ".
Ukijua hii Sanaa ya kucheza na Ubongo wao ,hawatakusumbua !!
Sasa Leo nazungumzia na nyie wanaume wenzangu ambao inawezekana, Umechoshwa na tabia mbovu ya Mwanamke wako, pengine ni Mkorofi, anamdomo mrefu sana, jeuri ,mtu asojishusha ,mwanamke anayekudharau n.k .
Kuna wanaume wako frustrated na hawana Furaha ya Mahusiano au Ndoa zao sababu ya Kero za Wanawake.
Kuna Jamaa, Wanapitia manyanyaso kweli, na wanaogopa sana kuwadeal Wanawake sababu wanaohofia mambo yataharibika.
Swali langu Leo ni, Je unahitaji kua Mwanaume mwenye Nguvu na mamlaka Kwa mwanamke wako na Unahitaji mwanamke wako akuabudu?.
Sasa mbinu hapa ni Moja ,nayo ni "Mfanye mwanamke ajihisi ana hatia".
Unaweza usielewe haraka na pengine usije namna ya Kumfanyia ajione mwenye hatia , ila ni rahisi .
Hivi mnajua wanawake wote Duniani watatumia Kila Uwezo wao wote ili mradi tu kuepuka wasiione Wana hatia? Wanawake hawapendi hatia kabisa.
Kama umechunguza sana utagundua Siku zote Mwanamke unapomtuhumu Kwa kitu Fulani, reaction zao Huwa ni mbili tu
👉Asikubaliane na tuhuma hizo katakata yaan atakataa hata kama kafanya.
Au
👉Akubali tuhuma, akiri kosa, Kisha aanze kujitafuta mwenyewe ili ajisahihishe .
Hamjanielewa?. Ulishawah Ombwa Msamaha na Mwanamke aliyechepuka? Ule Msamaha anapokuomba, Si baada ya hapo Huwa anaanza kujitutumua ndani , yaan atafanya kazi Kwa bidii zote za nyumban, atakua anakuoetipeti isvyokawaida, atazidisha maupendo , ? Hii simmeshakutana nayo?. Ni sababu ya Kujiona ana Hatia.
Kwa Mwanamke, Hisia za Hatia ,Huwa ni Adhabu kubwa na nzitooi ambayo siku zote Huwa Wanaishi wakipambana kuisahau !!.hawataki kabisaa.
Sasa njia ambayo Mimi natumia na ambayo nawaelekeza hapa, ni njia inayomfanya mwanamke kuangukia Kwenye Reaction ya Pili .
Sasa swali, Unawezaje mfanya ajione ana Hatia ?.
Njia pekee ni kutumia Maneno haya " Wewe Hauna Shukrani".
Hayo ni Maneno tu, ila Niamin Kwa mwanamke hayo Maneno ni zaidi ya Adhabu kubwa ya kihisia, , Wanawake Maneno Huwa yananguvu kwao kuliko hata Kipigo !!... Ukibisha Mwambie mwanamke wako, 'Una miguu mibaya" ,. Hatokaa kua na Amani tena kwako !!..... Why ? Kwa sababu kwao Maneno huenda Moja Kwa Moja kutia mizizi kwenye bongo zao !.
Kwa mfano, mmejikuta mpo kwenye ugomvi, weee mwambie sentesi Moja tu " unajua wewe hauna Shukrani , mbali na yote nayokufanyia, ila wee unanilipa namna hii, Hivi unathubutuje kunifanyia ivi?. "
Hapa anaweza Kukataa tuhuma unayompa ya kutokua na shukrani . Ikifika hapa, Rudia tena Kwa kumpa ushahidi ,Kwa mfano mjibu "Eeehh kweli eeh? Nimekuletea zawadi /Nmekuongezea Mtaji /Nmekulipia Kodi lakini hata hukusema Ahsante , Wee huna shukrani .
Hapa anaweza nayeye kuanza kukushambulia mfano " Kwahiyo kumbe zawadi /Kodi /Mtaji wako ndio nini Sasa?".
Wee hapa usitafute kumshinda, mjibu tu " unaona Sasa? Wee Hauna shukrani"...Kisha waweza kuondoka ukamuacha hapo Nawewe endelea na mambo yako.
Maneno "Wee Hauna shukrani" ni Maneno ambayo unatakiwa uyatumie kile Mara mnapokua na ugonvi .... Kwann? Kwa sababu yanaenda kujipenyeza Kwa subconscious mind ya mwanamke , na hatokua na uwezo wa kuyaondoa.
Utumiapo Maneno kama haya, Huwa yanamkaa ,nantaratibu taratibu huanza kubadilika ili kukuprove wewe kua yeye ni mwanamke mwenye shukrani..... Hapa ndipo unaona anazidisha UPENDO n.k
Akiwa katika hali hii ya kuonyesha yeye ni mwenye Shukrani, hakikisha, hakikisha Nawewe unaanza tena kumpa Moyo na kumsifiaa na kumwonyesha yupo sahihi Kwa Sasa Kwa anachokufanyia.
Hapa lengo ni kumpitisha kwenye Hisia za Maumivu -Furaha-Maumivu -Furaha , Huu mzunguko, ndio kitu pekee ambacho Kwa mwanamke humfanya akuone wewe ndio chanzo cha Furaha yake yaan anakua mlevi wako , Kihisiaa anakua kama ni mtumwa wako.!!.
Kudeal na Mwanamke, Deal na Hisia zake kupitia Ubongo wake.!!.
Uzi Huu uwafikie wanaume wote wanaopitia magum ndani ya Ndoa.
NB, Njia kama hizi zinafanha kazi Kwa Wanawake ambao ni wamekua yaan tayari wanajua wanachokitaka yaan ambao Sasa wanatumia Hisia kukubali na wanatumia akili kukataa.....hutu tudogodogo usijisumbue !!.
Ukijua hii Sanaa ya kucheza na Ubongo wao ,hawatakusumbua !!
Sasa Leo nazungumzia na nyie wanaume wenzangu ambao inawezekana, Umechoshwa na tabia mbovu ya Mwanamke wako, pengine ni Mkorofi, anamdomo mrefu sana, jeuri ,mtu asojishusha ,mwanamke anayekudharau n.k .
Kuna wanaume wako frustrated na hawana Furaha ya Mahusiano au Ndoa zao sababu ya Kero za Wanawake.
Kuna Jamaa, Wanapitia manyanyaso kweli, na wanaogopa sana kuwadeal Wanawake sababu wanaohofia mambo yataharibika.
Swali langu Leo ni, Je unahitaji kua Mwanaume mwenye Nguvu na mamlaka Kwa mwanamke wako na Unahitaji mwanamke wako akuabudu?.
Sasa mbinu hapa ni Moja ,nayo ni "Mfanye mwanamke ajihisi ana hatia".
Unaweza usielewe haraka na pengine usije namna ya Kumfanyia ajione mwenye hatia , ila ni rahisi .
Hivi mnajua wanawake wote Duniani watatumia Kila Uwezo wao wote ili mradi tu kuepuka wasiione Wana hatia? Wanawake hawapendi hatia kabisa.
Kama umechunguza sana utagundua Siku zote Mwanamke unapomtuhumu Kwa kitu Fulani, reaction zao Huwa ni mbili tu
👉Asikubaliane na tuhuma hizo katakata yaan atakataa hata kama kafanya.
Au
👉Akubali tuhuma, akiri kosa, Kisha aanze kujitafuta mwenyewe ili ajisahihishe .
Hamjanielewa?. Ulishawah Ombwa Msamaha na Mwanamke aliyechepuka? Ule Msamaha anapokuomba, Si baada ya hapo Huwa anaanza kujitutumua ndani , yaan atafanya kazi Kwa bidii zote za nyumban, atakua anakuoetipeti isvyokawaida, atazidisha maupendo , ? Hii simmeshakutana nayo?. Ni sababu ya Kujiona ana Hatia.
Kwa Mwanamke, Hisia za Hatia ,Huwa ni Adhabu kubwa na nzitooi ambayo siku zote Huwa Wanaishi wakipambana kuisahau !!.hawataki kabisaa.
Sasa njia ambayo Mimi natumia na ambayo nawaelekeza hapa, ni njia inayomfanya mwanamke kuangukia Kwenye Reaction ya Pili .
Sasa swali, Unawezaje mfanya ajione ana Hatia ?.
Njia pekee ni kutumia Maneno haya " Wewe Hauna Shukrani".
Hayo ni Maneno tu, ila Niamin Kwa mwanamke hayo Maneno ni zaidi ya Adhabu kubwa ya kihisia, , Wanawake Maneno Huwa yananguvu kwao kuliko hata Kipigo !!... Ukibisha Mwambie mwanamke wako, 'Una miguu mibaya" ,. Hatokaa kua na Amani tena kwako !!..... Why ? Kwa sababu kwao Maneno huenda Moja Kwa Moja kutia mizizi kwenye bongo zao !.
Kwa mfano, mmejikuta mpo kwenye ugomvi, weee mwambie sentesi Moja tu " unajua wewe hauna Shukrani , mbali na yote nayokufanyia, ila wee unanilipa namna hii, Hivi unathubutuje kunifanyia ivi?. "
Hapa anaweza Kukataa tuhuma unayompa ya kutokua na shukrani . Ikifika hapa, Rudia tena Kwa kumpa ushahidi ,Kwa mfano mjibu "Eeehh kweli eeh? Nimekuletea zawadi /Nmekuongezea Mtaji /Nmekulipia Kodi lakini hata hukusema Ahsante , Wee huna shukrani .
Hapa anaweza nayeye kuanza kukushambulia mfano " Kwahiyo kumbe zawadi /Kodi /Mtaji wako ndio nini Sasa?".
Wee hapa usitafute kumshinda, mjibu tu " unaona Sasa? Wee Hauna shukrani"...Kisha waweza kuondoka ukamuacha hapo Nawewe endelea na mambo yako.
Maneno "Wee Hauna shukrani" ni Maneno ambayo unatakiwa uyatumie kile Mara mnapokua na ugonvi .... Kwann? Kwa sababu yanaenda kujipenyeza Kwa subconscious mind ya mwanamke , na hatokua na uwezo wa kuyaondoa.
Utumiapo Maneno kama haya, Huwa yanamkaa ,nantaratibu taratibu huanza kubadilika ili kukuprove wewe kua yeye ni mwanamke mwenye shukrani..... Hapa ndipo unaona anazidisha UPENDO n.k
Akiwa katika hali hii ya kuonyesha yeye ni mwenye Shukrani, hakikisha, hakikisha Nawewe unaanza tena kumpa Moyo na kumsifiaa na kumwonyesha yupo sahihi Kwa Sasa Kwa anachokufanyia.
Hapa lengo ni kumpitisha kwenye Hisia za Maumivu -Furaha-Maumivu -Furaha , Huu mzunguko, ndio kitu pekee ambacho Kwa mwanamke humfanya akuone wewe ndio chanzo cha Furaha yake yaan anakua mlevi wako , Kihisiaa anakua kama ni mtumwa wako.!!.
Kudeal na Mwanamke, Deal na Hisia zake kupitia Ubongo wake.!!.
Uzi Huu uwafikie wanaume wote wanaopitia magum ndani ya Ndoa.
NB, Njia kama hizi zinafanha kazi Kwa Wanawake ambao ni wamekua yaan tayari wanajua wanachokitaka yaan ambao Sasa wanatumia Hisia kukubali na wanatumia akili kukataa.....hutu tudogodogo usijisumbue !!.