sic2019
Senior Member
- Oct 14, 2018
- 129
- 81
Habari zenu wadau wa JF,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza naomba niende moja kwa moja kwenye mada.
Nilipokuwa shule, mara nyingi lilipokuja suala la kutaja kabila huwa nilikuwa napata tabu sana kwa sababu najua kabisa sijui kabila langu muda mwengine nataja tu lolote ili tu ile siku ipite. Mpaka nikawa nachukia sana swali la " wewe ni kabila gani", ni bora mtu aniulize unatokea mkoa gani kuliko kuniuliza kabila langu.
Nimejaribu kuuliza kwa wazee lakini sipewi jibu kamili bali naanza kuelezewa historia ndefu kwamba babu yangu alizaliwa na mzee nani kutoka wapi huko na blah blah nyingi kama hizo mwisho wa siku bado sipati jibu kamili.
Mpaka hivi sasa nimeamua kujichagulia kabila ambalo naliona linafaa na linaendana na mkoa ninaotoka, ili kuepukana na hili swali.
Kama na wewe ni muhanga wa hili jambo kama mimi hebu nipe uzoefu wako uliepuka vipi hii situation?
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza naomba niende moja kwa moja kwenye mada.
Nilipokuwa shule, mara nyingi lilipokuja suala la kutaja kabila huwa nilikuwa napata tabu sana kwa sababu najua kabisa sijui kabila langu muda mwengine nataja tu lolote ili tu ile siku ipite. Mpaka nikawa nachukia sana swali la " wewe ni kabila gani", ni bora mtu aniulize unatokea mkoa gani kuliko kuniuliza kabila langu.
Nimejaribu kuuliza kwa wazee lakini sipewi jibu kamili bali naanza kuelezewa historia ndefu kwamba babu yangu alizaliwa na mzee nani kutoka wapi huko na blah blah nyingi kama hizo mwisho wa siku bado sipati jibu kamili.
Mpaka hivi sasa nimeamua kujichagulia kabila ambalo naliona linafaa na linaendana na mkoa ninaotoka, ili kuepukana na hili swali.
Kama na wewe ni muhanga wa hili jambo kama mimi hebu nipe uzoefu wako uliepuka vipi hii situation?