Kama mungu yupo, kila utawala hutoka kwake, ,SIYO KILA UTAWALA HUTOKA KWA MUNGU.
Kwa nini Mungu aliwaepusha wana wa Israel na mateso ya Farao nchini Misri kama Falme zote zinatoka kwa Mungu? (Mwanzo 12:10-20, Mwanzo: 37-50. na Kutoka: 1-40)
Je nao utawala wa Nebucadnezar wa Babeli ulitoka kwa Mungu? Mbona aliwatumia manabii kuwatoa mikononi mwao na kuwarudisha Jerusalem ? (Ezra: 1-10)
Kwenye agano jipya Yesu mwenyewe amejaribiwa mara tatu na Shetani lakini amekaidi akiwa kwenye mfungo wa siku 40. (Luka 4:1-13). Yesu amekataa kumtii Herode alipomtaka ageuze maji ili iwe mvinyo ili amuachie baada ya Wayahudi kumkamata kabla ya kuhukumiwa na Ponsio Pilato.(Luka 23:7-15)
Hii ina maana kuna tawala dhalimu ambazo zinatoka kwa shetani lazima tuzikatae kwa nguvu zote kama Wakristu. Kinyume cha hapo ni kudhalilisha Ukristu wetu.
Utawala wa Magufuri ulitoka kwa shetani, siyo kwa Mungu wetu aliye hai, na tuliukataa kwa nguvu zote. Magufuri hakuwa na Mungu kabisa katika matendo na fikra zake. Mtawala anayetoka kwa Mungu hawezi kuwa na roho kama ya Magufuri inayotuma kuua Tundu Lissu, kuua Ben Saanane, Azory Gwanda.
Utawala unaotoka kwa Mungu hauwezi kubomoa nyumba za watu wa Kimara- Mbezi bila kuwafidia halafu ukaacha nyumba za Wasukuma wa Mwanza bila kuzibomoa.
Utawala unaotoka kwa Mungu hauwezi kukawafukuza wafanyakazi waliofoji vyeti vya Form IV ili wawe madreva na kumuacha Makonda aliyefoji cheti cha form IV na kuwa Mkuu wa Mkoa. Ndiyo maana ameondolewa pamoja na kuiba uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa 2019 na uchaguzi Mkuu wa 2020. Mungu hazihakiwi
Sio kwamba Mzee Mwinyi hakutaka kuvaa Baraghashia ila aliambiwa atakuwa ameivunja Katiba.Samia kuwa raisi haimuodolei Uisilamu wake haihitaji mjadala.
Aah wapi, kila kiumbe kipo kwasababu maalumu na kwa mda maalumuKwa minajiri kuwa hata Ibilisi aliletwa na Mungu basi pasi na shaka Magufuli aliletwa na Mungu.
Ila ninachojua ni kwamba Mungu hawezi kuleta zawadi ya hovyo kwa watoto wake.
Magufuli ni mtu wa hovyo, kichaa.
Sema tu yale maamuzi yake yakiwendawazimu ndio yaliyompa kiki.
Nyerere alivaa baraghashia, , hayo ni mavazi tuSio kwamba Mzee Mwinyi hakutaka kuvaa Baraghashia ila aliambiwa atakuwa ameivunja Katiba.
Mbona Hijabu inaachwa?
Hayo majina mbona hawabadilishi au yenyewe hayafungamani na dini?Sio kwamba Mzee Mwinyi hakutaka kuvaa Baraghashia ila aliambiwa atakuwa ameivunja Katiba.
Mbona Hijabu inaachwa?
Niishie hapo kwa sasa.
Wenzko walikuwa wanasema mitano tena , wakasema Mpaka achoke.. sasa wewe vimbisha makalio utafurahi mchongo unasukwa Lugalo.Jiandae kisaikolojia, Samia anamalizia miaka minne aliyoicha Magufuli, then anapiga ya kwake 10, halafu tunamuongeza mitano ya shukrani.
Swala la Rais mpya mlifikirie kuanzia 2040.
Ukweli mchungu huu umeze tu ili usipate ugonjwa wa moyo kutamani kitu ambacho hakipo, ur kissing the wind.
Mullah Samia ana Vision ya kuifanya Tanzania kuwa Emirate al islamiyaah
Khodhafis.
Kanzu na Baraghashia ni mavazi ya mwambao hayan uhusiano na dini nyerere alivaa hakuw mwislam,Sio kwamba Mzee Mwinyi hakutaka kuvaa Baraghashia ila aliambiwa atakuwa ameivunja Katiba.
Mbona Hijabu inaachwa?
Niishie hapo kwa sasa.
Hijabu Ikulu ni kinyume na Katiba.Hayo majina mbona hawabadilishi au yenyewe hayafungamani na dini?
Kama kuna identity ya dini ya mtu kabla ya mavaz ni hayo majina
Na hayo mavazi ni utamaduni wa uarabuni kabla hata ya huo uislam.
Nyerere alikuwa akivaa (Baraghashia)kwa mualiko na maulidi ila hakuvaa rozari ikulu.Kanzu na Baraghashia ni mavazi ya mwambao hayan uhusiano na dini nyerere alivaa hakuw mwislam,
magufuli alivaa na wakristo wengi wanavaa hata mapadre wanavaa kanzu
Wewe ulikuwa nan hapo ikulu?Nyerere alikuwa akivaa kwa mualiko na maulidi ila hakuvaa rozari ikulu.
Mkuu hivi na Mwanamke huwa anaitwa "Mullah"? Hamna feminine version ya hilo jina?Mullah Samia ana Vision ya kuifanya Tanzania kuwa Emirate al islamiyaah
Khodhafis.
Mbona hatuoni Rosary, au Waisilamu hawaoni kuwa hilo litaleta machafuko kwenye Nchi yetu pendwaWewe ulikuwa nan hapo ikulu?
Samia amekuwa makam kwa miaka mingap na anavaa Hijabu?
Huko bungeni wabunge wangap wanavaa hijabu na kuingia na kanzu?
context ya udini inaanza tu ukiwa raisi?
Udini hauruhusiwi tu ikulu bungeni unaruhusiwa?
Nadhani anaweza kuitwa Mullayat bin hijabi.Mkuu hivi na Mwanamke huwa anaitwa "Mullah"? Hamna feminine version ya hilo jina?
Kwani ni siri kuwa Magufuli , Mkapa, Nyerere walikuwa wa catholic.Mbona hatuoni Rosary, au Waisilamu hawaoni kuwa hilo litaleta machafuko kwenye Nchi yetu pendwa
Mungu wako alikuwa wap kipindi anayemleta Magufuli anamleta?Anaeletwa na Mungu afiii madarakani
Mbona Waisilamu mnataka kung'ang'aniza kuingia kwenye Ofisi kuu za Umma na Religious symbols au hamuelewi maana ya Secularism?Kwani ni siri kuwa Magufuli , Mkapa, Nyerere walikuwa wa catholic.
Na Mwinyi, Kikwete, Samia waislam ?
Machafuko yaletwe na nini rosary au hijabu?
Hakuna na haikuwahi kuwepo sheria yoyote ya kuzuia kuvaa kofia,Nyerere mwenyewe alikuwa akivaa sana kofia muda mwingi lakini hata baadhi ya viongozi na wengine ni wakristo walikuwa wakivaa kofia muda wote mfano aliyekuwa waziri wa mambo ya ndani wakati wa Mzee Mwinyi, Augustino Mrema.Kiapo kila mmoja wetu ana Imani yake,kila (Mtanzania ana Dini yake lakini Serikali yetu ni Secular)mbona Mwinyi alipoteuliwa kuwa Raisi alitaka kuvaa Baraghashia lakini akaambiwa ni kinyume na Katiba yetu ya zamani, sasa mbona hilo jambo linajirudia tena why?
Si belong huko..,Mbona Waisilamu mnataka kung'ang'aniza kuingia kwenye Ofisi kuu za Umma na Religious symbols au hamuelewi maana ya Secularism?