Kama kweli Magufuli aliletwa na Mungu basi uchaguzi wa 2025 utakua ni patashika nguo kuchanika

SIYO KILA UTAWALA HUTOKA KWA MUNGU.

Kwa nini Mungu aliwaepusha wana wa Israel na mateso ya Farao nchini Misri kama Falme zote zinatoka kwa Mungu? (Mwanzo 12:10-20, Mwanzo: 37-50. na Kutoka: 1-40)

Je nao utawala wa Nebucadnezar wa Babeli ulitoka kwa Mungu? Mbona aliwatumia manabii kuwatoa mikononi mwao na kuwarudisha Jerusalem ? (Ezra: 1-10)
Kwenye agano jipya Yesu mwenyewe amejaribiwa mara tatu na Shetani lakini amekaidi akiwa kwenye mfungo wa siku 40. (Luka 4:1-13). Yesu amekataa kumtii Herode alipomtaka ageuze maji ili iwe mvinyo ili amuachie baada ya Wayahudi kumkamata kabla ya kuhukumiwa na Ponsio Pilato.(Luka 23:7-15)

Hii ina maana kuna tawala dhalimu ambazo zinatoka kwa shetani lazima tuzikatae kwa nguvu zote kama Wakristu. Kinyume cha hapo ni kudhalilisha Ukristu wetu.

Utawala wa Magufuri ulitoka kwa shetani, siyo kwa Mungu wetu aliye hai, na tuliukataa kwa nguvu zote. Magufuri hakuwa na Mungu kabisa katika matendo na fikra zake. Mtawala anayetoka kwa Mungu hawezi kuwa na roho kama ya Magufuri inayotuma kuua Tundu Lissu, kuua Ben Saanane, Azory Gwanda.

Utawala unaotoka kwa Mungu hauwezi kubomoa nyumba za watu wa Kimara- Mbezi bila kuwafidia halafu ukaacha nyumba za Wasukuma wa Mwanza bila kuzibomoa.

Utawala unaotoka kwa Mungu hauwezi kukawafukuza wafanyakazi waliofoji vyeti vya Form IV ili wawe madreva na kumuacha Makonda aliyefoji cheti cha form IV na kuwa Mkuu wa Mkoa. Ndiyo maana ameondolewa pamoja na kuiba uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa 2019 na uchaguzi Mkuu wa 2020. Mungu hazihakiwi
Kama mungu yupo, kila utawala hutoka kwake, ,
Mfalme Daud alikua mzinifu, basha na muuaji mkubwa, , lakini ndo akaonekana mfalme shujaa na hata bwana wetu, yesu kristo alipewa jina la nick name akaitwa MWANA WA DAUDI..
Kila mamlaka iliyopo, ipo kwasababu maalumu, na zote zina ok kutoka kwa alietuumba
 
Kwa minajiri kuwa hata Ibilisi aliletwa na Mungu basi pasi na shaka Magufuli aliletwa na Mungu.
Ila ninachojua ni kwamba Mungu hawezi kuleta zawadi ya hovyo kwa watoto wake.
Magufuli ni mtu wa hovyo, kichaa.
Sema tu yale maamuzi yake yakiwendawazimu ndio yaliyompa kiki.
Aah wapi, kila kiumbe kipo kwasababu maalumu na kwa mda maalumu
 
Sio kwamba Mzee Mwinyi hakutaka kuvaa Baraghashia ila aliambiwa atakuwa ameivunja Katiba.

Mbona Hijabu inaachwa?

Niishie hapo kwa sasa.
Hayo majina mbona hawabadilishi au yenyewe hayafungamani na dini?
Kama kuna identity ya dini ya mtu kabla ya mavaz ni hayo majina
Na hayo mavazi ni utamaduni wa uarabuni kabla hata ya huo uislam.
 
Jiandae kisaikolojia, Samia anamalizia miaka minne aliyoicha Magufuli, then anapiga ya kwake 10, halafu tunamuongeza mitano ya shukrani.

Swala la Rais mpya mlifikirie kuanzia 2040.

Ukweli mchungu huu umeze tu ili usipate ugonjwa wa moyo kutamani kitu ambacho hakipo, ur kissing the wind.
Wenzko walikuwa wanasema mitano tena , wakasema Mpaka achoke.. sasa wewe vimbisha makalio utafurahi mchongo unasukwa Lugalo.
 
Sio kwamba Mzee Mwinyi hakutaka kuvaa Baraghashia ila aliambiwa atakuwa ameivunja Katiba.

Mbona Hijabu inaachwa?

Niishie hapo kwa sasa.
Kanzu na Baraghashia ni mavazi ya mwambao hayan uhusiano na dini nyerere alivaa hakuw mwislam,
magufuli alivaa na wakristo wengi wanavaa hata mapadre wanavaa kanzu
 
Kanzu na Baraghashia ni mavazi ya mwambao hayan uhusiano na dini nyerere alivaa hakuw mwislam,
magufuli alivaa na wakristo wengi wanavaa hata mapadre wanavaa kanzu
Nyerere alikuwa akivaa (Baraghashia)kwa mualiko na maulidi ila hakuvaa rozari ikulu.
 
Nyerere alikuwa akivaa kwa mualiko na maulidi ila hakuvaa rozari ikulu.
Wewe ulikuwa nan hapo ikulu?
Samia amekuwa makam kwa miaka mingap na anavaa Hijabu?
Huko bungeni wabunge wangap wanavaa hijabu na kuingia na kanzu?
context ya udini inaanza tu ukiwa raisi?
Udini hauruhusiwi tu ikulu bungeni unaruhusiwa?
 
Wewe ulikuwa nan hapo ikulu?
Samia amekuwa makam kwa miaka mingap na anavaa Hijabu?
Huko bungeni wabunge wangap wanavaa hijabu na kuingia na kanzu?
context ya udini inaanza tu ukiwa raisi?
Udini hauruhusiwi tu ikulu bungeni unaruhusiwa?
Mbona hatuoni Rosary, au Waisilamu hawaoni kuwa hilo litaleta machafuko kwenye Nchi yetu pendwa
 
Mbona hatuoni Rosary, au Waisilamu hawaoni kuwa hilo litaleta machafuko kwenye Nchi yetu pendwa
Kwani ni siri kuwa Magufuli , Mkapa, Nyerere walikuwa wa catholic.
Na Mwinyi, Kikwete, Samia waislam ?
Machafuko yaletwe na nini rosary au hijabu?
Who cares rosary au hijabu
 
Kwani ni siri kuwa Magufuli , Mkapa, Nyerere walikuwa wa catholic.
Na Mwinyi, Kikwete, Samia waislam ?
Machafuko yaletwe na nini rosary au hijabu?
Mbona Waisilamu mnataka kung'ang'aniza kuingia kwenye Ofisi kuu za Umma na Religious symbols au hamuelewi maana ya Secularism?

Tunatakiwa Watanzania wote tuseme # No Hijab Ikulu.
 
Kiapo kila mmoja wetu ana Imani yake,kila (Mtanzania ana Dini yake lakini Serikali yetu ni Secular)mbona Mwinyi alipoteuliwa kuwa Raisi alitaka kuvaa Baraghashia lakini akaambiwa ni kinyume na Katiba yetu ya zamani, sasa mbona hilo jambo linajirudia tena why?
Hakuna na haikuwahi kuwepo sheria yoyote ya kuzuia kuvaa kofia,Nyerere mwenyewe alikuwa akivaa sana kofia muda mwingi lakini hata baadhi ya viongozi na wengine ni wakristo walikuwa wakivaa kofia muda wote mfano aliyekuwa waziri wa mambo ya ndani wakati wa Mzee Mwinyi, Augustino Mrema.
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom