Kama huna hela usiombe namba

Katika maisha yangu hakuna kitu nachukia kama kumuomba mwanamke namba. Mimi napogoma nae tu akinitolea nje basi. Kuna siku nilipanda bajaj na demu mmoja mkali sana nikaona mara anatoa simu mara achezea hakuna la maana alilokuwa anafanya na hiyo simu. Nikajua huyu anadhani nitaomba namba nikapiga kimya.
 
Si mchezo mi nilikutana na mmoja nikaomba namba, siku hiyo hiyo nikaombwa 12k, siku ya pili yake nikaombwa 8k na siku ya tatu 5k, ila zote nilimpa bila kinyongo, akapanga mwenyewe siku ya kuja kunipa mbusumbusu, siku ilivyo wadia akaingia mitini nami wala siku mtafuta, mwenyewe baada ya siku mbili akapiga simu analalamika sina mpango nae kwanini siku ile hakutokea lakini hata sikumpigia simu kumlalamikia, mi nikamwambia we ulivyonambia una bachelor degree nikajua utakuwa na akili timamu ndo mana sijakupigia simu mana najua unajua unachofanya , mwenyewe akapanda boda akaja, alivyokuja kabla ya kunipa mbusumbusu nikapewa mahitaji ya kama 350k ila bahati nzuri hakutaka nimpe hapo hapo, ikabidi nikubali tu ili nipewe mbususu kwanza, nikapewa kiroho safi alivyoondoka nika m block kila mahali
wachaaa
 
Katika maisha yangu hakuna kitu nachukia kama kumuomba mwanamke namba. Mimi napogoma nae tu akinitolea nje basi. Kuna siku nilipanda bajaj na demu mmoja mkali sana nikaona mara anatoa simu mara achezea hakuna la maana alilokuwa anafanya na hiyo simu. Nikajua huyu anadhani nitaomba namba nikapiga kimya.
Ulifeli mkuu, mi demu nikimuona anashikashika simu bila mpangilio(mara aweke simu kwenye pochi mara aitoe), mara ajishike nywele , mara lips, mara kama ana-adjust nguo aliyovaa,mara kama ananiangalia alafu anapotezea najua kajaa nikitupa wavu hachomoi ....

Ukijua kusoma body language mchezo kwisha....
 
Si mchezo mi nilikutana na mmoja nikaomba namba, siku hiyo hiyo nikaombwa 12k, siku ya pili yake nikaombwa 8k na siku ya tatu 5k, ila zote nilimpa bila kinyongo, akapanga mwenyewe siku ya kuja kunipa mbusumbusu, siku ilivyo wadia akaingia mitini nami wala siku mtafuta, mwenyewe baada ya siku mbili akapiga simu analalamika sina mpango nae kwanini siku ile hakutokea lakini hata sikumpigia simu kumlalamikia, mi nikamwambia we ulivyonambia una bachelor degree nikajua utakuwa na akili timamu ndo mana sijakupigia simu mana najua unajua unachofanya , mwenyewe akapanda boda akaja, alivyokuja kabla ya kunipa mbusumbusu nikapewa mahitaji ya kama 350k ila bahati nzuri hakutaka nimpe hapo hapo, ikabidi nikubali tu ili nipewe mbususu kwanza, nikapewa kiroho safi alivyoondoka nika m block kila mahali
Hii kali.
 
kuna huyo kafanya juu chini kajileta kwangu nikawa namchora tu na Mimi Wala sikua res ......akatengeneza mazingira ya ukaribu namchora tu ...... akatengeneza mazingira ya kubadilishana namba Mimi fresh tu.....kajitengenezesha mazingira ya kupigiana Simu hasa video call akiwa kitandani na mikao ya ajabuajabu Wala sikua na hiyana.

Akaja kujistukia yeye ndio anamiliki asilimia kibwa ya kunitafuta Kama ball position Ni 90% kwa 10% akakaa kimya kunivutia Kasi aone Kama nimejaa au bado .

Basi baada ya ukimya Kama wa wiki mbili hivi nikatafutwa na lawama kibao nikajitetea kazi zinabana basi yakaisha gafla bin vuuu picha tamu akiwa uchi hizooo nakaribishwa kuoga. Nikamjibu nimeoga asubuhi labda siku nyingine .....nikajibiwa we limwanaume unaroho ngumu Sana. Ukimya ukapita

Kesho yake ikaingia message ...baby nikuombe kitu ....? Nikajibu yes ..! Ooooh naomba unikopeshe 65k mwenzio biashara imeleta hasara sijui nini nini
Nikamjibu Mimi hapa sipo vizuri pesa yote nimeweka kwenye mzigo ila kuna jamaa yangu naweza kukuunganisha naye akakusaidia nahisi hapo nitakua nimekusaidia kiivo Kama upo tayari.


Akajibu usije ukaniuza ....nikacheka nikasema maamuzi yako ndio yatakayo pelekea kununuliwa ....

Basi kiume nikamtafuta mchizi mwenye uhaba wa pisi nikamlengasha ila key point nikamwambia usilegeze jifanye unataka kufahamiana nae Kwanza na first appointment mualike dinner basi jamaa akafanya hivyo wakalana huko akamtoa 70 ila Cha ajabu ninavyo ongea hapa penzi lao limekolea ile mbaya hadi Mimi naonekana boya tena
 
kuna huyo kafanya juu chini kajileta kwangu nikawa namchora tu na Mimi Wala sikua res ......akatengeneza mazingira ya ukaribu namchora tu ...... akatengeneza mazingira ya kubadilishana namba Mimi fresh tu.....kajitengenezesha mazingira ya kupigiana Simu hasa video call akiwa kitandani na mikao ya ajabuajabu Wala sikua na hiyana.

Akaja kujistukia yeye ndio anamiliki asilimia kibwa ya kunitafuta Kama ball position Ni 90% kwa 10% akakaa kimya kunivutia Kasi aone Kama nimejaa au bado .

Basi baada ya ukimya Kama wa wiki mbili hivi nikatafutwa na lawama kibao nikajitetea kazi zinabana basi yakaisha gafla bin vuuu picha tamu akiwa uchi hizooo nakaribishwa kuoga. Nikamjibu nimeoga asubuhi labda siku nyingine .....nikajibiwa we limwanaume unaroho ngumu Sana. Ukimya ukapita

Kesho yake ikaingia message ...baby nikuombe kitu ....? Nikajibu yes ..! Ooooh naomba unikopeshe 65k mwenzio biashara imeleta hasara sijui nini nini
Nikamjibu Mimi hapa sipo vizuri pesa yote nimeweka kwenye mzigo ila kuna jamaa yangu naweza kukuunganisha naye akakusaidia nahisi hapo nitakua nimekusaidia kiivo Kama upo tayari.


Akajibu usije ukaniuza ....nikacheka nikasema maamuzi yako ndio yatakayo pelekea kununuliwa ....

Basi kiume nikamtafuta mchizi mwenye uhaba wa pisi nikamlengasha ila key point nikamwambia usilegeze jifanye unataka kufahamiana nae Kwanza na first appointment mualike dinner basi jamaa akafanya hivyo wakalana huko akamtoa 70 ila Cha ajabu ninavyo ongea hapa penzi lao limekolea ile mbaya hadi Mimi naonekana boya tena
Nimechekaaaa🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ulifeli mkuu, mi demu nikimuona anashikashika simu bila mpangilio(mara aweke simu kwenye pochi mara aitoe), mara ajishike nywele , mara lips, mara kama ana-adjust nguo aliyovaa,mara kama ananiangalia alafu anapotezea najua kajaa nikitupa wavu hachomoi ....

Ukijua kusoma body language mchezo kwisha....
Basi akikuomba na hela usiwe unamsema vibaya
 
kuna huyo kafanya juu chini kajileta kwangu nikawa namchora tu na Mimi Wala sikua res ......akatengeneza mazingira ya ukaribu namchora tu ...... akatengeneza mazingira ya kubadilishana namba Mimi fresh tu.....kajitengenezesha mazingira ya kupigiana Simu hasa video call akiwa kitandani na mikao ya ajabuajabu Wala sikua na hiyana.

Akaja kujistukia yeye ndio anamiliki asilimia kibwa ya kunitafuta Kama ball position Ni 90% kwa 10% akakaa kimya kunivutia Kasi aone Kama nimejaa au bado .

Basi baada ya ukimya Kama wa wiki mbili hivi nikatafutwa na lawama kibao nikajitetea kazi zinabana basi yakaisha gafla bin vuuu picha tamu akiwa uchi hizooo nakaribishwa kuoga. Nikamjibu nimeoga asubuhi labda siku nyingine .....nikajibiwa we limwanaume unaroho ngumu Sana. Ukimya ukapita

Kesho yake ikaingia message ...baby nikuombe kitu ....? Nikajibu yes ..! Ooooh naomba unikopeshe 65k mwenzio biashara imeleta hasara sijui nini nini
Nikamjibu Mimi hapa sipo vizuri pesa yote nimeweka kwenye mzigo ila kuna jamaa yangu naweza kukuunganisha naye akakusaidia nahisi hapo nitakua nimekusaidia kiivo Kama upo tayari.


Akajibu usije ukaniuza ....nikacheka nikasema maamuzi yako ndio yatakayo pelekea kununuliwa ....

Basi kiume nikamtafuta mchizi mwenye uhaba wa pisi nikamlengasha ila key point nikamwambia usilegeze jifanye unataka kufahamiana nae Kwanza na first appointment mualike dinner basi jamaa akafanya hivyo wakalana huko akamtoa 70 ila Cha ajabu ninavyo ongea hapa penzi lao limekolea ile mbaya hadi Mimi naonekana boya tena
N pm nione picha zake n oshe tumacho boss.
 
Aisee ni balaa namba tatu zote nilizoomba nimepiga hesabu nikisema niwape hela walizoniomba ni kama Laki Moja inapukutikaa chap Yaani hakuna cha mke wa mtu wala nini wote wanalia njaaaa mara sijui vikoba sijui naumwaa khaa acha nibaki njia kuu kwa kweli.

Ukiona mwanaume malaya jua ana Helaaa. Ukiona mwanaume anajidai katulia na mmoja huyo Masikini mwenzetu yaani.
Siku izi ktk social networks mfano Badoo, n.k ata usipoomba namba atatafuta namna ya kuku bomu tu ....wana gear moja ana jifanya anadaiwa hela ya mchezo (upatu) ukituma tu tayari umeenda na maji
 
kuna huyo kafanya juu chini kajileta kwangu nikawa namchora tu na Mimi Wala sikua res ......akatengeneza mazingira ya ukaribu namchora tu ...... akatengeneza mazingira ya kubadilishana namba Mimi fresh tu.....kajitengenezesha mazingira ya kupigiana Simu hasa video call akiwa kitandani na mikao ya ajabuajabu Wala sikua na hiyana.

Akaja kujistukia yeye ndio anamiliki asilimia kibwa ya kunitafuta Kama ball position Ni 90% kwa 10% akakaa kimya kunivutia Kasi aone Kama nimejaa au bado .

Basi baada ya ukimya Kama wa wiki mbili hivi nikatafutwa na lawama kibao nikajitetea kazi zinabana basi yakaisha gafla bin vuuu picha tamu akiwa uchi hizooo nakaribishwa kuoga. Nikamjibu nimeoga asubuhi labda siku nyingine .....nikajibiwa we limwanaume unaroho ngumu Sana. Ukimya ukapita

Kesho yake ikaingia message ...baby nikuombe kitu ....? Nikajibu yes ..! Ooooh naomba unikopeshe 65k mwenzio biashara imeleta hasara sijui nini nini
Nikamjibu Mimi hapa sipo vizuri pesa yote nimeweka kwenye mzigo ila kuna jamaa yangu naweza kukuunganisha naye akakusaidia nahisi hapo nitakua nimekusaidia kiivo Kama upo tayari.


Akajibu usije ukaniuza ....nikacheka nikasema maamuzi yako ndio yatakayo pelekea kununuliwa ....

Basi kiume nikamtafuta mchizi mwenye uhaba wa pisi nikamlengasha ila key point nikamwambia usilegeze jifanye unataka kufahamiana nae Kwanza na first appointment mualike dinner basi jamaa akafanya hivyo wakalana huko akamtoa 70 ila Cha ajabu ninavyo ongea hapa penzi lao limekolea ile mbaya hadi Mimi naonekana boya tena
haa ha ha.. daah noma sana hii
 
kuna huyo kafanya juu chini kajileta kwangu nikawa namchora tu na Mimi Wala sikua res ......akatengeneza mazingira ya ukaribu namchora tu ...... akatengeneza mazingira ya kubadilishana namba Mimi fresh tu.....kajitengenezesha mazingira ya kupigiana Simu hasa video call akiwa kitandani na mikao ya ajabuajabu Wala sikua na hiyana.

Akaja kujistukia yeye ndio anamiliki asilimia kibwa ya kunitafuta Kama ball position Ni 90% kwa 10% akakaa kimya kunivutia Kasi aone Kama nimejaa au bado .

Basi baada ya ukimya Kama wa wiki mbili hivi nikatafutwa na lawama kibao nikajitetea kazi zinabana basi yakaisha gafla bin vuuu picha tamu akiwa uchi hizooo nakaribishwa kuoga. Nikamjibu nimeoga asubuhi labda siku nyingine .....nikajibiwa we limwanaume unaroho ngumu Sana. Ukimya ukapita

Kesho yake ikaingia message ...baby nikuombe kitu ....? Nikajibu yes ..! Ooooh naomba unikopeshe 65k mwenzio biashara imeleta hasara sijui nini nini
Nikamjibu Mimi hapa sipo vizuri pesa yote nimeweka kwenye mzigo ila kuna jamaa yangu naweza kukuunganisha naye akakusaidia nahisi hapo nitakua nimekusaidia kiivo Kama upo tayari.


Akajibu usije ukaniuza ....nikacheka nikasema maamuzi yako ndio yatakayo pelekea kununuliwa ....

Basi kiume nikamtafuta mchizi mwenye uhaba wa pisi nikamlengasha ila key point nikamwambia usilegeze jifanye unataka kufahamiana nae Kwanza na first appointment mualike dinner basi jamaa akafanya hivyo wakalana huko akamtoa 70 ila Cha ajabu ninavyo ongea hapa penzi lao limekolea ile mbaya hadi Mimi naonekana boya tena
 
kuna huyo kafanya juu chini kajileta kwangu nikawa namchora tu na Mimi Wala sikua res ......akatengeneza mazingira ya ukaribu namchora tu ...... akatengeneza mazingira ya kubadilishana namba Mimi fresh tu.....kajitengenezesha mazingira ya kupigiana Simu hasa video call akiwa kitandani na mikao ya ajabuajabu Wala sikua na hiyana.

Akaja kujistukia yeye ndio anamiliki asilimia kibwa ya kunitafuta Kama ball position Ni 90% kwa 10% akakaa kimya kunivutia Kasi aone Kama nimejaa au bado .

Basi baada ya ukimya Kama wa wiki mbili hivi nikatafutwa na lawama kibao nikajitetea kazi zinabana basi yakaisha gafla bin vuuu picha tamu akiwa uchi hizooo nakaribishwa kuoga. Nikamjibu nimeoga asubuhi labda siku nyingine .....nikajibiwa we limwanaume unaroho ngumu Sana. Ukimya ukapita

Kesho yake ikaingia message ...baby nikuombe kitu ....? Nikajibu yes ..! Ooooh naomba unikopeshe 65k mwenzio biashara imeleta hasara sijui nini nini
Nikamjibu Mimi hapa sipo vizuri pesa yote nimeweka kwenye mzigo ila kuna jamaa yangu naweza kukuunganisha naye akakusaidia nahisi hapo nitakua nimekusaidia kiivo Kama upo tayari.


Akajibu usije ukaniuza ....nikacheka nikasema maamuzi yako ndio yatakayo pelekea kununuliwa ....

Basi kiume nikamtafuta mchizi mwenye uhaba wa pisi nikamlengasha ila key point nikamwambia usilegeze jifanye unataka kufahamiana nae Kwanza na first appointment mualike dinner basi jamaa akafanya hivyo wakalana huko akamtoa 70 ila Cha ajabu ninavyo ongea hapa penzi lao limekolea ile mbaya hadi Mimi naonekana boya tena
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom