Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 20,317
- 50,228
Usiwe unaniachaniza hivyo na wewe 😍Napenda ulivyo mkweli
Usiwe unaniachaniza hivyo na wewe 😍Napenda ulivyo mkweli
Naked truth.Aisee ni balaa namba tatu zote nilizoomba nimepiga hesabu nikisema niwape hela walizoniomba ni kama Laki Moja inapukutikaa chap Yaani hakuna cha mke wa mtu wala nini wote wanalia njaaaa mara sijui vikoba sijui naumwaa khaa acha nibaki njia kuu kwa kweli.
Ukiona mwanaume malaya jua ana Helaaa. Ukiona mwanaume anajidai katulia na mmoja huyo Masikini mwenzetu yaani.
Hivyo vyote kuwa navyo kunahitaji pesa.Huu ni ukweli... vaa vizuri, tembelea gari zuri la bei rahisi tu.. jipya jipya hata kama ni passo ila iwe kama mpya, ishi sehemu nzuri hata kama umepanga, kwako vitu vya ndani geto viwe vizuri hata kama vichache tu, usiwe na vitu used used, wewe pia kula vizuri..
Hapo wanawake utawakinai mwenyewe kama ukiwa hujaoa.. na unapenda uzinzi... watakupa sana bila kuwahonga
Hela si ya kugawa gawa kama pipiWengi wenu mnakuwaga wachoyo kweli, hela ipo ila unashangaa lijamaa halitoi hata kumi dadeki😂
Sisi tupeane kimasihara tu, haya mambo ya bater trade yalishaisha enzi za sub saharan huko tuyapuuze!🤩🤩🤩Acha ubakhiri wee,
Kwa kifupi uwe muigizaji mzuri.Ili hii mbinu ifanye kazi ni lazima mwanamke husika awe anaamini kwamba una hela nyingi. Na wewe mwenyewe lazma ujiweke ktk muonekano wa kuaminika. Na wakati unamweleza unakua siriaz kama kweli vile.. hapo utakula mbususu bure mpaka uchoke.
Unamuambia "we siku ukiwa na wazo la biashara unataka mtaji kuanzia milioni kwenda juu niambie" Sasa mpaka apate wazo ni lini
Msitufanyie hivyo jamani, toeni mtabarikiwa na bwana😍😍Hela si ya kugawa gawa kama pipi
Nipe namba yako nikutumie mijihelaMsitufanyie hivyo jamani, toeni mtabarikiwa na bwana
Mtupe offer jamani sio tunalipia king’amuzi mwaka mzima bila offer ya bure! Hata dstv wanatoaga kifurushi cha bure kabla ya malipo kamili kuanzaMsitufanyie hivyo jamani, toeni mtabarikiwa na bwana😍😍
😂😂😂 Tayari mkuu 🙄Nipe namba yako nikutumie mijihela
Hahahah nipe nikupe=tupeaneMtupe offer jamani sio tunalipia king’amuzi mwaka mzima bila offer ya bure! Hata dstv wanatoaga kifurushi cha bure kabla ya malipo kamili kuanza
Na ukiona demu katulia haangaikina wanaume basi ujue ana hela au nimekosea..?
Hio win win sasa ndio inatakiwa 😝😝😝 offer kwa offerHahahah nipe nikupe=tupeane
na utakula kimasihara, simple!Usiogope kuwa ATM wape kimasihara.
Hahaha, uko poa lkn?Usiwe unaniachaniza hivyo na wewe
Namshukuru Mungu napumuaHahaha, uko poa lkn?
AminaNamshukuru Mungu napumua
Jambo la kushukuru sanaNamshukuru Mungu napumua